Sitathubutu kuoa mwanamke mwenye elimu duni

Sitathubutu kuoa mwanamke mwenye elimu duni

Kutofautisha elimu na maisha, ni jambo linalopatikana kwa wasio na elimu. Ukweli ni kuwa mapenzi ni zaidi ya sex, sasa ukisema usiangalie elimu ni kujichimbia kaburi
Zaidi ya sex kivipi mkuu wakati ndio lengo kuu. Kwani kabla ya kuoa sii maisha yanaenda tuu
 
Nimesikia watu kadhaa wakisema wanawake wasiosoma ndio wazuri, lakini naona kwa karne ya sasa hali inaweza kuwa tofauti.

Nimewahi kuwa na wasichana kadhaa, wengi wao ni wale ambao nafanana nao elimu, ila nikajitela kuja kuishi na mwanamke ambaye nimemuacha parefu.

Aisee sio kwa balaa hili, kwa kweli, nimewakumbuka sana wasichana niliokuwa nao enzi hizo, yaani naona nimeacha dhahabu nikaokota jiwe.

Yaani kwa sasa siwazi tena manzi yoyote nikitongoza akikubali na nikiona anafaa, hapa nilipo naondoka, naacha huyu mwanamke dunia imtie ilimu.

Na sitachukua mwanamke walau mwenye diploma, ila pia awe tayari kujiendeleza, sio aone ndio kashafika, asogee sogee kielimu tufanane kama ni gap lisiwe kubwa kihivyo.

Nikitongoza mwanamke akisema ni Form Four huwa mzuka unapotea, maana huwa najua mbali na kutongoza unaweza kusema hapa nafanya ya kufanya naondoka halafu unakuta umenasa, sasa ili kuweka mambo vizuri naanza awali kabisa.

Na hii sio kama nawashusha thamani walioshia form four, ni hali ya kawaida tu, sawa na mwanamke kusema anataka mwanaume mwenye hela, au mrefu. Preferences
Oa mwanamke mwenye akili za maisha na anayejua nini maana ya maisha na rudia tena AKILI YA MAISHA.
 
Nitakuwa na grounds nyingi za kuelewana na Prof. kuliko form four
Sawa wewe nipe number za huo fomf nikupe huyu za huyu wa PhD wangu to come, ukae naye ndo utajua kwanini mti wa papai hautiwi mbao.........
 
Nitakuwa na grounds nyingi za kuelewana na Prof. kuliko form four
Sihitaji mwana mke wa PhD graduate au mwana harakati wa siasa activist wa human rights genda au children rights wale ni vichomi, kila jambo anataka atumie reasoning, haki sawa kila kitu
 
Wewe mwenye Uzi ni pumbavu Sana Baba ako kaishia darasa la Saba b na mama yako aliishia la 4 lakini wamekuzaa na kukulea wewe punda mpaka ukajielewa.....Leo ndio umeanza gubu ....sema nini mwana huna nyota Tu ya kutoka kutokana na tabia yako ya kiduwanzi .........usisingizie huyo demu ......kumbuka hata Baba yako alikuwa bingwa WA kuangua mapera shuleni kwao lakini alipendwa na mama yako.........don't lookin past ......
 
Nimesikia watu kadhaa wakisema wanawake wasiosoma ndio wazuri, lakini naona kwa karne ya sasa hali inaweza kuwa tofauti.

Nimewahi kuwa na wasichana kadhaa, wengi wao ni wale ambao nafanana nao elimu, ila nikajitela kuja kuishi na mwanamke ambaye nimemuacha parefu.

Aisee sio kwa balaa hili, kwa kweli, nimewakumbuka sana wasichana niliokuwa nao enzi hizo, yaani naona nimeacha dhahabu nikaokota jiwe.

Yaani kwa sasa siwazi tena manzi yoyote nikitongoza akikubali na nikiona anafaa, hapa nilipo naondoka, naacha huyu mwanamke dunia imtie ilimu.

Na sitachukua mwanamke walau mwenye diploma, ila pia awe tayari kujiendeleza, sio aone ndio kashafika, asogee sogee kielimu tufanane kama ni gap lisiwe kubwa kihivyo.

Nikitongoza mwanamke akisema ni Form Four huwa mzuka unapotea, maana huwa najua mbali na kutongoza unaweza kusema hapa nafanya ya kufanya naondoka halafu unakuta umenasa, sasa ili kuweka mambo vizuri naanza awali kabisa.

Na hii sio kama nawashusha thamani walioshia form four, ni hali ya kawaida tu, sawa na mwanamke kusema anataka mwanaume mwenye hela, au mrefu. Preferences
Amekufanya nini huyo mwanamke?
 
Nimesikia watu kadhaa wakisema wanawake wasiosoma ndio wazuri, lakini naona kwa karne ya sasa hali inaweza kuwa tofauti.

Nimewahi kuwa na wasichana kadhaa, wengi wao ni wale ambao nafanana nao elimu, ila nikajitela kuja kuishi na mwanamke ambaye nimemuacha parefu.

Aisee sio kwa balaa hili, kwa kweli, nimewakumbuka sana wasichana niliokuwa nao enzi hizo, yaani naona nimeacha dhahabu nikaokota jiwe.

Yaani kwa sasa siwazi tena manzi yoyote nikitongoza akikubali na nikiona anafaa, hapa nilipo naondoka, naacha huyu mwanamke dunia imtie ilimu.

Na sitachukua mwanamke walau mwenye diploma, ila pia awe tayari kujiendeleza, sio aone ndio kashafika, asogee sogee kielimu tufanane kama ni gap lisiwe kubwa kihivyo.

Nikitongoza mwanamke akisema ni Form Four huwa mzuka unapotea, maana huwa najua mbali na kutongoza unaweza kusema hapa nafanya ya kufanya naondoka halafu unakuta umenasa, sasa ili kuweka mambo vizuri naanza awali kabisa.

Na hii sio kama nawashusha thamani walioshia form four, ni hali ya kawaida tu, sawa na mwanamke kusema anataka mwanaume mwenye hela, au mrefu. Preferences
Umefanikiwa kutujulisha kuwa na wewe una madarasa,
 
Sasa sisi wa fomfo atatuoa nani au ndo tumelala yoyoyo

My opinion, wanaume ambao hawajasoma mara nyingi wanayajua maisha na wapambanaji, na ndio maana easy kutoboa maisha,,tofauti na wasomi 😁 wengi wao mazezeta, yani sio watu wa kazi, na hata tabia zao za ajabu ajabu tuu.

Kuhusu kuowa,,,ukiowa msomi kubali umeolewa,,but sio wote.

Wanawake jitambueni, usiangalie mwanamume aliesoma, angaria tabia yake,,na kwa mwanamume kwenda kwa mwanamuke iwe ivyo ivyo.

Nimemaliza wazehe

S
 
Back
Top Bottom