Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Nasubiria jibu niko paleeBado unaamini Simba hawana furaha Kwa kushinda goli moja
Kwa asilimia 200. Furaha yenu mmeipata kwa Yanga kuondolewa.Bado unaamini Simba hawana furaha Kwa kushinda goli moja
Unafiki pia ni kipaji.Dah ila hii yanga hii.....Nataman ata nijiue...Hivi timu yetu kumbe ndio mbovu kiasi hiki?
Dah ila hii yanga hii.....Nataman ata nijiue...Hivi timu yetu kumbe ndio mbovu kiasi hiki?
Mlipokuwa mnapokea wageni, kuwapa mbinu ili Simba ifungwe; lengo na makusudi yenu ilikuwa ni kuhuzunika au kufurahi?Kwa asilimia 200. Furaha yenu mmeipata kwa Yanga kuondolewa.
Usidanganye, Simba ilipotolewa na jwanneng Galaxy ilianzia nyumbani na kumalizia ugenini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], taabu iko palepale.Timu zote zilizotoka CHAMPIONS LEAGUE ZITAANZIA UGENINI
Sasa wale Al hilal wana mpira gani pale?Sio mbovu ila wamekutana na kiwango kingine
Jikite kwenye hoja ya msingi.Mlipokuwa mnapokea wageni, kuwapa mbinu ili Simba ifungwe; lengo na makusudi yenu ilikuwa ni kuhuzunika au kufurahi?
Nawatamani sana tuwe nao kundi moja maana kuna point sita pale za bureSasa wale Al hilal wana mpira gani pale?
Pale mtajipakulia tu shehena yenuNawatamani sana tuwe nao kundi moja maana kuna point sita pale za bure
Mbona kama una tatizo la kiakili ndugu?Kwa asilimia 200. Furaha yenu mmeipata kwa Yanga kuondolewa.
Zinaanzia nyumbaniTimu zote zilizotoka CHAMPIONS LEAGUE ZITAANZIA UGENINI
Nimeongezewa furaha baada ya utopolo kufurushwa kwa wakubwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787], mlitumia nguvu nyingi Sana kuwapokea wageni na kujaribu kuihujumu Simba Sc you never had a concept that karma eats later!Kwa asilimia 200. Furaha yenu mmeipata kwa Yanga kuondolewa.