Sitaki kuzini: Sijawahi kuona kama ana dalili za kuoa na sitaki kumwambia unioe

Sitaki kuzini: Sijawahi kuona kama ana dalili za kuoa na sitaki kumwambia unioe

Habari za mida hii ndugu zangu

Nmekuja nipate ushauri maana naona kila ninalotaka kuliweka mezani napangua.

Nimekuwa na mahusiano na kijana mmoja kama miezi miwili hivi au mitatu. Alinikuta sina mtu na tukaanzisha uhusiano (Huyu mtu ananijua na tunajuana maana tumetoka sehemu moja na tumesoma wote primary na alikuwa ananipenda toka primary na baadae huku ukubwani, ila imetokea tumedate mwaka huu.

Mimi ninasali na mwenzangu sio kiivo japo hajawahi kunipa changamoto za mimi kumtafuta Mungu. Nilipoanza nae mahusiano ghafla nkaona kama narudi nyuma kiroho (nimepitia mengi mpaka kujiconnect zaid na Mungu na ndio ilikuwa pona yangu)

Nilirudi nyuma kiroho nikawa namiss mambo mengi ya kanisani japo hakuwahi nizuia. Niseme tu nilirudi nyuma na vita nilivyokuwa napitia mwanzo vilirudi kwa kasi. Nikamuomba anipe space maana nilishindwa kubalance Mungu na mapenzi(alikuja moto maana kunipata aliona kama nini sijui).

Tukaaa week akaniomba kuwa nimpe nafasi atajitaidi kuweka chachu ya mimi kusali, nikarudi tena. Ikaenda nikawa napitia mambo mengi kiroho na kila siku kanisani naombewa na nikaambiwa mlango unaowapa nafasi Adui ni Uzinzi. Nikaletewa ndoto kuhusu uzinzi unavonilostisha(wanaojua mambo ya kiroho wanaelewa) nikaamua kusikiliza na kuacha uzinzi.

Nilichojia hapa ni kuwa niongee vipi na mwenzangu aelewe kuwa sipo tayari kuzini, maana mtu asiyesali ataona kama nachekesha. Asiwaze namuacha kwa sababu nyingine ila sina sababu zaidi ya hiyo.

Ningeweza kusema labda aamue kama ananioa au vipi ila katika story sijawahi kuona kama ana dalili za kuoa na sitaki kumforce wala kumwambia unioe lakini sitaki kuzini. Naombeni ushauri niongee nae vipi.

Ukiona huna ushauri pita tu, Kuna watu wajuaji sana HUMU.
Naomba unijuze maana ya "Kidawisee".

Natanguliza shukrani za dhati.
 
Choose God Honey.

You will never regret.

The Good Lord holds the key to all the beautiful things in this world. Like Happiness, love, wealth, and Good health.

When the time is right He will unlock all the goodies with perfect timing.

If he insists on adultery, the more reason you should let him go.

Good Luck.
 
Choose God Honey.

You will never regret.

The Good Lord holds the key to all the beautiful things in this world. Like Happiness, love, wealth, and Good health.

When the time is right He will unlock all the goodies with perfect timing.

If he insists on adultery, the more reason you should let him go.

Good Luck.
How about you cute
 
Habari za mida hii ndugu zangu

Nmekuja nipate ushauri maana naona kila ninalotaka kuliweka mezani napangua.

Nimekuwa na mahusiano na kijana mmoja kama miezi miwili hivi au mitatu. Alinikuta sina mtu na tukaanzisha uhusiano (Huyu mtu ananijua na tunajuana maana tumetoka sehemu moja na tumesoma wote primary na alikuwa ananipenda toka primary na baadae huku ukubwani, ila imetokea tumedate mwaka huu.

Mimi ninasali na mwenzangu sio kiivo japo hajawahi kunipa changamoto za mimi kumtafuta Mungu. Nilipoanza nae mahusiano ghafla nkaona kama narudi nyuma kiroho (nimepitia mengi mpaka kujiconnect zaid na Mungu na ndio ilikuwa pona yangu)

Nilirudi nyuma kiroho nikawa namiss mambo mengi ya kanisani japo hakuwahi nizuia. Niseme tu nilirudi nyuma na vita nilivyokuwa napitia mwanzo vilirudi kwa kasi. Nikamuomba anipe space maana nilishindwa kubalance Mungu na mapenzi(alikuja moto maana kunipata aliona kama nini sijui).

Tukaaa week akaniomba kuwa nimpe nafasi atajitaidi kuweka chachu ya mimi kusali, nikarudi tena. Ikaenda nikawa napitia mambo mengi kiroho na kila siku kanisani naombewa na nikaambiwa mlango unaowapa nafasi Adui ni Uzinzi. Nikaletewa ndoto kuhusu uzinzi unavonilostisha(wanaojua mambo ya kiroho wanaelewa) nikaamua kusikiliza na kuacha uzinzi.

