Sitaki kuzini: Sijawahi kuona kama ana dalili za kuoa na sitaki kumwambia unioe

Sitaki kuzini: Sijawahi kuona kama ana dalili za kuoa na sitaki kumwambia unioe

Mpenzi (mtaje kwa jina lake),

Kuna jambo linanitatiza sana. Na kwa hili naomba nikueleze yanayonisibu.

Kwanza, tambua ya kuwa nakupenda na hakika nakupenda mno. Hilo halina shaka yeyote na wewe walifahamu vema. Naamini ya kuwa hata wewe unanipenda.

Pili, naamini ya kuwa misuko suko ya hapa na pale hayatahitimisha mapenzi yetu kama kweli yanatoka miyoyoni mwetu. Tumeshajenga msingi, kinachofuata ni ukuta imara wa kutukinga.

Tatu, najua fika ya kuwa mapenzi (kulalana) ni nguzo moja imara katika kuimarisha mahusiano. Na tumeshafanya hivyo mara kadhaa. Unanijua nje ndani.

Lakini, hivi karibuni nimeanza kupitia misukosuko fulani (itaje). Na nimeoteshwa pia ndoto juu ya misukosuko hii (mhadithie ilivyokuwa). Na katika kutafuta suluhisho la changamoto hii, nimeelezwa kuwa usinzi ndiyo mlango unapotokea. Na nikijaribu kufikiri naona kama kweli kwa kuwa kabla ya hapo haikuwa hivi.

Kwa hiyo, ikikupendeza naomba tuendelee kuwa wapenzi bila ya kushiriki tendo la ndoa mpaka pale ambapo tutafunga ndoa. Narudia nia yangu siyo kukunyima tendo kwa sababu ni kwa manufaa yetu sote. Na ingekuwa hivyo nisingekubali tangu hapo mwanzo.

.......

Kaa tulia mpe akujibu. Mtapata muafaka na utaendelea na maisha.
Asanteeee,hapo pa kusema tumeshariki unanijua,Asante kwa maneno ya busara,natamani niamishie aya maneno mdomoni nisitoe neno hata moja.
 
Me too....i chase to bash but quality ones i struggle to keep. Sasa ilitokea wife materials kashanielewa kila kitu na guest/geto anakuingia ila ataki tutumie mpaka eti niende kwao... whaaat im not that nut. 3 incidents wananielewa ila no testing dah kidume siezi kubali mbuzi kwenye gunia lazma nitest kwanza is it alive? Is it healthy?
Aaaahaa,ni kweli ukitumia akili za kibinadamu ni ngumu,ila neno likikukaa ukaelewa unaweza,Mungu ashindwi kukupa unachotaka ukiwa mwaminifu kwake.
 
Wajuaji tupo ili kuwaondolea ujinga mnaoukumbatia hapa! Hivi unaelewa kwamba huyo Nabii wenu anatembea na waumini wenzio humo humo kanisani licha ya vitisho vyake kwenu?

Swala jingine ni kuwa ukipenda ua penda na boga lake! Ukitaka mchumba ukubali na kugongwa kama hutaki kugongwa tafuta kaka wa kiroho muendele kusindikizana kwenye misa za week nzima!
Pole sana kaka.
 
Hii ishu iko kiroho zaidi wengi hawawezi kukuelewa, mwambie kwa uwazi tafuta sababu yoyote yenye mantiki atakayoelewa then achana nae, ama punguza mawasiliano nae,

Wengine tukizini tunapitia mateso sana kwenye maisha unafulia mpk unakoma nafsi inatukutika tu muda wote, kwahiyo nakuelewa Sana tu unachopitia
Yes@Noelia Haya mambo ya kiroho acha tu,mimi kabla sijazini nlikuwa fresh tu,nkaanza uhusiano mambo yanavurugika,nkaaacha nkawa vinzuri,nlivorudia ndio balaa,Vita kali mnoo.Nashukuru Mungu nmepata neema ya kujua mlango.
 
Wajuaji tupo ili kuwaondolea ujinga mnaoukumbatia hapa! Hivi unaelewa kwamba huyo Nabii wenu anatembea na waumini wenzio humo humo kanisani licha ya vitisho vyake kwenu?

Swala jingine ni kuwa ukipenda ua penda na boga lake! Ukitaka mchumba ukubali na kugongwa kama hutaki kugongwa tafuta kaka wa kiroho muendele kusindikizana kwenye misa za week nzima!
Chali angu hauna mboyoyo mingi
 
Hii ishu iko kiroho zaidi wengi hawawezi kukuelewa, mwambie kwa uwazi tafuta sababu yoyote yenye mantiki atakayoelewa then achana nae, ama punguza mawasiliano nae,

Wengine tukizini tunapitia mateso sana kwenye maisha unafulia mpk unakoma nafsi inatukutika tu muda wote, kwahiyo nakuelewa Sana tu unachopitia
Ukizini kivipi?
 
