Sisi Wakristo masikini tunanufaika vipi na shule za Kanisa?

Kwanza ungejiuliza umekuwaje masikini wakati Bibilia inasema uliumbwa utawale? Ungejiuliza Kwanini huyo Mungu awanague? Wachache wawe matajiri huku nyie wengi ndo masikini?
Hata Yesu alikuja kwa ajiili Yetu 😁😁masikini....ila tanueni tu,tumeshashtuka ...tutapindua meza!
 
...hao wanaoan zisha kibiashara Kwa Mgongo wa Dini nao ni wahuni kama wahuni wengine!
Afrika tuamke!
 
Hata Yesu alikuja kwa ajiili Yetu [emoji16][emoji16]masikini....ila tanueni tu,tumeshashtuka ...tutapindua meza!

Hayo mahubiri ni ya kukupumbaza uukubali umasikini na kujiona mtakatifu wakati ukweli ni kwamba dini ni uduwanzi
 
Huwaga najiuliza hili swali kama kkkt tuna mchango kabisa wa mfuko wa elimu unachangia kila jumapili kwenye bahasha yako ya ahadi na jengo

Wangeweka utaratibu wa kila msharika akiwa anajaza form ya shule kuwe na kipengele cha dhehebu unalotokea na no ya ahadi na kuwe na unafuu wa ada
 
Wakisomesha bure masikini elimu yao itashuka. Kanisa linafanya biashara na halipo tayari kupata hasara nendeni huko kayumba
Shida linafanya biashara kwa mgongo wa Masikini. Maana hao ndo wanaozijenga hizo shule but hawawezi kuzimudu ni wizi ambayo hata Yesu atawakataa.
 
Kweli kabisa! Hiyo sadaka tutunze tupeleke watoto shule zao.

Wao wajenge kwa vyanzo vingine!

Niliumia sana binti mmoja alikuwa analalamika anakatwa mshahara LAKI 2,Kuchangia ujenzi was kitega Uchumi wcha Kanisa Fulani jijini Dodoma!
Huu ni wizi!
Round about ya whimpy
 
Thubutuuuuuu
 
Nyie endeleeni kutoa sadaka na fungu la kumi tuu,thwawabu mtazikuta mbinguni.
 
Huwezi kuwa na Kanisa ambalo Kazi yake ni kufanya biashara harafu hata faida za hizo biashara hatuoni zikiwaridia waumini,matokeo yake wanajinufaisha wachache.

Nini faida ya kuwa na vitega uchumi vya Kanisa ambavyo mwisho wa siku haviwanufaishi waumini wala michango haipungui.

Binafsi nilishaachaga kwenda makanisani.
 
Pale mwishoni mwa uzi wake kaandika:

"TUTAFAKARI"
 
...hao wanaoan zisha kibiashara Kwa Mgongo wa Dini nao ni wahuni kama wahuni wengine!
Afrika tuamke!
Shule hizo ni biashara aisee na taasisi huwa zinaendeshwa kwa kulipa mishahara ya wafanyakazi wake, ambao wanazitumikia. Zinatumia falsafa ya kidini kwenye utendaji na maadili yake, tofauti na nyingine za kiraia. Yaani wao mfumo wao, maisha yao ndano ya taasisi ndiyo yanaendeshwa kwa kufuata dini. Ila bado wanasimamia biashara, hata misikiti kwa taasisi za kiislamu imewekwa kwa kufanya ibada tu. Wakimaliza wanafunzi wanarudi kusoma, wafanyakazi ni ofisini.

Kisichoruhusiwa na ni kibaya ni hicho kuendesha michango ya kulipa wafanyakazi wa taasisi, au ujenzi wa mradi husika huku wachangiaji hawanifaiki. Ila kama taasisi ilianza kusimama yenyewe, basi hakuna baya hapo. Mungu karuhusu tujitafutie mkate wa siku, nao wanatimiza hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…