Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
uhh jamani unaisingiziaOperation kataa Shikamoo..
Shikamoo ina zeesha.
#kataaShikamoo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uhh jamani unaisingiziaOperation kataa Shikamoo..
Shikamoo ina zeesha.
#kataaShikamoo.
embu leta ya sasa tuoneMzee iyo picha ni ya mda, hao jamaa saiz wamezeeka mpaka mvi kichwani
Kula mbogamboga na matunda,fanya mazoezi,achana na pombe,lala muda wa kutosha,achana na nyama nyekunduView attachment 2532863
Huyu dogo na Will Smith huwa wananishangaza sana
Mwonekano wao wa sasa ni kama mimi nilipokuwa na 30 yrs
Kwan saivi unamiaka mingapi?View attachment 2532863
Huyu dogo na Will Smith huwa wananishangaza sana
Mwonekano wao wa sasa ni kama mimi nilipokuwa na 30 yrs
Kuna siku nikajifanya bado janki nikajaribu kutembea kwa mikono🤣🤣 kilichonikuta ni siri yangu.Katika rika la 35-40, nani amewahi kutembea kwa mikono kama zamani?, au slow somersault kama zamani, zaidi tunaiharibu miili na back bone kwa vilevi vibali mfululizo mpaka cartilage zinasagika na mifupa kusagana.
Yote uliyoyasema ni simple,isipokuwa hilo la mazoezi hilo siwez hata kujaribuKula mbogamboga na matunda,fanya mazoezi,achana na pombe,lala muda wa kutosha,achana na nyama nyekundu
Nunua raba,nenda uwanjani,zunguka raundi Tano simu ya kwanza,ongeza raundi moja kuanzia siku ya nne,ukipiga na skwats nguvu za kiume hizi hapaNliyoyasema ni simple,isipokuwa hilo la mazoezi hilo siwez hata kujaribu
Kuna moja inaitwa passenger 57 yupo na mzee mzima Tommy lee Jones.Nimemuona Snipe, umenikumbusha Blade, hasa Blade2
Mbongo 30 kama babuweka na picha za wabongo wenye rika hilo uone mavitambi na makunyanzi yanavyotutesa
Mkuu kuna Lionel RichieView attachment 2532863
Huyu dogo na Will Smith huwa wananishangaza sana
Mwonekano wao wa sasa ni kama mimi nilipokuwa na 30 yrs
Chunguza wale wanaopenda sana kuamkiwa shikamoo..uhh jamani unaisingizia
Ngoja nikamtazameMkuu kuna Lionel Richie
Dah ananishangaza
Pesa position.Wesley Snipe 60, Will Smith 54, Eddie Murphy 61, Martine lawrence 57.
Wanaendekeza kiti moto na ma bia, mamtoni umri wa 40+ wanakunywa shot 2 za whisky au glass 2 tu za wine, zinatosha. Bongo 30+ wanajitwisha ma bia na ma kiti moto balaa.Mbongo 30 kama babu
Ova
Huko magharibi ndio wanaongoza kwa obesity... Wenye miili kama hao mastaa ni asilimia ndogo sema ndio tunaonyeshwa sana kwenye videos zaoweka na picha za wabongo wenye rika hilo uone mavitambi na makunyanzi yanavyotutesa
okeyHuko magharibi ndio wanaongoza kwa obesity... Wenye miili kama hao mastaa ni asilimia ndogo sema ndio tunaonyeshwa sana kwenye videos zao
Jidanganye hivyo hivyo na endekeza hayo ma bia na kiti moto, ingekua hivyo basi life span ya wa magharibi ingekua miaka 50 -60 kama huko. Magharibi life span yao ni 80 - 90 na hio sio rocket science ni ukweli mtupu, mie tu nikijaga huko bongo naona kizazi chetu kilivyoisha watu wamekwenda balaa - rip, uwa naonekana stranger katika mji wangu na nchi yangu.Huko magharibi ndio wanaongoza kwa obesity... Wenye miili kama hao mastaa ni asilimia ndogo sema ndio tunaonyeshwa sana kwenye videos zao