Sitasahau usiku ule: Alinifukuza kwake usiku kisa mwanamke!

Hakuwa na nia ya kukusaidia.
 
Mimi sio rafiki yangu n kaka angu. Tulienda kuangalia mpira mbali na home night. Kipindi hicho tupo secondary; Mimi kidato cha pili na bro Cha nne.

Bro kaniambia anaenda nje kuongea na simu demu wake kampigia. Mimi nikaendelea kucheki mpira nikijua bro yupo nje.
Mpira umeisha mishale ya 6 ucku. Kutoka nje simuoni bro. Kumpigia simu aliniambia yupo home karudi

Daah nikakomaa mwenyewe kurudi home. Ingawa mazingira sio. Kufika home nikamuuliza vp mbona umeniacha. Akasema "Demu wangu aliponiuliza nipo wapi, nikamjibu. Akaniambia nirudi home hataki nicheki mpira."

Nilimcheki bro kwa hasira sana, angekuwa mdogo angu ningemtembezea kichapo. Nikamuuliza kwann hakuniambia kama anarudi home?
Yaani unaniacha mdogo ako kwasababu ya demu?

Toka tukio lile nilimuona bro bwege tu.
 
Una zingua jamaa
 
Bwegeee mnoooo...bwegeee la kwanzaa mimi mwanamke wa kunipangia maisha namuacha chap
 
Kanichekesha alivyoibuka km Rambo [emoji23][emoji23][emoji23]

Na muongo anasingizia kukosa hewa eti!! Yeye aseme walimtia stimu akadinda [emoji23][emoji23] alitaka akapige MMF pumbavu zake
😂😂😂 Una uhuru wa kuwaza mengi sana ila Ni hewa na j0t0 tu 😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…