Mchungaji hana mbingu ya kukupeleka.
Naye ni binadamu wa kawaida kama wewe.

Neno la Mungu ni upanga ,Biblia inasema hivyo.
Ni upanga ukatao pande mbili...
Sometimes naweza kutoa Neno ambalo hata mimi linanikata,,lakini hakuna namna ni lazima Neno lisimame.
Hatusemi yale yanayotufavor tu!!tunayasema YOTE.

Fuata nyayo zake Kristo,
Chukua yale yaliyo mema kwa watumishi wa Mungu.
Ogopa kufanya dhambi eti kwa sababu fulani anafanya..kila mmoja atatoa hesabu zake.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Exactly....
 
Mchungaji hana mbingu ya kukupeleka.
Naye ni binadamu wa kawaida kama wewe.

Neno la Mungu ni upanga ,Biblia inasema hivyo.
Ni upanga ukatao pande mbili...
Sometimes naweza kutoa Neno ambalo hata mimi linanikata,,lakini hakuna namna ni lazima Neno lisimame.
Hatusemi yale yanayotufavor tu!!tunayasema YOTE.

Fuata nyayo zake Kristo,
Chukua yale yaliyo mema kwa watumishi wa Mungu.
Ogopa kufanya dhambi eti kwa sababu fulani anafanya..kila mmoja atatoa hesabu zake.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Mchungaji ni Binadamu,Biblia inasema fata maneno sio matendo,Mchungaji akikuhubiria uzinzi sidhani eti anapotosha.
 
Sasa hapo ni kuji contradict, unajuwa kabisa huwezi kujioa, labda uige wale wenye matatizo ya akili, una msimamo mzuri, shikilia huo, utapata inshallah, kama kweli una nia na kweli hutaki ujinga wa kuzini hovyo hovyo kwa wale fisi wapenda nyama..
Nina msimamo na nmechagua Mungu badala ya tamaa ya mwili.Aliyesahihi atanielewa.
 
Hutakiwi kuforce ndoa,Mtu akiona unafaa ataomba,Ndio maana hata mimi sijawahi mgusia jamaa kuwa utanioa?Ila katika maongezi unamuona anamuelekeo gani.
Yule wa miaka mitano, mtu hakusikia pia kuhusu ndoa? Lazima kuna wakati
Tukubaliane kwamba kuoa na kuolewa ni bahati it is not for everyone
 
Issue kma hii imewah kunitokea kwa binti mmoja tulipendana sana na me ndo nlikuwa mwanaume wa kwanza kwake.... binti alikuwa deep sana kiroho baada ya muda akanza kuniambia anaona ukarbu wake na Mungu unapungua akawa anaona maono kuhusu maswala ya uzinzi baada ya muda kma wa miezi sita akaja kuniambia hawez kuendelea kuwa na mm sababu anajiona anakuwa mbali na Mungu nikamuacha aende japo kwa maumivu
 
Walokole mna tabia ya kumakinikia sana dhambi ya uzinzi utafikiri ndiyo dhambi pekee iliyopo. Hata ukiacha uzinzi, hizo dhambi nyingine huzitendi? Unazishika amri zote 10 za Mungu sawasawa au umekazania tu hii ya uzinzi kwa vile umeambiwa ndiyo lango ambalo shetani anataka kuingilia.

Yote kwa yote maamuzi yako ni mema na kama kweli umeamua kuwa celibate na kuacha madhambi yote mengine utaishi kwa amani sana na mambo yako yatanyooka mno. Na Mungu Atakuletea mtu atakayekuelewa msinyanduane mpaka baada ya ndoa japo ni kubahatisha sana!
Mkuu si bora angekuwa bikra ndo afanye ivo tungemuelewa.
 
Yan kwenye kuzini utesekage wew tuu....?dunia nzima watu wanazin na maisha yanaendelea..wengne wanazin waziwaz.nje nje..diamond anazini kila kukicha na mambo mazur tu...hebu toka kwenye kifungo hicho....huyo mchungaj anaekupa maneno hayo siajab nae ni mzinifu...gwaj boy had video anazo...

Enewei..usichkulie serious ndugu..nademka tu
Mchungaji atakuwa anamtamani mamb ya kuliwa kimasihara
 
Back
Top Bottom