Sisi wakongwe picha kama hii inatufikirisha sana

Sisi wakongwe picha kama hii inatufikirisha sana

weka na picha za wabongo wenye rika hilo uone mavitambi na makunyanzi yanavyotutesa
Tatizo kwa wabongo maisha ya kucheka na kujiachia huishia kwenye 40, baada ya hapo ni malezi, na kukunja uso all the days. Pasua kichwa kila upande
View attachment 2532863
Huyu dogo na Will Smith huwa wananishangaza sana

Mwonekano wao wa sasa ni kama mimi nilipokuwa na 30 yrs
Kukosa muda wa kucheka na kufurahi na kuridhika kwa malengo jiwekea kukamilika, Kukosa amani ndani ya mioyo, aidha kuitafuta amani ya moyo kwa nguvu kwa kujinywesha bia huku ukiwa na mawazo, call it total problems!
 
Nakumbika enzi hizoo nlikuwa sekondari, nankipindi pendwa scha ucheshi kilikuwa ni Fresh Prince of Bel Air!!
Wewe ni muhenga bila shaka hii itakua miaka ya 94-99 hapo katikati. Kipindi hicho Dstv wanatoa ratiba ya vipindi vya kila chanel kwenye magazine maalumu.

Sasa mambo yamebadilika ni kiditali zaidi hakuna cha magazine wala nini, mambo mengi yako online.
 
Huyu ana 49.
IMG_20230228_191058.jpg
 
Tatizo kwa wabongo maisha ya kucheka na kujiachia huishia kwenye 35-40, baada ya hapo ni malezi, na kukunja uso all the days....... Pasua kichwa kila upande!
ule msemo wa fainali uzeeni ndounaanza kufanya kazi kwa wabongo kwenye age hiyo,kila unapogeuka ni responsibilities tu hakuna hata muda wa kusmile na maisha yako hata pension huna. Nyumba huna, watoto kila mtaa, familia wanakutizama aisee lazima uzeeke tu kabla ya siku zako
 
Katika rika la 35-40, nani amewahi kutembea kwa mikono kama zamani?, au slow somersault kama zamani, zaidi tunaiharibu miili na back bone kwa vilevi vibali mfululizo mpaka cartilage zinasagika na mifupa kusagana.
Ukianza kutembea kwa mikono huku nyumbani hujalipa ada za watoto mkeo atapiga simu mirembe.
 
Wapo nchi yenye huduma bora za afya
Mazoezi
Matumizi sahihi ya vyakula sahihi
Utumiaji wa suppliments
Aina ya kemikali wanazopaka juu ya ngozi (mafuta)
Hali ya hewa (safi)
Wanakoga maji safi (treated water)
Mwisho wa yote ni kwamba jamaa ni matajiri
 
Back
Top Bottom