Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Pole, do not trust an empty stomach.Tunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.
Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.
Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.
Malawi aende muhuni mwenzao.
Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?
Why now? Why this week? How?
Tusubiri kukuche!
Keshaapishwa tayariTunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.
Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.
Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.
Malawi aende muhuni mwenzao.
Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?
Why now? Why this week? How
Keshaapishwa tayariTunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.
Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.
Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.
Malawi aende muhuni mwenzao.
Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?
Why now? Why this week? How?
Tusubiri kukuche!
?
Tusubiri kukuche!
Hahaha. Na anasisitiza kabisa.Hahaha anamtoa mwenzie kafara ilhali yeye kajibanza jf
AiseeTuna hasira tunatamani hata vita itokee halafu tuone mshindi nani.
Pambana na majina yako matatu kuchukua nafasi ya Polepole kama alivyokuwa akifanya yeye.Huo upuuzi ulioandika hapo wala sitetereki. Kawatishe wadini wenzako huko.
AmeapaTuombe dua
Njaa hainaga jasiri bwana Taratibu faster kala kiapo.Tunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.
Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.
Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.
Malawi aende muhuni mwenzao.
Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?
Why now? Why this week? How?
Tusubiri kukuche!
Ataenda chuo Kwanza halafu wahuni watakutana naye kabla hajaenda Malawi.Atatangaza kuchanga ndo aende Malawi.Wahuni siyo watu.Mwamba haendi Kuapishwa I tell you subiri kukuche uone. Akienda ataapishwa kisha atajiulu kabla hajaenda Malawi.
Vipi bado unaota? Mwenzenu njaa imeuma ameamua ajiunge tu maana hawezi kusujudu wafu.Tunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.
Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.
Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.
Malawi aende muhuni mwenzao.
Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?
Why now? Why this week? How?
Tusubiri kukuche!
Naona baharia wenu hajaapishwa amekataa na hatachanja ππTusubiri uapisho time tuone, baharia hayumbi alishaona haya kitambo na alishaamua msimamo mapema.
Hahah kumbe unapajua pale karibu na Kona ya kwenda bahari beach kwenye zile fremπJiwe alimfanya Nchimbi hivyo hivyo akamtupa Brazil!! Afadhali hapo Malawi sio mbali sana anaweza kupanda basi akaja kuangalia miradi yake! Polepole alikuwa na mradi wa Uwakala wa mitandao ya Simu kule Bahari beach!!
mwenzio anakenua hadi jino la mwisho wewe unasemaje [emoji1787]Tunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.
Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.
Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.
Malawi aende muhuni mwenzao.
Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?
Why now? Why this week? How?
Tusubiri kukuche!