Sitashangaa kuona Yanga inaanzia tena nyumbani na kumalizia ugenini

Sitashangaa kuona Yanga inaanzia tena nyumbani na kumalizia ugenini

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Na si hivyo, tunaweza pia kupangiwa tena na timu zile zile zenye figisu figisu wanapocheza nyumbani. Hivyo, Yanga tujiandae kisaikolojia.

Kwa Tanzania, Kombe la Shirikisho bado ni kubwa mno kwani hakuna timu iliyowahi kubeba hicho kikombe, kwahiyo elekezeni nguvu huko.

Eleweni wako watu watakaowabeza kucheza Shirikisho wakati wao hicho kikombe hawana na huko waliko hawawezi kupata kikombe. Matokeo ya leo yanaweza kuja kugeuka kuwa ni a blessing in disguise.

Uwezo mnao. Tusubiri draw ya kesho kujua wapinzani wetu wapya.

Kazi kwenu viongozi.
 
Kwa asilimia 200. Furaha yenu mmeipata kwa Yanga kuondolewa.
Nimeongezewa furaha baada ya utopolo kufurushwa kwa wakubwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787], mlitumia nguvu nyingi Sana kuwapokea wageni na kujaribu kuihujumu Simba Sc you never had a concept that karma eats later!

Go to hell ukakutane na waliojeruhiwa beki zenyewe akina Joyce na mwamnyetoooo!
 
Back
Top Bottom