Sitasahau usiku ule: Alinifukuza kwake usiku kisa mwanamke!

Sitasahau usiku ule: Alinifukuza kwake usiku kisa mwanamke!

Nilimuombana sana maana Tegeta mimi mgeni, na usiku ule ni mkubwa na hakuna pahala napafahamu ila rafiki yangu yule hakuthamini hata chozi langu lililokuwa linaomba msaada kwa usiku ule tu. Hakuwa na chembe hata ya huruma, wala kufikilia urafiki wetu, wala mangapi nilimsaidia kipindi cha nyuma!
Hapa huwezi shindana na mind ya binadamu ku seek pleasure. Huwa Kuna nguvu kubwa mno yaani mno.
So unapomnyima Raha anaweza akakuua kwanza
 
Hatare [emoji23][emoji23][emoji23]
Msicheze na sisi mnaweza kufanya jambo lolote yote mpate utelezi, sasa nawaza jamaa na nguvu alizikuta wapi za kupiga game?
Hawa walikuwa madogo akili wote sawa 😄 sasa utananii vipi huku unajua mwenzako yupo chumba cha pili tena utakuta hakina hata mlango ndio maana jamaa alivyoinuka tuu dada wa watu kasikia kaanza kupiga kelele
 
Yap itakuwa yupo kati ya hapo
Huwezi kurundikiwa nguo juu ukiwa umelala kwenye kochi mtu mzima [emoji2]

Kanichekesha alivyoibuka km Rambo [emoji23][emoji23][emoji23]

Na muongo anasingizia kukosa hewa eti!! Yeye aseme walimtia stimu akadinda [emoji23][emoji23] alitaka akapige MMF pumbavu zake
 
Back
Top Bottom