Sitaki huruma yenu, lakini Wakuu maisha yananigonga vibaya sana!

Sitaki huruma yenu, lakini Wakuu maisha yananigonga vibaya sana!

Kwa kifupi chuo kusoma bila hela inaathiri ata performance nadhani na ww umejiona umepiga vikarai vya kutosha bila shaka umegraduate na GPA ya pass kwa maana chini ya 2.7 ( hii tutaita gentleman GPA😀) kusoma chuo kuna hitaji utulivu wa akili usiwe na stress kuhusu pesa
Naamini ungetulia ata first class ungepiga

Naamini huyu mwamba anapitia kwenye kikombe na itamletea shida kutoka na poor performance
Real life na GPA kubwa ni kitu tofauti cha muhimu kichwani kwako kuna nini, chuo its not all about GPA kubwa, 3 na kuendelea ni simpo kuipata na inatosha na maisha unatoboa vizuri tu.

Wangapi unawajua wana GPA kubwa maisha yamewacharaza mitaani? Point ni kwamba apart from GPA kubwa una kingine chochote kichwani? Una kitu kingine cha ziada? Maana hata kwenye interview unaulizwa hili swali kwamba tofauti na vitu ulivyosoma darasani, una kitu chochote cha ziada unacho weza kufanya.
All in all nahamasisha watu wasome wawe na ndoto kubwa wawe na exposure ya mambo mengi, kwa wale wenye ndoto za kwenda nje ya nchi huko hakuna kubahatisha, elimu yako itakubeba maana lazima ukutane na wasomi, inshort unatakiwa kuwa na kitu cha tofauti kichwani.

Serikali iwasaidie watoto walioko mashuleni ili waweze ishi ndoto zao.
 
Maisha yamenitenda ubaya sana. Mwezi ya nne sasa nakula mlo mmoja tu Kwa siku(Wakati wa usiku).

Ee Mungu unae watajirisha wengine naomba nikumbuke.

Mimi bado kijana mdogo mwenye ndoto nyingi sana, Mungu nikumbuke.

Nimekonda, hadi mwezangu wanadhani naumwa, na pepesuka hali mbaya sana. Venue sielewi lekcha anachofundisha njaa inataka kuniua.

Kama kazi na madili na fanya lakini still mambo magumu.

Kama ndio nipo chuo, na Hali ipo hivi je nikimaliza?


Nimepita hapo, na wewe utapita.
 
Hivi hii hali ngumu ya maisha ya chuo mbona wengi lialia ni jinsia ya kiume? Jinsia ya kike wote wanapata boom [emoji817] au? Wao wanawezaje au mkipata hela wanawakamua mpaka zikiisha wanawabwaga?
[emoji23][emoji23][emoji23] wapo pia ke wanaolia ugumu wa maisha chuo, ni vile hujakutana nao.
 
Una mkopo au?
Kama huna mkopo maisha ya chuo ni magumu.
Mimi nilikosaga mkopo niliambiwa kozi niliyoomba hawapewagi mkopo.

Nikaambiwa wanapewa mkopo waliosomea shule za serikali, mimi nimesoma private na o'level nje ya tz kwa hiyo ikawa ngumu kupata mkopo.

Solution nikaanza biashara za nguo, sikuwahi kuingia darasani juma nne na ijumaa labda kama nina mtihani.

Mungu ni muaminifu stress zote hizo sikuwahi kupata sap, cheti kimejaa c za kutosha, sina A nadhani nina B 3 sikumbuki vizuri.

Biashara hiyo ilinipa vijipesa, wadada wakipata boom mm nawaletea nguo kali za kuendea club.
Nilikuwa nakula vizuri na ada kiasi inapatikana kwenye biashara nyingine naitoa kwingine niliko kuwa nimeweka ka hela fulani faida napata kwenye msimu.

Chuoni sio lazima usome tu, fanya na vitu vingine vikuingizie ka pesa, huwezi kuendelea kuwaomba wazazi wakati kuna wadogo zako.

Kama nilifaulu chuo na koz ngumu vile wewe utashindwa nini? Wakati wa usiku kauze nguo na weekend.

Huwezi kusoma wakati una njaa. Polee.
Ni rahisi sana hili kuandika, ila hata me niliingia field kufanya, nilichokutana nacho, nkajisemea kila kitu kina njia na mfumo wake.

Tusikariri.
 
Back
Top Bottom