Mbona ukada unakumaliza hadi unakoswa kuwa na pointi??Mimi na wewe nani katangulia JF?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona ukada unakumaliza hadi unakoswa kuwa na pointi??Mimi na wewe nani katangulia JF?
Fatuma yuko vizuri sana yule dada maana mazingira yaliyo mfikisha hapo alipo ni urais sasa ukimuona mtu kama huyo anakosoa urais basi huna budi kukubali mchango wakeNaomba nimnukuu Wakili msomi Fatuma Karume anashangaa na kustaajabu watu ama wananchi wanapompigia magoti raisi ili hali wao ndio wanamuajiri kwa kumpigia kura yaani kumchagua atuongoze.
Naona unaongea bila kuushirikusha ubongo wako, huyo mleta uzi nani asiye mjua kuwa ni mpigania chama na ni mmoja wa kiongozi ndani ya ccm.Wapiga dili mmevumilia mpaka mmeona mtoe povu. Mlizoea kuzichota, sasa hamna mwanya mnatapatapa.
Kura yako hiyo moja haiwezi kumnyima ushindi. Kwanza inaweza kuwa ni kati ya zile zinazoharibika.
ThubuutuuuuuuAsipewe na yoyote, ngoja tuone kama kweli ni Yesu atayefanya miujiza kushinda bila kupigiwa kura.
Ktk nchi hii bila kuwepo na mawazo mbadala ya wapinzani leo hii mgekuwa mnalipishwa hata kodi ya kichwa.Akiandika ukweli ule mchungu ukawii kulaumu, napata wakati mgumu kujua wafuasi wa upinzani wanasimamia wapi linapokuja suala la maslahi mapana ya nchi na yenye tija kwa vizazi vijavyo
Mungu awabariki sana wajumbe maaana nyinyi ndiyo wenye maamuzi ya kuinusuru nchi yetu.Hii pia ni sababu ya anguko la Magufuli, ile kujifanya bila yeye mambo hayaendi. Yaani anataka kujipa umungu angali yeye ni binadamu. Eti kwamba bila yeye mambo hayaendi.
Wananchi wajumbe tutaongea kwa sauti moja
Ubarikiwe sana mkuu huo ndiyo uamuzi wa kizalendoKila siku nakagua kitambulisho changu cha kupiga kura baada ya kuhakiki jina langu kwenye kituo cha kupigia kura ili kujiweka sawa na siku hiyo.
Sihitaji kampeni ili kutoa maamuzi. Nimekwisha Fanya. Naendelea na kuwahamasisha wengine waniunge mkono kwa kuwanyima kura wagombea wore wa ccm. Sababu ni nyingi, lakini inayonisukuma ni kitendo cha ubaguzi wa serikali hii kuwanyima mikopo ya elimu ya juu baadhi ya waombaji, tena wenye sifa.
Umoja wetu ndiyo ushindi wetu wa kuiondoa ccmMwisho wa masisimu ndio huu, tukibugi hapa sijui itaondoka lini.!?
Hakuna wapayukaji kuliko maccmHakuna sauti ya kumtoa Rais Magufuli mwaka huu , tusidanganywe na sauti za wale 'wapayukaji'
Ulikuwa wapi mkuu? Naona leo umechelewa kidogoWewe kweli ni mgeni hapa jf, kama leo hii unamwambia Mzee mwana kijiji kuwa ni cdm[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
CrapSawa mrs Tundu AL
Kwa hiyo utampigia nani? Membe au yule mwenye damu ya wakenya mwilini mwake?Sina haja ya kusubiri kampeni zianze ili nishawishike. Sina haja ya kuuficha ukweli huu. Mwaka 2015, nilimsambaratisha Lowassa na kumpigia kura mgombea wa CCM yangu Dr.John P. Magufuli. Baada ya miaka yake mitano madarakani, nimekata shauri kuwa SITAMPIGIA KURA. Kupiga au kutopiga kura kwa mgombea, kwa kila mtanzania, kuna sababu yake. Kwangu mimi kinachonivutia ni kuongoza kikatiba, kisheria, kikanuni na kistaha.
