AccomplishedEntrepreneur
JF-Expert Member
- Feb 25, 2020
- 507
- 878
That is a big statement. Biology? For example how?😅You feel guilty about your biology...Pole sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
That is a big statement. Biology? For example how?😅You feel guilty about your biology...Pole sana
Kuuziwa mbuzi kwenye gunia ni mimi kulipa mahari na kugharamia harusi ya mamilioni kisha usiku baada ya harusi naenda kumkuta mke wangu ana vitu ambavyo siwezi kuvivumilia kimaumbile..maybe kuna mtu mwingine angemkubali ila sio mimi.Mbuzi kwenye gunia ni kitu gani?
Hayo ni madhara ya kufanya tendo la ndoa kabla ya ndoa.
Mwanaume/mwanamke akijitunza hadi ndoa ,hayo ya gunia mbuzi wala hatayajua.
Shida watu wamekubuhu.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa hiyo sisi itakuaje SasaAcha kumpotosha mwenzako wewe. Iko hivi :
Ukiona wewe unatenda dhambi na hupati misuko suko na mwwnzako akitenda dhambi hiyo hiyo anapata misukosuko, basi fahamu kwamba Mungu kamchagua yeye na wewe kakuacha.
Imeandikwa kuwa wale watu ambao MUNGU anawapenda basi huwaadhibu pale wanapokosea kama vile baba avyowaadhibu watoto wake wakikosea. Soma MITHALI 3:11-12
Vitu gani ambavyo huwezi kuvivumilia kwenye maumbile?Kuuziwa mbuzi kwenye gunia ni mimi kulipa mahari na kugharamia harusi ya mamilioni kisha usiku baada ya harusi naenda kumkuta mke wangu ana vitu ambavyo siwezi kuvivumilia kimaumbile..maybe kuna mtu mwingine angemkubali ila sio mimi.
Hivi ukinikuta na kidudu kama cha mtoto utaendekea kuwa na mimi?
Kuepusha hili ni bora watu wakapeana mambo kabla ya full commitment(ndoa)
Ni Bora nmepata neema ya kuitambua moja na ambayo inamajaribu mengi na kuivuka tunahitaji neema ya Mungu,naweza pia kuacha nyingne na hakuna binadamu mkamilifu.Walokole mna tabia ya kumakinikia sana dhambi ya uzinzi utafikiri ndiyo dhambi pekee iliyopo. Hata ukiacha uzinzi, hizo dhambi nyingine huzitendi? Unazishika amri zote 10 za Mungu sawasawa au umekazania tu hii ya uzinzi kwa vile umeambiwa ndiyo lango ambalo shetani anataka kuingilia.
Yote kwa yote maamuzi yako ni mema na kama kweli umeamua kuwa celibate na kuacha madhambi yote mengine utaishi kwa amani sana na mambo yako yatanyooka mno. Na Mungu Atakuletea mtu atakayekuelewa msinyanduane mpaka baada ya ndoa japo ni kubahatisha sana!
Kwani usipo sali ndio sio zambiKuchakatwa wakati anasali si nidhambi hiyo kabisa
Mungu akusamehe,hujui kila mtu anayopitia ulitaka aje akuambie?Mimi ni mimi,na yeye ni Yeye mkuu.Yan kwenye kuzini utesekage wew tuu....?dunia nzima watu wanazin na maisha yanaendelea..wengne wanazin waziwaz.nje nje..diamond anazini kila kukicha na mambo mazur tu...hebu toka kwenye kifungo hicho....huyo mchungaj anaekupa maneno hayo siajab nae ni mzinifu...gwaj boy had video anazo...
Enewei..usichkulie serious ndugu..nademka tu
Asante dia kwa ushauri.Je unampenda kabla ya hayo yote?
Kama jibu ni ndio basi usione shida kumwambia ukweli aamue yeye.
Kama humpendi basi kazia hapo hapo hiyo sababu ushamtafutia. Mwambie kwa nguvu kubwa......kuzini ni dhambi mimi staki tena[emoji6] Mungu hapendi uzinzi[emoji23] sema yote yaan coz jibu unalo kuwa hakuwazii ndoa.atachomoa betri mwenyewe
Wanawake tunajuana wenyewe.
Asante kwa ushauri,asante sana.Wajifahamu zaidi ya namna tunakufahamu sisi, Ni vyema unasali kkama usemavyo, nenda madhabahuni weka nia yako tolea sadaka, nenda mwambie huyo kijana kama humpendi au wampenda wataka akuoe , neno lolote lile uwazalo Mungu hatakunyima, jitahidi usiwe na nia mbili Mungu hachezewi
Pole ya nini mamalai?Pole sana.