Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Acha ujinga.Maisha yamenitenda ubaya sana. Mwezi ya nne sasa nakula mlo mmoja tu Kwa siku(Wakati wa usiku).
Ee Mungu unae watajirisha wengine naomba nikumbuke.
Mm bado kijana mdogo mwenye ndoto nyingi sana, Mungu nikumbuke.
Nimekonda, hadi mwezangu wanadhani naumwa, na pepesuka hali mbaya sana. Venue sielewi lekcha anachofundisha njaa inataka kuniua.
Kama kazi na madili na fanya lakini still mambo magumu.
Kama ndio nipo chuo, na Hali ipo hivi je nikimaliza?
UDOM pale 1500/- niliitumia siku 6.
Half cake moja 250 na maji ya ku -download mida ya saa 5 asubuhi kila siku. Siku boom lilipotoka nikakaa sawa.
Ndio,ukifikiria sana kuhusu unayopitia masomo hayawezi kupanda lkn ni vizuri kukubaliana na hiyo hali utasoma vizuri tu.