Mimi Mzee Tupatupa, kada mwandamizi wa CCM, SITAMPIGIA KURA Dr. Magufuli pamoja na kuwa ni mgombea wa chama changu. Kitendo chake na kauli zake za KUHODHI FEDHA za Serikali kimenifanya nitafakari na kuamua nilivyoamua. Dr. Magufuli amejipambanua kama 'mmiliki pekee' wa fedha za nchi hii zilizopaswa kusimamiwa na Bunge. Kila apitapo, husema kuwa 'ninawapa/ninawaletea' kiasi fulani za fedha kana kwamba fedha hizo ni zake binafsi.
Kitendo cha kuhodhi hivyo kimezalisha watanzania wanafiki na watu wa kujipendekeza. Utawasikia: 'Rais ametuletea shilingi....... kwa ujenzi wa madarasa; Rais amekubali kutuletea shilingi....kwa ajili ya barabara' na kadhalika. tena utawasikia: 'Rais ametujengea…...', 'Rais amejenga…..'.Hapo Rais anachorwa kama aliyehodhi mfuko wa Hazina na fedha zote za Serikali . Hili si jambo la kuliunga mkono wala la kumpa kura mgombea wa aina hii.
Fedha za nchi zina utaratibu wake wa kukusanywa, kutumika na kukaguliwa. Kuhodhiwa na mtu mmoja si jambo jema wala la kuungwa mkono. Kuwa kiongozi wa Serikali hakutoshi kumfamya mhusika kuhodhi fedha zote za umma. Kwa hilo tu, SITAMPIGIA KURA. Haya ni maamuzi yangu binafsi.
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa jijini Dodoma)
Hata usipompigia kura bado watanzania wengine kwa wingi watampigia kura. Tupatupa wakati wa kwenda pale Lumumba kupewa fedha za bure umekwisha.Sina haja ya kusubiri kampeni zianze ili nishawishike. Sina haja ya kuuficha ukweli huu. Mwaka 2015, nilimsambaratisha Lowassa na kumpigia kura mgombea wa CCM yangu Dr.John P. Magufuli. Baada ya miaka yake mitano madarakani, nimekata shauri kuwa SITAMPIGIA KURA. Kupiga au kutopiga kura kwa mgombea, kwa kila mtanzania, kuna sababu yake. Kwangu mimi kinachonivutia ni kuongoza kikatiba, kisheria, kikanuni na kistaha.
Mimi Mzee Tupatupa, kada mwandamizi wa CCM, SITAMPIGIA KURA Dr. Magufuli pamoja na kuwa ni mgombea wa chama changu. Kitendo chake na kauli zake za KUHODHI FEDHA za Serikali kimenifanya nitafakari na kuamua nilivyoamua. Dr. Magufuli amejipambanua kama 'mmiliki pekee' wa fedha za nchi hii zilizopaswa kusimamiwa na Bunge. Kila apitapo, husema kuwa 'ninawapa/ninawaletea' kiasi fulani za fedha kana kwamba fedha hizo ni zake binafsi.
Kitendo cha kuhodhi hivyo kimezalisha watanzania wanafiki na watu wa kujipendekeza. Utawasikia: 'Rais ametuletea shilingi....... kwa ujenzi wa madarasa; Rais amekubali kutuletea shilingi....kwa ajili ya barabara' na kadhalika. tena utawasikia: 'Rais ametujengea…...', 'Rais amejenga…..'.Hapo Rais anachorwa kama aliyehodhi mfuko wa Hazina na fedha zote za Serikali . Hili si jambo la kuliunga mkono wala la kumpa kura mgombea wa aina hii.
Fedha za nchi zina utaratibu wake wa kukusanywa, kutumika na kukaguliwa. Kuhodhiwa na mtu mmoja si jambo jema wala la kuungwa mkono. Kuwa kiongozi wa Serikali hakutoshi kumfamya mhusika kuhodhi fedha zote za umma. Kwa hilo tu, SITAMPIGIA KURA. Haya ni maamuzi yangu binafsi.
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa jijini Dodoma)
Kwani uliwahi kumpa?Simpi kura Magufuli....NEVERRRRR!