shida inakuja jamaa huyo ndio alikua mwanamke wake aliewekeza hisia zake kwake ni huyo huyo tangu watu tunahisi hisi mpaka ikawa dhahiriMwoaji kama hajawahi kula cha mtu tangu wamechumbiana (msafi kabsaaa) na asiendelee na ndoa
Hamnaga jimbo lililoko wazi, huwa ni likizo watu hupeana baada ya kuchokana/umbali/ etc mwendo mdundo utakuja nyumbani kukiwa hamana maelewano na pia mtumiaji wa sasa akiendelea toa support (fedha ama ya mawazo ya namna ya kusurvive mjini) kwa mkeo
Changamoto pia kumfahamu aliyekuwa kimahusiano na mwenza - inaumaga ujuapo wanaendeleza
kinachoumiza akili kwa mwanaume kama mchumba ameshindwa kuheshim uchumba ataweza kiheshim ndoa aubndio Mungu anamuonesha mapema"kama uzuri amejaaliwa binti huyu, ni mzuri mashallah"
Shida imeanzia hapo, mwanamke mzuri sana anapendwa na wengi, so asipokuwa na akili 🧠, kwishaaa
Ndiyo amsakizie Mwanaye wa kiume bomu litalomlipukia wakati wowote na kumsababishia magonjwa, Watoto wa nnje au kugawana majengo ya serikali (jela na mochwari)?Mama hataki kujibu swali la jamii kwann ndoa haijafungwa..
uaminifu ni kama kioo ukivunjika kirudishwa ni ngumu na ukifos lazima mmoja aumieNdiyo amsakizie Mwanaye wa kiume bomu litalomlipukia wakati wowote na kumsababishia magonjwa, Watoto wa nnje au kugawana majengo ya serikali (jela na mochwari)?
Hivi Ke huwa mna akili gani lakini?
Hilo swali aulizwe mama wa mtarajiwa bi harusiNdiyo amsakizie Mwanaye wa kiume bomu litalomlipukia wakati wowote na kumsababishia magonjwa, Watoto wa nnje au kugawana majengo ya serikali (jela na mochwari)?
Hivi Ke huwa mna akili gani lakini?
mamii kuna vitu shetani mwenyewe anakaa anachukua summary kutoka kwetu, hivi mtu umetolewa mahar na kila kitu mpaka mnaambiana tarehe ya kufunga ndoa unashindwaje kuvumilia hivi binti s angeikanda tu na maji ya motoWanaposemaga kuombea uchumba, mabalaa mengine ndo kama haya naamini..Mbona aibu😒🤔🤔
Wanaposemaga kuombea uchumba, mabalaa mengine ndo kama haya naamini..Mbona aibu😒🤔🤔
Maajabu unawezakuta mchezo wote Bi mkubwa alikuwa anaujua hata kabla ya Me kujitutumua na mahari, Ke ni viumbe katili sana duniani.Huyo sio mwanamke wa kuoa. Huyo jamaa hapo anaoa matatizo tu.
-Kaveli-
Tatizo huenda na huyo shemeji yake wameanza zamani na ile kufanya mazoea kwamba hakuna atakayejua, pengine na ile tufanye ya mwisho ya kuagana.. Na kwenye jambo la Mungu shetani anaweka makao hapohapo kupigia mstari ili ndoa isifanikiwemamii kuna vitu shetani mwenyewe anakaa anachukua summary kutoka kwetu, hivi mtu umetolewa mahar na kila kitu mpaka mnaambiana tarehe ya kufunga ndoa unashindwaje kuvumilia hivi binti s angeikanda tu na maji ya moto
Hapo nilipo bold ndio sababu, unaweza kuta ni mdau wa vikoba vingi na kashapiga hesabu za maokoto.Uyo sio mama mzazi, na kama ni mama kweli basi ana maslahi na harusi.
mamii kuna vitu shetani mwenyewe anakaa anachukua summary kutoka kwetu, hivi mtu umetolewa mahar na kila kitu mpaka mnaambiana tarehe ya kufunga ndoa unashindwaje kuvumilia hivi binti s angeikanda tu na maji ya moto
Ila huyo binti amejua kuwaaibisha ndugu zake kwakweliHapo jamaa anaoa 'cha wote'. Kimtaa mtaa tunaita "kuolea masela wapone". 😎
-Kaveli-
means alikua ni jamaa yake bad enough kuna ugomvi mzito kwenye familia ya bibi harusi waimtuhumu kazidi umalaya mpaka akaumbukaWalikuwa 'wanaagana' rasmi. Pale kati pana extra power.
-Kaveli-
especially mama yake mzazi analia kitwa nyumban kwa mama mzaz wa bwana harusi mwanawe asameheweIla huyo binti amejua kuwaaibisha ndugu zake kwakweli
Nikajua ni wewe ndiwe Mzaa Kidume, ebu kuweni na tahadhari kwa kesho zaidi maana moyo wa Mtu ni giza huwezijua maamuzi atayochukua kesho yake atapochoka kuvumilia huo upumbavu.Hilo swali aulizwe mama wa mtarajiwa bi harusi
Ila huyo binti amejua kuwaaibisha ndugu zake kwakweli
mind you, inaweza kua haikua mchezo wao pia ila mara moja na kuumbuka papo kwapapo kama vile bikra siku ya kwanza itolewe na mimbab juuTatizo huenda na huyo shemeji yake wameanza zamani na ile kufanya mazoea kwamba hakuna atakayejua, pengine na ile tufanye ya mwisho ya kuagana.. Na kwenye jambo la Mungu shetani anaweka makao hapohapo kupigia mstari ili ndoa isifanikiwe