Sita wasomewa mashtaka ya mauaji ya Milembe Seleman aliyekuwa Afisa wa GGM, akiwemo aliyekuwa "mkewe"

Ndugu unaefurahia kifo cha binadamu mwenzako, nikuulize tu. Je wewe utaishi milele?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kawatetee watuhumiwaa huko, si ndo ulikua kidedea kuwa wamefanya kazi nzuri??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kawatolee hata dhamanaa jaman, uwiiiiih
THUBUTUU [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Juzi tu hapa huyu USSR alikuwa analia lia anasema mshahara umechelewa kutokaa!!

Atatoa wapi hela ya kulipa bili ya wakili huyuu kigagulaa!! [emoji2957]
 
Kuua utafananisha na ushoga na usagaji, shoga akiwa anakata viuno na mpenzi wake ndani kwake wewe wadhurika na nini?

Mtaani kwako kukiwa na muuaji anaua watu kila apatapo nafasi utakua na amani?
Uovu ni uovu hakuna mwenye afadhali hata mmoja wauji, mashoga na wasagaj wote hawatakiw kwenye jamii
 
Sijui watu akili zao zikoje, unafanya mauaji halafu unataka uendelee kuishi kawaida. Mwishowe hofu na aibu ya kukamatwa ikampelekea kujiua.
Kuua sio kazi rahisi, damu ya mtu ina fujo sana inapo shuka chini ya ardhi.. Labda kwa mtu mwenye nafsi kubwa sana ndio huwa haiwasumbui ndio hata wauaji wanaotumika na vitengo maalumu..
 
shoga au msagaji wakiwa ndani kwao wanafanya mapenzi yao wewe unadhurika na nini? Au sauti zao zinakulowesha? [emoji38]

[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]

ANALOWAAH.....ANALOWAAH.... ooooh ANALOWAAH KINYEO....ANALOWAAH, yeaaahh.... oooh [emoji2957]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…