RoDrick RaY
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 1,189
- 1,690
Raisi wa TLS sku izi hasikiki ama ndo akuna mkate mgumu mbele ya chai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mawazo mufilisi.1. Bongo hakuna mkate mgumu mbele ya chai "pesa".
2. Hizi "harakati uchwara" ni njaa tu.
3. Likiwekwa dau mezani kila mtu anawaza TUMBO lake.
Wewe ni mwana CCM lakini unaumia sana Lissu kugombea.hayupo wa kumpooza mtu mwenye mdomo kama huyo kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi,
Infact,
wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa watampooza kwenye sanduku la kura vizuri tu ili ikawe fundisho kwa wenye midomo na makelele kama yake 🐒
huenda akawa Rais wa mabwenyenye ya magharibi akisaidiwa na Moise Katumbi wa DRC.Wewe ni mwana CCM lakini unaumia sana Lissu kugombea.
Believe, atakuwa rais wako huyo miaka si mingi.
Utangija sana. Kumbuka cha ya Abduli haikufanikiwa kulaininsha mkate.1. Bongo hakuna mkate mgumu mbele ya chai "pesa".
2. Hizi "harakati uchwara" ni njaa tu.
3. Likiwekwa dau mezani kila mtu anawaza TUMBO lake.
Lissu anaweza kukataa rushwa bongo. Lakini kama EU, Ubelgiji, USA kukiwa na maslahi yao wakamwambia afanye hivi au asifanye hivi sidhani kama ana ubavu wa kuwapinga.1. Bongo hakuna mkate mgumu mbele ya chai "pesa".
2. Hizi "harakati uchwara" ni njaa tu.
3. Likiwekwa dau mezani kila mtu anawaza TUMBO lake.
Mwambukusi naona kapoaaa!1. Bongo hakuna mkate mgumu mbele ya chai "pesa".
2. Hizi "harakati uchwara" ni njaa tu.
3. Likiwekwa dau mezani kila mtu anawaza TUMBO lake.
Penye udhia, penyeza rupiaMwambukusi naona kapoaaa!
Mmegeuka wapiga ramliHuyu huyu anayetembezà bakuli huko CCM wamchangie hela ya kununua gari? Au kuna LISSU tofauti na huyo.
Endelea kupiga ramli, awamu hii wachumia tumbo mtatulia tuhayupo wa kumpooza mtu mwenye mdomo kama huyo kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi,
Infact,
wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa watampooza kwenye sanduku la kura vizuri tu ili ikawe fundisho kwa wenye midomo na makelele kama yake 🐒
nilidhani ushirikiana umeauacha 2024 kumbe umevuka nao hadi mwaka mpya 2025, si utapata tabu sana gentleman?🐒Endelea kupiga ramli, awamu hii wachumia tumbo mtatulia tu
Sijaelewa, Ukiwa na njaa ndo uchukue rushwa? Hii ideology ya wapi?lissu ananjaa na ndo maana kila siku anadai oooh pesa zangu za matibabu wakati watanzania walimchangia na matibabu alipata sasa anadai eti pesa zake za matibabu kama sio njaa ni nini ? Sio hivo tu hata pia kachangiwa mamilioni ya kununua gari sijui hizo pesa kapeleka wapi ?? Ni kweli hakuna mkate mgumu mbele ya chai.
😀Kama SATIVA tu kamhonga hela ya fomu unadhani ataweza kukataa fungu la maana? Sema lijamaa ukilipa hela lazima liseme.... hata hela ya Sativa kaitaja hadharani.
Siyo kwa Tundu Lisu1. Bongo hakuna mkate mgumu mbele ya chai "pesa".
2. Hizi "harakati uchwara" ni njaa tu.
3. Likiwekwa dau mezani kila mtu anawaza TUMBO lake.
Zitafutwe 5 billionSiyo kwa Tundu Lisu