MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Enzi tunatuma salamu kwenye magazeti.Wewe ni muhenga bila shaka hii itakua miaka ya 94-99 hapo katikati. Kipindi hicho Dstv wanatoa ratiba ya vipindi vya kila chanel kwenye magazine maalumu.
Sasa mambo yamebadilika ni kiditali zaidi hakuna cha magazine wala nini, mambo mengi yako online.