Sitaki kuzini: Sijawahi kuona kama ana dalili za kuoa na sitaki kumwambia unioe

Sitaki kuzini: Sijawahi kuona kama ana dalili za kuoa na sitaki kumwambia unioe

Wajuaji tupo ili kuwaondolea ujinga mnaoukumbatia hapa! Hivi unaelewa kwamba huyo Nabii wenu anatembea na waumini wenzio humo humo kanisani licha ya vitisho vyake kwenu?

Swala jingine ni kuwa ukipenda ua penda na boga lake! Ukitaka mchumba ukubali na kugongwa kama hutaki kugongwa tafuta kaka wa kiroho muendele kusindikizana kwenye misa za week nzima!
Dada anataka kuwa na mpenzi lakini kupelekewa moto hataki..What the heck is that relationship?
 
Acha kumpotosha mwenzako wewe. Iko hivi :
Ukiona wewe unatenda dhambi na hupati misuko suko na mwwnzako akitenda dhambi hiyo hiyo anapata misukosuko, basi fahamu kwamba Mungu kamchagua yeye na wewe kakuacha.
Imeandikwa kuwa wale watu ambao MUNGU anawapenda basi huwaadhibu pale wanapokosea kama vile baba avyowaadhibu watoto wake wakikosea. Soma MITHALI 3:11-12
Asantee,umenisaidia kumjibu.
 
Shida ya haya madhehebu yetu unaweza kukuta anayekuombea uache uzinzi naye ni mzinzi wa kimataifa.
Imeandikwa fata maneno yao sio matendo yao,Ushauri kuhusu mtu kuacha uzinzi sidhani kama ni kupotosha.
 
Kama kweli unasali na kumtii MUNGU basi endelea kumwamini MUNGU, mkabidhi njia zako zote na yeye atakuongoza.
Ukimtumaini MUNGU atakuunganisha na Mume anayekufaa na siyo Mume unayemtaka wewe.
Kama huyo jamaa ni chaguo la MUNGU kwa ajili yako basi Yeye MUNGU atakufungulia njia na jamaa atakuoa. Wala huna haja ya kuhangaika kumshawishi akuoe, wewe tulia, mwamini MUNGU.
Lakini kumbuka, imani pasipo matendo ni bure. Imani yako kwa MUNGU ni lazima iambatane na "utiifu" na "sala".
Asantee Son of Gamba,maneno ya busara sana aya.
 
Kuruka kiunzi cha uzinzi kwenye hii dunia ya sasa ni sawa na mtu kuponyoka adhabu ya kifo kwenye guillotine... Wale wote ambao wana Misheni ya kuacha uzinzi Mungu awatie nguvu sana kwa kweli.

MÊmENtO HoMO
Ukiamua kumpenda Mungu zaidi ya vitu na mtu unaweza.Kila kitu ni Imani.
 
Kuuziwa mbuzi kwenye gunia ni mimi kulipa mahari na kugharamia harusi ya mamilioni kisha usiku baada ya harusi naenda kumkuta mke wangu ana vitu ambavyo siwezi kuvivumilia kimaumbile..maybe kuna mtu mwingine angemkubali ila sio mimi.

Hivi ukinikuta na kidudu kama cha mtoto utaendekea kuwa na mimi?

Kuepusha hili ni bora watu wakapeana mambo kabla ya full commitment(ndoa)
Aaahaaa,Mungu hawezi kukupa nyoka ukimuomba samaki.
 
Shida ya haya madhehebu yetu unaweza kukuta anayekuombea uache uzinzi naye ni mzinzi wa kimataifa.
Mchungaji hana mbingu ya kukupeleka.
Naye ni binadamu wa kawaida kama wewe.

Neno la Mungu ni upanga ,Biblia inasema hivyo.
Ni upanga ukatao pande mbili...
Sometimes naweza kutoa Neno ambalo hata mimi linanikata,,lakini hakuna namna ni lazima Neno lisimame.
Hatusemi yale yanayotufavor tu!!tunayasema YOTE.

Fuata nyayo zake Kristo,
Chukua yale yaliyo mema kwa watumishi wa Mungu.
Ogopa kufanya dhambi eti kwa sababu fulani anafanya..kila mmoja atatoa hesabu zake.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Ntajioa mkuu.
Sasa hapo ni kuji contradict, unajuwa kabisa huwezi kujioa, labda uige wale wenye matatizo ya akili, una msimamo mzuri, shikilia huo, utapata inshallah, kama kweli una nia na kweli hutaki ujinga wa kuzini hovyo hovyo kwa wale fisi wapenda nyama..
 
Mkuu Kama uko kiroho... Mungu atakupa wakiroho.... Nyumbani mwababa kunavijana wengiii... Kaa utulie muombe Mungu atakupa mtu sahihi kabsa.


Note: Usifunge nira na wasio amini
Maneno ya busara aya,nyumbani mwababa kuna vijana wengii Amen Ayos.
 
Kwa kuwa nishakula pilau kadhaa..
Ohooo
Hilo sasa ndilo nililokuwa nalitaka useme

Tendo la ndoa ni kwa ajili ya wanandoa yaani mke na mume,nje na hapo ni dhambi .

Kama ulifanya mwanzo aidha kwa kujua ama kwa kutokujua basi hiyo haikupi uhalali wa kuendelea kufanya.

Hayo ni madhara ya uzinzi.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Ohooo
Hilo sasa ndilo nililokuwa nalitaka useme

Tendo la ndoa ni kwa ajili ya wanandoa yaani mke na mume,nje na hapo ni dhambi .

Kama ulifanya mwanzo aidha kwa kujua ama kwa kutokujua basi hiyo haikupi uhalali wa kuendelea kufanya.

Hayo ni madhara ya uzinzi.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Nimekujibu hivyo coz nilijua unakoelekea...Kiimani sio sawa kama unavyosema..ila socially ni sawa,lazima ujue standard ya kitu unachotaka kuwa nacho.
 
Nimekujibu hivyo coz nilijua unakoelekea...Kiimani sio sawa kama unavyosema..ila socially ni sawa,lazima ujue standard ya kitu unachotaka kuwa nacho.
Mungu aliweka sheria hizo ili tuzitekeleze katika jamiii.

Hicho kitu hakiwezi kuwa sawa kwa namna yoyote ile

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
kwa mfano wewe mwanamke ulishatembea na mwanamme wako tuseme miaka hata 5 halafu mkaachana, umeanza mahusiano mengine yana mwaka mmoja. Halafu unafosi huyu jamaa mpya akuoe do you think that's fair
Hutakiwi kuforce ndoa,Mtu akiona unafaa ataomba,Ndio maana hata mimi sijawahi mgusia jamaa kuwa utanioa?Ila katika maongezi unamuona anamuelekeo gani.
 
Back
Top Bottom