Sisi wajaluo mila zetu zinamruhusu mwanaume kuoa wanawake mpaka watatu (3) waliozaliwa tumbo moja

Sisi wajaluo mila zetu zinamruhusu mwanaume kuoa wanawake mpaka watatu (3) waliozaliwa tumbo moja

Sijui hii imekaaje katika mila yenu. Kuoana ndugu wa tumbo moja inaweza ikawa na changamoto kiasi,,

Mfano kama familia ina historia ya magonjwa ya kurithi (Mfano Kifafa, Sickle cell anemia, n.k, n.k) na mkaoana ndugu, haya magonjwa yataendelea kusumbua familia kwasababu vinasaba ni vile vile (DNA).
Hakuna familia iliyo perfect hapa duniani
 
Hizi maktaba alizojenga Rais Samia viunga vya udsm si mchezo nimejaribu kufanya Uchaguzi wa muda mfupi sioni maktaba bora kama hizi kwa bara la Africa.
Miaka mitano tu Rais Samia ametupeleka uchumi wa kati miaka mitano ijayo, Rais Samia atatufanya tuwe kama Qatar
 
Kanda ya ziwa kuna wanaojiita ni wakristo lakini wanamitala kama yote,

Wakati agizo ndoa ni kuwa ya mke mmoja na mume mmoja,

Hivi huko mnafundishwa kwa kutumia Biblia gani ?

Je huwa mnajifikiria hatima yenu kuwa vipi?
Acha ujinga biblia iliwakuta na mila hiyo..sisi waafrika.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Rais Samia ameweza kutupeleka uchumi wa kati kwa miaka mitano tu basi haitachukua muda kumfikia USA Hongera Samia
Utafiti umefanyika Samia anakubalika kwa zaidi ya 90% Ccm inakubalika kwa 70% Hii unamaanisha kuwa Rais Samia kwa uchapakazi wake amevuta watu wengi sana kujiunga na Ccm.
 
Utafiti umefanyika Samia anakubalika kwa zaidi ya 90% Ccm inakubalika kwa 70% Hii unamaanisha kuwa Rais Samia kwa uchapakazi wake amevuta watu wengi sana kujiunga na Ccm.
Asante Rais Samia wa ushujaa wako na Mafisadi lazima yanune
 
Utafiti umefanyika Samia anakubalika kwa zaidi ya 90% Ccm inakubalika kwa 70% Hii unamaanisha kuwa Rais Samia kwa uchapakazi wake amevuta watu wengi sana kujiunga na Ccm.
Hongera Rais Samia kwa kutupeleka uchumi wa kati
 
Back
Top Bottom