Sitaki huruma yenu, lakini Wakuu maisha yananigonga vibaya sana!

Sitaki huruma yenu, lakini Wakuu maisha yananigonga vibaya sana!

Joined
Mar 21, 2024
Posts
30
Reaction score
135
Maisha yamenitenda ubaya sana. Mwezi ya nne sasa nakula mlo mmoja tu Kwa siku(Wakati wa usiku).

Ee Mungu unae watajirisha wengine naomba nikumbuke.

Mimi bado kijana mdogo mwenye ndoto nyingi sana, Mungu nikumbuke.

Nimekonda, hadi mwezangu wanadhani naumwa, na pepesuka hali mbaya sana. Venue sielewi lekcha anachofundisha njaa inataka kuniua.

Kama kazi na madili na fanya lakini still mambo magumu.

Kama ndio nipo chuo, na Hali ipo hivi je nikimaliza?
 
Maisha yamenitenda ubaya sana. Mwezi ya nne sasa nakula mlo mmoja tu Kwa siku(Wakati wa usiku).

Ee Mungu unae watajirisha wengine naomba nikumbuke.
Mm bado kijana mdogo mwenye ndoto nyingi sana, Mungu nikumbuke.

Nimekonda, hadi mwezangu wanadhani naumwa, na pepesuka hali mbaya sana. Venue sielewi lekcha anachofundisha njaa inataka kuniua.

Kama kazi na madili na fanya lakini still mambo magumu.

Kama ndio nipo chuo, na Hali ipo hivi je nikimaliza?
Wewe unataka upate pesa wakati bado unasoma?
 
Maisha yamenitenda ubaya sana. Mwezi ya nne sasa nakula mlo mmoja tu Kwa siku(Wakati wa usiku).

Ee Mungu unae watajirisha wengine naomba nikumbuke.
Mm bado kijana mdogo mwenye ndoto nyingi sana, Mungu nikumbuke.

Nimekonda, hadi mwezangu wanadhani naumwa, na pepesuka hali mbaya sana. Venue sielewi lekcha anachofundisha njaa inataka kuniua.

Kama kazi na madili na fanya lakini still mambo magumu.

Kama ndio nipo chuo, na Hali ipo hivi je nikimaliza?
Katika hali kama hii ulifikaje chuo? Ni chuo gani unasoma? Kama ni DUCE ulipataboom? Au ulilitumia kufungulia zipu? Kuruka viwanja na kununua iPhone? Hapo lazima uumie teacher
 
Wewe utakuwa first year, mkifika chuo mnajisahau mnahonga na kula bata. Kingine kuwa na bajet unapopata hela ya kujikimu, usijihusishe na mambo mengi yasiyo ua msingi fanya kilichokupeleka chuo, hayo mengine yape nafasi kidogo
Inawezekana mwamba hajapata hslb 100%,analipa Ada Hela ya boom!!

Sometimes Huwa pagumu Sana kama boom likichelewa!!
 
Wewe utakuwa first year, mkifika chuo mnajisahau mnahonga na kula bata. Kingine kuwa na bajet unapopata hela ya kujikimu, usijihusishe na mambo mengi yasiyo ua msingi fanya kilichokupeleka chuo, hayo mengine yape nafasi kidogo
Mkuu, nipo mwaka wa tatu, nalipiwa ada asilimia 17 na bodi, nyingine naongeza mm kutoka kwenye boom, Sina mpenzi mana najua hali ya nyumbani kwa Kwel maisha ya hapa Duce yamekuwa mwiba kwangu
 
Mkuu, nipo mwaka wa tatu, nalipiwa ada asilimia 17 na bodi, nyingine naongeza mm kutoka kwenye boom, Sina mpenzi mana najua hali ya nyumbani kwa Kwel maisha ya hapa Duce yamekuwa mwiba kwangu
How did you survive kwa miaka hiyoo mingine, na haukupata experience za kuweza ku handle situation, maana mtu kufikia 3rd year unakuwa tyr mzoefu, ww jinsia gani kwanza tuanzie hapo?
 
Maisha yamenitenda ubaya sana. Mwezi ya nne sasa nakula mlo mmoja tu Kwa siku(Wakati wa usiku).

Ee Mungu unae watajirisha wengine naomba nikumbuke.
Mm bado kijana mdogo mwenye ndoto nyingi sana, Mungu nikumbuke.

Nimekonda, hadi mwezangu wanadhani naumwa, na pepesuka hali mbaya sana. Venue sielewi lekcha anachofundisha njaa inataka kuniua.

Kama kazi na madili na fanya lakini still mambo magumu.

Kama ndio nipo chuo, na Hali ipo hivi je nikimaliza?

Mkuu, nipo mwaka wa tatu, nalipiwa ada asilimia 17 na bodi, nyingine naongeza mm kutoka kwenye boom, Sina mpenzi mana najua hali ya nyumbani kwa Kwel maisha ya hapa Duce yamekuwa mwiba kwangu
Pole man mi nilikua na hslb 100% na Bado nilikua nachezea za uso!!

Heb pm nikupe maelekezo!Duce viunga vyangu hivyo!
 
Back
Top Bottom