Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lemutuzweka na picha za wabongo wenye rika hilo uone mavitambi na makunyanzi yanavyotutesa
Uweke na tar ya picha kupigwaWesley Snipe 60, Will Smith 54, Eddie Murphy 61, Martine lawrence 57.
Wesley Snipes. Dah Kitambo sana. Kakosekana Billy Blanks hapoWesley Snipe 60, Will Smith 54, Eddie Murphy 61, Martine lawrence 57.
Mnyama billeWesley Snipes. Dah Kitambo sana. Kakosekana Billy Blanks hapo
Kuna mtu anaitwa pharell william huyo ndio amegoma kabisa kuzeekaView attachment 2532863
Huyu dogo na Will Smith huwa wananishangaza sana
Mwonekano wao wa sasa ni kama mimi nilipokuwa na 30 yrs
Jamaa ni shida. Kuna movie yake inaitwa TC 2000, noma sana. Kuna actions za kutosha mno kwa sisi wakonge wa miaka ya 1990sMnyama bille
Ila wenzetu wanazeeka vizuri. Ngoma ya 60 huku kwetu ni ajuza wa mkongojoWesley Snipe 60, Will Smith 54, Eddie Murphy 61, Martine lawrence 57.
Kweli kabisa. Nadhani na msongo wa mawazo unachangia sanaIla wenzetu wanazeeka vizuri. Ngoma ya 60 huku kwetu ni ajuza wa mkongojo
Kabisa.Kweli kabisa. Nadhani na msongo wa mawazo unachangia sana
Yule ndio funga kazi na kimwili chake kilivyo kidogo.Kuna mtu anaitwa pharell william huyo ndio amegoma kabisa kuzeeka
Napenda sana wimbo wake wa HAPPY!Yule ndio funga kazi na kimwili chake kilivyo kidogo.
Mkuu, sasa Prof J na Zitto ni wazee? Atleast Sugu ndiyo yupo above 50. Kusaga na Mbowe ndiyo umri sahihi wa kulinganisha.Hao wafananishe na kina Sugu[Mr two], Joe Kusaga, Prof J, Mbowe,Zitto na wengineo wenye pesa mazee ambao ni lika lao bongo hapa at least sura zao hazijazeeka kivile.
Mbappe naye ni masikiniThe answer is Umasikini ni mbaya
Black don't crack madam 😊😊Mbona hawazeeki hao?
Mbona nyie wa huku Tanzania mnazeeka Sana?hebu mfikirie mtu unaemjua hapa Tanzania mwenye umri Kama hizo😓Black don't crack madam 😊😊
Mi nina uncle wangu ana 58 yupo ripped fresh kama mtu wa 30's hivyo sio wote ila ni mtu wa gym sana na sio mlevi na ni vegetarian yupo vizuri kwa kweli na wadada kwa wamama wanamzimikia kwelikweli 😕Mbona nyie wa huku Tanzania mnazeeka Sana?hebu mfikirie mtu unaemjua hapa Tanzania mwenye umri Kama hizo😓
Sasa hao wa kwenye picha ni carnivorous na wanakunywa Hennessy 😂😂😂Mi nina uncle wangu ana 58 yupo ripped fresh kama mtu wa 30's hivyo sio wote ila ni mtu wa gym sana na sio mlevi na ni vegetarian yupo vizuri kwa kweli na wadada kwa wamama wanamzimikia kwelikweli 😕
Ila ni mtu wa Mungu hivyo si wote🤔
Kumbe😘Ilibid nianze kunywa maziwa kila siku,nashukuru nimekuwa mpya