Kategele
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 1,055
- 2,466
2011-2015Ulisoma UDSM engineer mwaka gani mwamba tujuane!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2011-2015Ulisoma UDSM engineer mwaka gani mwamba tujuane!
Aaaah! Basi nilikutangulia sana kipindi Engineering ikiitwa "FoE" way back 1996 Kategele2011-2015
Mimi ni miongoni mwa watu waliojipambania wenyewe mpaka wakajipata! Nakumbuka miaka hiyo ya 1990s niko chuo first year sijui hata kubajeti hela! Naigonga kwa kijirusha viwanja na nyapu alafu ikiisha ndo akili zinanijia kukumbuka masomo! Namshukuru Mungu nilimaliza lakini issue ya kushinda njaa kukonda mpaka kuinamia meza kuandika mtihani ni kipengele kwani unahisi mbavu zinagusana si kwa maumivu hayo unayosikia! Kila dakika unabadilisha kalio hili unaweka hili! Alafu ukibahatika kupata msosi masaa mengi (kama sio siku) yamepita bila kula chakula cha kueleweka, ukija kula dakika 10 baadaye jiandalie mahali pa kushusha mzigo wa uhalo! 😂😂😂 Hatari! Kipindi hicho ukipita gate la chuo cha maji kulikuwepo uwanja wa mpira pembeni kuna vichaka! Ukichepuka unakutana na mizigo kama yoote mingine bado fresh inakutia moyo kuwa kumbe changamoto ninayopitia sio mimi peke yangu! Hatari!!!Maisha yamenitenda ubaya sana. Mwezi ya nne sasa nakula mlo mmoja tu Kwa siku(Wakati wa usiku).
Ee Mungu unae watajirisha wengine naomba nikumbuke.
Mimi bado kijana mdogo mwenye ndoto nyingi sana, Mungu nikumbuke.
Nimekonda, hadi mwezangu wanadhani naumwa, na pepesuka hali mbaya sana. Venue sielewi lekcha anachofundisha njaa inataka kuniua.
Kama kazi na madili na fanya lakini still mambo magumu.
Kama ndio nipo chuo, na Hali ipo hivi je nikimaliza?
Aweke namba halafu aseme yeye jinsia gani.weka namba acha blah blah kabla sjalog out
Shikamoo Mzee wangu,... wazee wa FOE wengi ndo miaka yetu wamemalizia miaka yao ya kutufundisha na wamestaafu, wengine wametangulia mbele za haki kama Prof Mayo, Prof Mrema,.... enzi hizomlipiga kitabu cha ukweli.Aaaah! Basi nilikutangulia sana kipindi Engineering ikiitwa "FoE" way back 1996 Kategele
Marahaba kijana! Unaongelea Prof. Mrema yule wa CPE alifariki? Yule aliwahi kuwa DP Administration MUCE ya Iringa?Shikamoo Mzee wangu,... wazee wa FOE wengi ndo miaka yetu wamemalizia miaka yao ya kutufundisha na wamestaafu, wengine wametangulia mbele za haki kama Prof Mayo, Prof Mrema,.... enzi hizomlipiga kitabu cha ukweli.
Hapana, Prof Mrema wa Material engineering mdogo wake na marehemu Mzee Mrema mwanasiasa.Marahaba kijana! Unaongelea Prof. Mrema yule wa CPE alifariki? Yule aliwahi kuwa DP Administration MUCE ya Iringa?
Tayari bill yako utaikuta kwa mangiWe unaonekana ni wife material...agiza soda nakuja kulipa
Poa ntumie inbox mamaTayari bill yako utaikuta kwa mangi
Kasema hataki huruma zetu kwahiyo mkuu tulia tuWeka namba umepewe chochote kitu.
Kwa kifupi chuo kusoma bila hela inaathiri ata performance nadhani na ww umejiona umepiga vikarai vya kutosha bila shaka umegraduate na GPA ya pass kwa maana chini ya 2.7 ( hii tutaita gentleman GPA😀) kusoma chuo kuna hitaji utulivu wa akili usiwe na stress kuhusu pesaUna mkopo au?
Kama huna mkopo maisha ya chuo ni magumu.
Mimi nilikosaga mkopo niliambiwa kozi niliyoomba hawapewagi mkopo.
Nikaambiwa wanapewa mkopo waliosomea shule za serikali, mimi nimesoma private na o'level nje ya tz kwa hiyo ikawa ngumu kupata mkopo.
Solution nikaanza biashara za nguo, sikuwahi kuingia darasani juma nne na ijumaa labda kama nina mtihani.
Mungu ni muaminifu stress zote hizo sikuwahi kupata sap, cheti kimejaa c za kutosha, sina A nadhani nina B 3 sikumbuki vizuri.
Biashara hiyo ilinipa vijipesa, wadada wakipata boom mm nawaletea nguo kali za kuendea club.
Nilikuwa nakula vizuri na ada kiasi inapatikana kwenye biashara nyingine naitoa kwingine niliko kuwa nimeweka ka hela fulani faida napata kwenye msimu.
Chuoni sio lazima usome tu, fanya na vitu vingine vikuingizie ka pesa, huwezi kuendelea kuwaomba wazazi wakati kuna wadogo zako.
Kama nilifaulu chuo na koz ngumu vile wewe utashindwa nini? Wakati wa usiku kauze nguo na weekend.
Huwezi kusoma wakati una njaa. Polee.
😁😁😁 hajui kama watu wanafuatiliaHili wazo liliishia wapi?
Jinsi ambavyo laki tano inakwenda kunipa mshahara wa laki sita kwa mwezi
Salamu wakuu, mm ni Kijana hivi sasa nipo chuo kikuu, mwaka wa tatu. Kutokana na ugumu wa ajira nime serve laki tano ambayo inakwenda kunipa maisha mtaaani kama ifuatavyo. Kwanza, nitatafuta vijana watatu ambao takuwa na walipa kazi yao itakuwa kutembeza chai na vitafunwa kama mandazi na...www.jamiiforums.com
Sasa boom jamani si inatosha kabisa! Yaani elfu 10 per day haitoshi? Home waambie kabisa wewe ni mwanafunzi huna mshahara! Ada ya duce haizidi 1.2m sasa unashindwa nini? Msosi kantini siyo 1500?Mkuu, nipo mwaka wa tatu, nalipiwa ada asilimia 17 na bodi, nyingine naongeza mm kutoka kwenye boom, Sina mpenzi mana najua hali ya nyumbani kwa Kwel maisha ya hapa Duce yamekuwa mwiba kwangu
Unakaaje mda wote bila kutomb@ ka huna demu au me mawazo yangu tu ya kifedhuliMkuu, nipo mwaka wa tatu, nalipiwa ada asilimia 17 na bodi, nyingine naongeza mm kutoka kwenye boom, Sina mpenzi mana najua hali ya nyumbani kwa Kwel maisha ya hapa Duce yamekuwa mwiba kwangu