Sitarajii Polepole kuapishwa kesho, ukibisha ungana na timu wahuni

Ametegwa kuna mambo mawili hapa:
  1. Lengo ni kumwondoa kwenye ubunge kijanja, je anaondolewaje? Kama alishiriki mipango haramu ya kuwaumiza wenzake, basi ujanja huohuo unatumika kumwondoa yeye, hapa akikataa hatakuwa amemkomoa au kumuaibisha kiongozi ila hicho atakachofanya ndicho wenzake walikusudia kiwe, hawakutaka kumwondoa kwa aibu. (Tengua uteuzi)
  2. Amepelekwa ubalozi wa nchi inayochanja dhidi ya covid19 ambayo yeye si muumini wake, akienda atalazimika kuchanja na atakuwa amesaliti msimamo wake, asipokwenda ndiyo furaha ya wateuzi kwakuwa atachomoka kwenye mfumo, kwahiyo kilichofanyika ni kucheza na akili yake

 
Mm furaha yangu ni Mungu kutuondolea Magufuli
 
Karma is real
 
Hana Ubavu wa kukataaa, Magufuli ni marehemu yeye ni nani apinge. Skate kwenda apelekwe aapishiwe hata chumbani pre recorded taaapa tu
 
Nimewaza na kufikiri kama wewe lakini sijui
 
Mbona unamsemea kuwa haivuti wakati hauishi naye!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…