Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
KabisaWell said kamanda! Mungu ambariki na amlinde sana! We are still in need of TL alot!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaWell said kamanda! Mungu ambariki na amlinde sana! We are still in need of TL alot!
Mkaambiwa muingie barabarani mkafanya usaliti, ndio maana ameamua kuondoka mapemaNikiwa mmoja wa maripota wa Kampeni za Tundu Lissu humu JF na kwingineko kuanzia mwanzo hadi mwisho na kwa kadri ya umri nilionao na uzoefu wangu katika siasa za Tanzania na za kimataifa, Tundu Lissu amefanya kampeni za kiwango cha juu mno, huyu mtu hakuwa tu mgombea wa Urais bali alikuwa Mwalimu wa siasa na haki za Raia.
Elimu kali ya Uraia aliyoitoa kuanzia Zanzibar hadi Tanganyika haijawahi kutolewa na yeyote kuanzia wakoloni wala waliopo leo, amefichua mambo mazito mno yaliyofichwa kwa miaka mingi sana, kwa ujumla ni kwamba kwenye uchaguzi wa mwaka huu wananchi wa Tanzania wamepata faida kubwa mno na nina hakika sasa wananchi wengi sana wameelewa kinaga Ubagha namna nchi yao ilivyojaa makando kando ya aibu yanayolidhalilisha Taifa.
Kwa niaba ya Wananchi wa Tanzania wa ndani na nje ya nchi, natoa shukrani za dhati kwa Tundu Lissu kwa wema wake aliotutendea kwa kuamua kutushirikisha kwenye kila uozo uliofichwa kwa miaka mingi kwenye nchi hii, SPANA zilizopigwa hakuna yeyote katika wanaccm walio hai leo mwenye uwezo wa kujibu , kwa kifupi ni kama wanaccm wote wamevunjwa viuno.
Namuomba Mwenyezi Mungu aendelee kumlinda Lissu kwa ajili ya Uhai wa Nchi yetu
Huna machoSijauona uzalendo wa lissu bado
HakikaLissu ni Tunu ya Taifa hili..mtu atake astake l!!
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Huna macho
Nikiwa mmoja wa maripota wa Kampeni za Tundu Lissu humu JF na kwingineko kuanzia mwanzo hadi mwisho na kwa kadri ya umri nilionao na uzoefu wangu katika siasa za Tanzania na za kimataifa, Tundu Lissu amefanya kampeni za kiwango cha juu mno, huyu mtu hakuwa tu mgombea wa Urais bali alikuwa Mwalimu wa siasa na haki za Raia.
Elimu kali ya Uraia aliyoitoa kuanzia Zanzibar hadi Tanganyika haijawahi kutolewa na yeyote kuanzia wakoloni wala waliopo leo, amefichua mambo mazito mno yaliyofichwa kwa miaka mingi sana, kwa ujumla ni kwamba kwenye uchaguzi wa mwaka huu wananchi wa Tanzania wamepata faida kubwa mno na nina hakika sasa wananchi wengi sana wameelewa kinaga Ubagha namna nchi yao ilivyojaa makando kando ya aibu yanayolidhalilisha Taifa.
Kwa niaba ya Wananchi wa Tanzania wa ndani na nje ya nchi, natoa shukrani za dhati kwa Tundu Lissu kwa wema wake aliotutendea kwa kuamua kutushirikisha kwenye kila uozo uliofichwa kwa miaka mingi kwenye nchi hii, SPANA zilizopigwa hakuna yeyote katika wanaccm walio hai leo mwenye uwezo wa kujibu , kwa kifupi ni kama wanaccm wote wamevunjwa viuno.
Namuomba Mwenyezi Mungu aendelee kumlinda Lissu kwa ajili ya Uhai wa Nchi yetu
AminaMungu ampe uhai ili aitetee haki ya wananchi mafukara waliozibwa midomo