Sisi wanawake bwana!

Sisi wanawake bwana!

Hapo kwakweli hawana namna, wasubiri tu muoaji aamue atakavyoamua wakubaliane nae tu hawana jinsi
ndio hivyo mama naye anataka harusi iwepo kisa watu wameshatoa michango halaf ilikua harusi flani ya sifa yan mama wa bwana harusi alikua anasema sjaozesha safar hii nataka kuozesha nataka kufanya mambo mtaani niweke historia kumbe ibilisi alikua ananyemelea
 
ndio hivyo mama naye anataka harusi iwepo kisa watu wameshatoa michango halaf ilikua harusi flani ya sifa yan mama wa bwana harusi alikua anasema sjaozesha safar hii nataka kuozesha nataka kufanya mambo mtaani niweke historia kumbe ibilisi alikua ananyemelea
uuwiiii😥😥.. Na ikitokea hiyo ndoa imefungwa huyo bi harusi ajiandae na manyanyaso Kutoka kwa mama mkwe..Akikosana nae tu kidogo, msemo wake utakua unadhani bila mimi ungeolewa na mwanangu??😃
 
uuwiiii😥😥.. Na ikitokea hiyo ndoa imefungwa huyo bi harusi ajiandae na manyanyaso Kutoka kwa mama mkwe..Akikosana nae tu kidogo, msemo wake utakua unadhani bila mimi ungeolewa na mwanangu??😃
mawifi usituache nyuma, yan itakua tunaifanya harusi huku tukijua bibi harusi ameliwa na shemejie kaka yetu naye akaoa hivohivo lazima iundwe kamati ya roho mbaya na mweyekiti apatikane haraka iwezekanavyo
 
mawifi usituache nyuma, yan itakua tunaifanya harusi huku tukijua bibi harusi ameliwa na shemejie kaka yetu naye akaoa hivohivo lazima iundwe kamati ya roho mbaya na mweyekiti apatikane haraka iwezekanavyo
Yaani sijui bora aache tu akubali kuanza upya maisha yake🤣🤣🤣
 
Yaani sijui bora aache tu akubali kuanza upya maisha yake🤣🤣🤣
kazi anayo yan siipatii picha hili swala litakavyoishia mana kotekote litakavyoishia halina heri ila ubaya utakuja akioa ajiandae na shari za ukoo, yan zikitokea shughuli ukweni hana wa kumkingia kifua halaf kuna wale wa kutaniana mbona ipo kazi
 
kazi anayo yan siipatii picha hili swala litakavyoishia mana kotekote litakavyoishia halina heri ila ubaya utakuja akioa ajiandae na shari za ukoo, yan zikitokea shughuli ukweni hana wa kumkingia kifua halaf kuna wale wa kutaniana mbona ipo kazi
Kama hawajazaa bora tu harusi ihairishwe kipenzi, maana vita ya huko mbeleni naipima siipatii ujazo🤔🤔
 
Kama hawajazaa bora tu harusi ihairishwe kipenzi, maana vita ya huko mbeleni naipima siipatii ujazo🤔🤔
hawajabahatika mtoto kabisaa huko mbele wakiona bibi harus ajiandae kwa mtanange mkali kati yake na ndugu za mume sasa hivi kila mtu anajiona yeye msafi japo siungi alichofanya kuwa sawa ila watakavyomchukulia utasema wengine hawadangi
 
hawajabahatika mtoto kabisaa huko mbele wakiona bibi harus ajiandae kwa mtanange mkali kati yake na ndugu za mume sasa hivi kila mtu anajiona yeye msafi japo siungi alichofanya kuwa sawa ila watakavyomchukulia utasema wengine hawadangi
Kwakweli, kama ana ujasiri bora aache tu
 
Back
Top Bottom