Sitathubutu kuoa mwanamke mwenye elimu duni

Sitathubutu kuoa mwanamke mwenye elimu duni

Kweli wewe ni mende asie na akili...ungekaa nalo kichwani kwako sio kuja kujikomba hapa... Hakuna Formular ya mahusiano kila kitu kinawezekana au kisiwezekane..
Hizo bachelor zako asilimia kubwa ni Pasua kichwa pia..
Hao form four leaver nao ni 50 50 judge watu the way they behave not by education Background au physical appearance..

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Unaoa mwanamke ana degree, kumbe alimaliza form four akapata four combiless akaenda kusoma business administration, then akaunga degree.

Sijui Kama umenielewa.... adjust your self.
 
Tatizo umeandika huku unachambua mitumba karume


Hebu kunywa kwanza maji....Haya tueleze taratibu
 
Tutaoa wa kuanzia degree mkuu kuoa aliyeishia form four ni old fashion
 
Nimesikia watu kadhaa wakisema wanawake wasiosoma ndio wazuri, lakini naona kwa karne ya sasa hali inaweza kuwa tofauti.

Nimewahi kuwa na wasichana kadhaa, wengi wao ni wale ambao nafanana nao elimu, ila nikajitela kuja kuishi na mwanamke ambaye nimemuacha parefu.

Aisee sio kwa balaa hili, kwa kweli, nimewakumbuka sana wasichana niliokuwa nao enzi hizo, yaani naona nimeacha dhahabu nikaokota jiwe.

Yaani kwa sasa siwazi tena manzi yoyote nikitongoza akikubali na nikiona anafaa, hapa nilipo naondoka, naacha huyu mwanamke dunia imtie ilimu.

Na sitachukua mwanamke walau mwenye diploma, ila pia awe tayari kujiendeleza, sio aone ndio kashafika, asogee sogee kielimu tufanane kama ni gap lisiwe kubwa kihivyo.

Nikitongoza mwanamke akisema ni Form Four huwa mzuka unapotea, maana huwa najua mbali na kutongoza unaweza kusema hapa nafanya ya kufanya naondoka halafu unakuta umenasa, sasa ili kuweka mambo vizuri naanza awali kabisa.
Na hii sio kama nawashusha thamani walioshia form four, ni hali ya kawaida tu, sawa na mwanamke kusema anataka mwanaume mwenye hela, au mrefu.
sijui kwanini nimekua mgumu kuelewa
 
Nimesikia watu kadhaa wakisema wanawake wasiosoma ndio wazuri, lakini naona kwa karne ya sasa hali inaweza kuwa tofauti.

Nimewahi kuwa na wasichana kadhaa, wengi wao ni wale ambao nafanana nao elimu, ila nikajitela kuja kuishi na mwanamke ambaye nimemuacha parefu.

Aisee sio kwa balaa hili, kwa kweli, nimewakumbuka sana wasichana niliokuwa nao enzi hizo, yaani naona nimeacha dhahabu nikaokota jiwe.

Yaani kwa sasa siwazi tena manzi yoyote nikitongoza akikubali na nikiona anafaa, hapa nilipo naondoka, naacha huyu mwanamke dunia imtie ilimu.

Na sitachukua mwanamke walau mwenye diploma, ila pia awe tayari kujiendeleza, sio aone ndio kashafika, asogee sogee kielimu tufanane kama ni gap lisiwe kubwa kihivyo.

Nikitongoza mwanamke akisema ni Form Four huwa mzuka unapotea, maana huwa najua mbali na kutongoza unaweza kusema hapa nafanya ya kufanya naondoka halafu unakuta umenasa, sasa ili kuweka mambo vizuri naanza awali kabisa.
Na hii sio kama nawashusha thamani walioshia form four, ni hali ya kawaida tu, sawa na mwanamke kusema anataka mwanaume mwenye hela, au mrefu. Preferences
Mkuu kama hutajali naomba tu badilishani wa kwangu ana MA in sociology siku hizi ameanza kutafuta scholarship kusoma PhD nje ya nchi, mimi niko serious naomba unipe huyu wa form 4 hata akiwa darasa la saba sitajali tu ili mradi bado anaweza kuzaa watoto na kulea wengine, huyu wa kwangu ni memzalisha watoto wawili utaongezea hapo. mkuu ni pm tuyajenge plz umchukuwe huyu buana.
 
Mkuu kama hutajali naomba tu badilishani wa kwangu ana MA in sociology siku hizi ameanza kutafuta scholarship kusoma PhD nje ya nchi, mimi niko serious naomba unipe huyu wa form 4 hata akiwa darasa la saba sitajali tu ili mradi bado anaweza kuzaa watoto na kulea wengine, huyu wa kwangu ni memzalisha watoto wawili utaongezea hapo. mkuu ni pm tuyajenge plz umchukuwe huyu buana.
Hahahahaaaa Teh teh teh teh.....iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.. Umepatwa na nini aisee unataka kuikimbia PhD?
 
There are a lot of factors to select a perfect spouse, education is one of them, I second you opinion you don't have to marry uneducated woman.
Thanks
 
Inaonyesha wazi ufahamu wako ni shida. Mapenzi unayafananishaje na elimu mkuu? Unadhani kinu na mchi vinaelimu, wewe ulitumbukia kwenye mila hata usomeje Mila haikwepeki mf Masai nk.
Kutofautisha elimu na maisha, ni jambo linalopatikana kwa wasio na elimu. Ukweli ni kuwa mapenzi ni zaidi ya sex, sasa ukisema usiangalie elimu ni kujichimbia kaburi
 
Kuna tofauti kubwa mno kati ya akili na elimu.
Akili tunazaliwa nazo.
Elimu tunaitafuta kulingana na mazingira yetu tunayokulia.
Mtu akikosa elimu si kigezo Cha kukosa akili.
Elimu inasaidia kusafisha akili.
Kuna watu wanna elimu kubwa akili kisoda na mpo tunawaona tu na hatuwadharau kwa akili zenu ndogo.
Huenda uliekutana ni akili ndogo afu hana elimu, hapo lazima ujute.
 
Kuowa ni ujinga tuu na utumwa... Nimeowa ila naona hamna maana yoyote..
Ni namna sahihi ya kufikiri, hata hivyo kuwa na uhakika wa kutimiza physiological needs ni jambo muhimu. Unaweza kufanana na mimi kwa kuona ndoa za mkataba zinaweza kuwa best option kwa ulimwengu wa sasa
 
Kuna tofauti kubwa mno kati ya akili na elimu.
Akili tunazaliwa nazo.
Elimu tunaitafuta kulingana na mazingira yetu tunayokulia.
Mtu akikosa elimu si kigezo Cha kukosa akili.
Elimu inasaidia kusafisha akili.
Kuna watu wanna elimu kubwa akili kisoda na mpo tunawaona tu na hatuwadharau kwa akili zenu ndogo.
Huenda uliekutana ni akili ndogo afu hana elimu, hapo lazima ujute.
Akili unayozaliwa nayo ni ile ya survival, kutokana na complexities zilizopo elimu ni muhimu. i.e unazaliwa unajua kucheka, kulia, kula, kunya nk, lakini haitoshi kuweza kufanya analysis kubwa za kukusaidia kufanya maamuzi. Nitakupa mfano, jamii ambazo zimebaki na elimu ya kuzaliwa i.e. kijiji wanakuwa na maendeleo duni na fikra duni kwa sababu hiyo.

Elimu ni muhimu
 
Back
Top Bottom