Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matttaco yako,pimbi wwGazeti gani hili mkuu nipashe,mwanachi?
😅 😅 😅 😅 🤣 🤣 haya banaHome mtoto wa Yesu mimi [emoji23][emoji23]
Mambo bby😳Umeanza lini? 🤭
Daaah angalau ungefupisha.Kwani Ndefu sana eeh...
Mkuu kuna watu mbunye wamezijulia ukubwani zonawaendesha kochizi.Kwanza Akili yangu ikinituma nifanye jambo naloona sahihi mpenzi wangu haweZi nikataza labda mke tena sio kila kitu..yaani mpenzi wangu ndo aniambie Masharti eti sitaki ulaze marafiki zako kwenye nyumba yangu!!!!anajua wananisaidia nini kwenye Maisha????
Pili jamaa ajakomaa kiakili haweZi kuishi na mwanamke
Tatu, huna rafiki labda huyo ni rafiki Yako ila wewe sio rafiki yake..
Nne,nasikitika sana kuona wanaume tunapoteza code za kiume...
Mwanamke hataki mtu asiye na maamuzi kwani ungesubiri nje then urudi kwenye kochi kulala au angekupa hela ya lodge .
Sioni sababu ya kukubali kuishi na mtu then umuone mzigo..
Na hizi tabia za kuthamini mademu kuliko masela zimewacost wengi sana..demu sio mke..
Jamaa mbishi wewe ndio maana ulitolewa nje usiku wa manane 😆O na 0 z0te hazina kitu katikati Kaka...
Ivi unaongezeka kutokana na urefu sio 😄Tena uwe na nch 6 ndo utakoma [emoji1787]
Yap itakuwa yupo kati ya hapoKwa jinsi ulivoandika 0=o ???
Una range from 18 to 22
Poa darling! Vp?Mambo bby
Ok,bas hiyo ni 5....at leastHahhaha nilishasahau nch 4.9 sema haikukaa wima fresh kama inavokaag kweny zile harakat [emoji1787]
Kamlaza mwenzake kwenye kochi alafu kamzika na minguo michafu juu 😆Ukisikia msela mavii ndio huyo sasa [emoji23][emoji23][emoji23]
Ogopa sana mtu anaye endekeza wanawake hakawii kukuacha kwenye mataa 😃🍻Kwanza Akili yangu ikinituma nifanye jambo naloona sahihi mpenzi wangu haweZi nikataza labda mke tena sio kila kitu..yaani mpenzi wangu ndo aniambie Masharti eti sitaki ulaze marafiki zako kwenye nyumba yangu!!!!anajua wananisaidia nini kwenye Maisha????
Pili jamaa ajakomaa kiakili haweZi kuishi na mwanamke
Tatu, huna rafiki labda huyo ni rafiki Yako ila wewe sio rafiki yake..
Nne,nasikitika sana kuona wanaume tunapoteza code za kiume...
Mwanamke hataki mtu asiye na maamuzi kwani ungesubiri nje then urudi kwenye kochi kulala au angekupa hela ya lodge .
Sioni sababu ya kukubali kuishi na mtu then umuone mzigo..
Na hizi tabia za kuthamini mademu kuliko masela zimewacost wengi sana..demu sio mke..