Sisi wanawake bwana!

Sisi wanawake bwana!

Mwoaji kama hajawahi kula cha mtu tangu wamechumbiana (msafi kabsaaa) na asiendelee na ndoa

Hamnaga jimbo lililoko wazi, huwa ni likizo watu hupeana baada ya kuchokana/umbali/ etc mwendo mdundo utakuja nyumbani kukiwa hamana maelewano na pia mtumiaji wa sasa akiendelea toa support (fedha ama ya mawazo ya namna ya kusurvive mjini) kwa mkeo

Changamoto pia kumfahamu aliyekuwa kimahusiano na mwenza - inaumaga ujuapo wanaendeleza
 
Mwoaji kama hajawahi kula cha mtu tangu wamechumbiana (msafi kabsaaa) na asiendelee na ndoa

Hamnaga jimbo lililoko wazi, huwa ni likizo watu hupeana baada ya kuchokana/umbali/ etc mwendo mdundo utakuja nyumbani kukiwa hamana maelewano na pia mtumiaji wa sasa akiendelea toa support (fedha ama ya mawazo ya namna ya kusurvive mjini) kwa mkeo

Changamoto pia kumfahamu aliyekuwa kimahusiano na mwenza - inaumaga ujuapo wanaendeleza
shida inakuja jamaa huyo ndio alikua mwanamke wake aliewekeza hisia zake kwake ni huyo huyo tangu watu tunahisi hisi mpaka ikawa dhahiri
 
Ndiyo amsakizie Mwanaye wa kiume bomu litalomlipukia wakati wowote na kumsababishia magonjwa, Watoto wa nnje au kugawana majengo ya serikali (jela na mochwari)?

Hivi Ke huwa mna akili gani lakini?
uaminifu ni kama kioo ukivunjika kirudishwa ni ngumu na ukifos lazima mmoja aumie
 
Wanaposemaga kuombea uchumba, mabalaa mengine ndo kama haya naamini..Mbona aibu😒🤔🤔
mamii kuna vitu shetani mwenyewe anakaa anachukua summary kutoka kwetu, hivi mtu umetolewa mahar na kila kitu mpaka mnaambiana tarehe ya kufunga ndoa unashindwaje kuvumilia hivi binti s angeikanda tu na maji ya moto
 
mamii kuna vitu shetani mwenyewe anakaa anachukua summary kutoka kwetu, hivi mtu umetolewa mahar na kila kitu mpaka mnaambiana tarehe ya kufunga ndoa unashindwaje kuvumilia hivi binti s angeikanda tu na maji ya moto
Tatizo huenda na huyo shemeji yake wameanza zamani na ile kufanya mazoea kwamba hakuna atakayejua, pengine na ile tufanye ya mwisho ya kuagana.. Na kwenye jambo la Mungu shetani anaweka makao hapohapo kupigia mstari ili ndoa isifanikiwe
 
mamii kuna vitu shetani mwenyewe anakaa anachukua summary kutoka kwetu, hivi mtu umetolewa mahar na kila kitu mpaka mnaambiana tarehe ya kufunga ndoa unashindwaje kuvumilia hivi binti s angeikanda tu na maji ya moto

Walikuwa 'wanaagana' rasmi. Pale kati pana extra power.

-Kaveli-
 
Tatizo huenda na huyo shemeji yake wameanza zamani na ile kufanya mazoea kwamba hakuna atakayejua, pengine na ile tufanye ya mwisho ya kuagana.. Na kwenye jambo la Mungu shetani anaweka makao hapohapo kupigia mstari ili ndoa isifanikiwe
mind you, inaweza kua haikua mchezo wao pia ila mara moja na kuumbuka papo kwapapo kama vile bikra siku ya kwanza itolewe na mimbab juu
 
Back
Top Bottom