Prince Luanda
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 2,255
- 2,825
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukianza kutembea kwa mikono huku nyumbani hujalipa ada za watoto mkeo atapiga simu mirembe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukianza kutembea kwa mikono huku nyumbani hujalipa ada za watoto mkeo atapiga simu mirembe.
Mbona mkwere ngoma ya 70s na bado yupo poa tu.Ila wenzetu wanazeeka vizuri. Ngoma ya 60 huku kwetu ni ajuza wa mkongojo
pesa baba. Angekuwa ukwereni na kapuku pengine angeshazikwa kitambo.Mbona mkwere ngoma ya 70s na bado yupo poa tu.
Sasa wewe unafikiri obesity peke yake ndio inatuua afrika?...kuna mambo mengi yanayochangia life span huku kuwa ndogo... Ukweli huko mabonge ni wengi kuliko hukuJidanganye hivyo hivyo na endekeza hayo ma bia na kiti moto, ingekua hivyo basi life span ya wa magharibi ingekua miaka 50 -60 kama huko. Magharibi life span yao ni 80 - 90 na hio sio rocket science ni ukweli mtupu, mie tu nikijaga huko bongo naona kizazi chetu kilivyoisha watu wamekwenda balaa - rip, uwa naonekana stranger katika mji wangu na nchi yangu.
Mimi pia nina mzee wangu ni wa mwaka 1963, ukimuona ni sawa na raia mwenye miaka 45.Mi nina uncle wangu ana 58 yupo ripped fresh kama mtu wa 30's hivyo sio wote ila ni mtu wa gym sana na sio mlevi na ni vegetarian yupo vizuri kwa kweli na wadada kwa wamama wanamzimikia kwelikweli [emoji53]
Ila ni mtu wa Mungu hivyo si wote[emoji848]
Kutoka kushoto kwenda kulia nawaonaWesley Snipe 60, Will Smith 54, Eddie Murphy 61, Martine lawrence 57.
Huyo jamaa wa upande wa kulia mwishoni ni kipengele..Wesley Snipe 60, Will Smith 54, Eddie Murphy 61, Martine lawrence 57.
Wajomba zangu (ni wazee 65+) wote wapo ripped kinoma... Hawajui gym labda mazoezi ya kutembea, na jembe..Mimi pia nina mzee wangu ni wa mwaka 1963, ukimuona ni sawa na raia mwenye miaka 45.
Anakwambia no pombe, no wanawake sana, mazoezi sana na kula vizuri.
Sio wote wanaozeeka hovyo.
Aisee..Wesley Snipe 60, Will Smith 54, Eddie Murphy 61, Martine lawrence 57.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mm nna 27 lkn ukiniangalia ni kama vile babu anayesumbuliwa na NSSF kupewa mafao yake
usinambie maziwa ni dawa?Ilibid nianze kunywa maziwa kila siku,nashukuru nimekuwa mpya
Aisee basi hata mimi huenda ndo kinachonisaidia. Nimekuwa mlevi wa Maziwa kwa muda mrefu sasa.Ilibid nianze kunywa maziwa kila siku,nashukuru nimekuwa mpya
Ila mkuu hawa jamaa nao kwa sasa wamezeeka. Ukibahatika kuona video zao zisizo na filter utapata jibu. Ingawa kuzeeka kwao sio kama sisi huku.View attachment 2532863
Huyu dogo na Will Smith huwa wananishangaza sana
Mwonekano wao wa sasa ni kama mimi nilipokuwa na 30 yrs
Daa watu wanazeeka sijui nikuchokaweka na picha za wabongo wenye rika hilo uone mavitambi na makunyanzi yanavyotutesa