Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
weka na picha za wabongo wenye rika hilo uone mavitambi na makunyanzi yanavyotutesaView attachment 2532854
Wesley snipe 60,Will Smith 54,Eddie Murphy 61,Martine lawrence 57.
Tatizo kwa wabongo maisha ya kucheka na kujiachia huishia kwenye 35-40, baada ya hapo ni malezi, na kukunja uso all the days....... Pasua kichwa kila upande!weka na picha za wabongo wenye rika hilo uone mavitambi na makunyanzi yanavyotutesa
Sasa ukojeView attachment 2532863
Huyu dogo na Will Smith huwa wananishangaza sana
Mwonekano wao wa sasa ni kama mimi nilipokuwa na 30 yrs
Nakumbika enzi hizoo nlikuwa sekondari, nankipindi pendwa scha ucheshi kilikuwa ni Fresh Prince of Bel Air!!View attachment 2532854
Wesley snipe 60,Will Smith 54,Eddie Murphy 61,Martine lawrence 57.
Wagumu mnadumu🤣🤣View attachment 2532863
Huyu dogo na Will Smith huwa wananishangaza sana
Mwonekano wao wa sasa ni kama mimi nilipokuwa na 30 yrs
Hao wafananishe na kina Sugu[Mr two], Joe Kusaga, Prof J, Mbowe,Zitto na wengineo wenye pesa mazee ambao ni lika lao bongo hapa at least sura zao hazijazeeka kivile.weka na picha za wabongo wenye rika hilo uone mavitambi na makunyanzi yanavyotutesa
Ilibid nianze kunywa maziwa kila siku,nashukuru nimekuwa mpyaSasa ukoje
maziwa yapi mzee hayahaya ya Ng'ombe?Ilibid nianze kunywa maziwa kila siku,nashukuru nimekuwa mpya
Hata Wamerekani tafuta wale wasio celebrites uoneweka na picha za wabongo wenye rika hilo uone mavitambi na makunyanzi yanavyotutesa
Haya haya ya ng'ombe,nakamua mwenyewemaziwa yapi mzee hayahaya ya Ng'ombe?
Huyu mwamba bima yake ya afya itakuwa balaa .......kama Tu ya Yule baby mama wake marehemu ilikuwa takribani Dola 20,000/- na zaidi Kwa mwaka ya kwake yeye unafikiri itasoma ngapi??View attachment 2532863
Huyu dogo na Will Smith huwa wananishangaza sana
Mwonekano wao wa sasa ni kama mimi nilipokuwa na 30 yrs