Nilichojia hapa ni kuwa niongee vipi na mwenzangu aelewe kuwa sipo tayari kuzini, maana mtu asiyesali ataona kama nachekesha. Asiwaze namuacha kwa sababu nyingine ila sina sababu zaidi ya hiyo.

Ningeweza kusema labda aamue kama ananioa au vipi ila katika story sijawahi kuona kama ana dalili za kuoa na sitaki kumforce wala kumwambia unioe lakini sitaki kuzini. Naombeni ushauri niongee nae vipi.

Ukiona huna ushauri pita tu, Kuna watu wajuaji sana HUMU.
Sasa ukizn c unatubu mambo mengne yanaendelea , usimbanie jamaa bana .
 
Tunajiombea wenyewe,ila kuna mda mtu anashindwa kuomba kutokana na hali atakayopitia wakati uo.Ndio maana Mungu alisema,popote mtakapokusanyika kwa jina langu,ntakuwepo.Alimaanisha huwezi kuomba peke yako.
Si kweli dada angu,me sijui una muda gani kwenye wokovu but kwa kauli hii nimejua wewe unaanguka kwenye uzinzi sababu inaonekana bado hujapata ufahamu vizuri neno likakolea...Yesu ambae ametufunisha jinsi ya kuomba alikua anajitenga we unasema mtu hawezi omba peke ake..kwaio wewe huwa huombi mpaka uwe na mtu?na mtu mwenyewe ndio huyo anakurudisha kwenye uzinzi?

Ushauri wangu kua na msimamo,biblia inasema IKIMBIENI ZINAAA narudia IKIMBIE hili sio jambo la kiroho tu ni la kimwili pia USIWEKE MAZINGIRA YA WEWE NA HUYO MTU KUWA FARAGHA ETI MNAOMBA wengi sana wanaanguka hapo,kama mnania ya kuomba kaombeni kanisani.

Pia tafuta sana ufahamu kuhusu mambo ya Mungu na neno,soma neno kwa kutafakari na Mualike Roho akuongoze ULIELEWE,mana shetani haogopi NENO wala HAMUOGOPI ALIEOKOKA ila anamuogopa MTU ALIEOKOKA ANAELIFAHAMU NENO ndio maana Yesu alipojaribuwa alijibu kwa NENO ambalo akiwa analielewa vizuri.

Usijibusu wala kutomasana wala kukaa faragha imetusaidia sana wenzio.Hakuna mizimu apo wala wachawi IKIMBIE ZINAA.
 
Si kweli dada angu,me sijui una muda gani kwenye wokovu but kwa kauli hii nimejua wewe unaanguka kwenye uzinzi sababu inaonekana bado hujapata ufahamu vizuri neno likakolea...Yesu ambae ametufunisha jinsi ya kuomba alikua anajitenga we unasema mtu hawezi omba peke ake..kwaio wewe huwa huombi mpaka uwe na mtu?na mtu mwenyewe ndio huyo anakurudisha kwenye uzinzi?

Ushauri wangu kua na msimamo,biblia inasema IKIMBIENI ZINAAA narudia IKIMBIE hili sio jambo la kiroho tu ni la kimwili pia USIWEKE MAZINGIRA YA WEWE NA HUYO MTU KUWA FARAGHA ETI MNAOMBA wengi sana wanaanguka hapo,kama mnania ya kuomba kaombeni kanisani.

Pia tafuta sana ufahamu kuhusu mambo ya Mungu na neno,soma neno kwa kutafakari na Mualike Roho akuongoze ULIELEWE,mana shetani haogopi NENO wala HAMUOGOPI ALIEOKOKA ila anamuogopa MTU ALIEOKOKA ANAELIFAHAMU NENO ndio maana Yesu alipojaribuwa alijibu kwa NENO ambalo akiwa analielewa vizuri.

Usijibusu wala kutomasana wala kukaa faragha imetusaidia sana wenzio.Hakuna mizimu apo wala wachawi IKIMBIE ZINAA.
Wenye uelewa watakuelewa mkuu umemaliza kila kitu.
 
Dada mweleze tu kwa hekima kuwa mnachofanya akimpendezi MUNGU, maana mnafanya uzinzi, na uzinzi ni chukizo kwa MUNGU.
Na ili mfanikiwe inawabidi mumfuate MUNGU.
 
Unakitu unahitaji, sema mapema ajue, hakuna wa kukusemea....
 
Yes@Noelia Haya mambo ya kiroho acha tu,mimi kabla sijazini nlikuwa fresh tu,nkaanza uhusiano mambo yanavurugika,nkaaacha nkawa vinzuri,nlivorudia ndio balaa,Vita kali mnoo.Nashukuru Mungu nmepata neema ya kujua mlango.
Fuat mlango huo wa neema utashangaa mengi katika maisha yako yanafunguka
 
Back
Top Bottom