Sitashangaa Lissu akipozwa na Pesa!

Sitashangaa Lissu akipozwa na Pesa!

Raisi wa TLS sku izi hasikiki ama ndo akuna mkate mgumu mbele ya chai
 
1. Bongo hakuna mkate mgumu mbele ya chai "pesa".

2. Hizi "harakati uchwara" ni njaa tu.

3. Likiwekwa dau mezani kila mtu anawaza TUMBO lake.
Mawazo mufilisi.
Walishindwa kumpoza wakati wa awanu ya tano iliyokuwa inanunua wapinzani.
 
hayupo wa kumpooza mtu mwenye mdomo kama huyo kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi,

Infact,
wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa watampooza kwenye sanduku la kura vizuri tu ili ikawe fundisho kwa wenye midomo na makelele kama yake 🐒
Wewe ni mwana CCM lakini unaumia sana Lissu kugombea.
Believe, atakuwa rais wako huyo miaka si mingi.
 
Wewe ni mwana CCM lakini unaumia sana Lissu kugombea.
Believe, atakuwa rais wako huyo miaka si mingi.
huenda akawa Rais wa mabwenyenye ya magharibi akisaidiwa na Moise Katumbi wa DRC.

Hakuna namna mzalendo anaweza kuumizwa na kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi gentleman 🐒
 
1. Bongo hakuna mkate mgumu mbele ya chai "pesa".

2. Hizi "harakati uchwara" ni njaa tu.

3. Likiwekwa dau mezani kila mtu anawaza TUMBO lake.
Utangija sana. Kumbuka cha ya Abduli haikufanikiwa kulaininsha mkate.
 
Kama SATIVA tu kamhonga hela ya fomu unadhani ataweza kukataa fungu la maana? Sema lijamaa ukilipa hela lazima liseme.... hata hela ya Sativa kaitaja hadharani.
 
1. Bongo hakuna mkate mgumu mbele ya chai "pesa".

2. Hizi "harakati uchwara" ni njaa tu.

3. Likiwekwa dau mezani kila mtu anawaza TUMBO lake.
Lissu anaweza kukataa rushwa bongo. Lakini kama EU, Ubelgiji, USA kukiwa na maslahi yao wakamwambia afanye hivi au asifanye hivi sidhani kama ana ubavu wa kuwapinga.

Mfano akiambiwa mashoga wawe na haki sawa Tanzania kama Ulaya, au asifanye miradi flani ya kimkakati kama bwana la umeme, SGR sidhani kama atawapinga. Anawasikikiza sana wazungu.
 
hayupo wa kumpooza mtu mwenye mdomo kama huyo kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi,

Infact,
wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa watampooza kwenye sanduku la kura vizuri tu ili ikawe fundisho kwa wenye midomo na makelele kama yake 🐒
Endelea kupiga ramli, awamu hii wachumia tumbo mtatulia tu
 
Endelea kupiga ramli, awamu hii wachumia tumbo mtatulia tu
nilidhani ushirikiana umeauacha 2024 kumbe umevuka nao hadi mwaka mpya 2025, si utapata tabu sana gentleman?🐒
 
lissu ananjaa na ndo maana kila siku anadai oooh pesa zangu za matibabu wakati watanzania walimchangia na matibabu alipata sasa anadai eti pesa zake za matibabu kama sio njaa ni nini ? Sio hivo tu hata pia kachangiwa mamilioni ya kununua gari sijui hizo pesa kapeleka wapi ?? Ni kweli hakuna mkate mgumu mbele ya chai.
Sijaelewa, Ukiwa na njaa ndo uchukue rushwa? Hii ideology ya wapi?
 
Inajulijana wazi na CCM na CDM kua Lisu ni kati ya Wanasiasa wanao jitahidi kujitenga na rushwa.

Pia, wanajitahidi kupinga rushwa hadharani bila kificho.
 
Back
Top Bottom