Zaidi ya sex kivipi mkuu wakati ndio lengo kuu. Kwani kabla ya kuoa sii maisha yanaenda tuuKutofautisha elimu na maisha, ni jambo linalopatikana kwa wasio na elimu. Ukweli ni kuwa mapenzi ni zaidi ya sex, sasa ukisema usiangalie elimu ni kujichimbia kaburi
Oa mwanamke mwenye akili za maisha na anayejua nini maana ya maisha na rudia tena AKILI YA MAISHA.Nimesikia watu kadhaa wakisema wanawake wasiosoma ndio wazuri, lakini naona kwa karne ya sasa hali inaweza kuwa tofauti.
Nimewahi kuwa na wasichana kadhaa, wengi wao ni wale ambao nafanana nao elimu, ila nikajitela kuja kuishi na mwanamke ambaye nimemuacha parefu.
Aisee sio kwa balaa hili, kwa kweli, nimewakumbuka sana wasichana niliokuwa nao enzi hizo, yaani naona nimeacha dhahabu nikaokota jiwe.
Yaani kwa sasa siwazi tena manzi yoyote nikitongoza akikubali na nikiona anafaa, hapa nilipo naondoka, naacha huyu mwanamke dunia imtie ilimu.
Na sitachukua mwanamke walau mwenye diploma, ila pia awe tayari kujiendeleza, sio aone ndio kashafika, asogee sogee kielimu tufanane kama ni gap lisiwe kubwa kihivyo.
Nikitongoza mwanamke akisema ni Form Four huwa mzuka unapotea, maana huwa najua mbali na kutongoza unaweza kusema hapa nafanya ya kufanya naondoka halafu unakuta umenasa, sasa ili kuweka mambo vizuri naanza awali kabisa.
Na hii sio kama nawashusha thamani walioshia form four, ni hali ya kawaida tu, sawa na mwanamke kusema anataka mwanaume mwenye hela, au mrefu. Preferences
Sawa wewe nipe number za huo fomf nikupe huyu za huyu wa PhD wangu to come, ukae naye ndo utajua kwanini mti wa papai hautiwi mbao.........Nitakuwa na grounds nyingi za kuelewana na Prof. kuliko form four
Sihitaji mwana mke wa PhD graduate au mwana harakati wa siasa activist wa human rights genda au children rights wale ni vichomi, kila jambo anataka atumie reasoning, haki sawa kila kituNitakuwa na grounds nyingi za kuelewana na Prof. kuliko form four
Mtakua wapiliSasa sisi wa fomfo atatuoa nani au ndo tumelala yoyoyo
Tuta waowa sisi ambao bado tupo tupo kwanzaaaaSasa sisi wa fomfo atatuoa nani au ndo tumelala yoyoyo
Mtaolewa na sisi tuliokua tukishindana na ngedere kupanda na kudandia matawi ya miti muda wa masomo kule NanjilinjiKo sisi la nne c tukaolewe na nani
Na sisi tunataka wasomiMtaolewa na sisi tuliokua tukishindana na ngedere kupanda na kudandia matawi ya miti muda wa masomo kule Nanjilinji
Wasomi hawa wataki nyie mna Mange App kwenye simu zenuNa sisi tunataka wasomi
Amekufanya nini huyo mwanamke?Nimesikia watu kadhaa wakisema wanawake wasiosoma ndio wazuri, lakini naona kwa karne ya sasa hali inaweza kuwa tofauti.
Nimewahi kuwa na wasichana kadhaa, wengi wao ni wale ambao nafanana nao elimu, ila nikajitela kuja kuishi na mwanamke ambaye nimemuacha parefu.
Aisee sio kwa balaa hili, kwa kweli, nimewakumbuka sana wasichana niliokuwa nao enzi hizo, yaani naona nimeacha dhahabu nikaokota jiwe.
Yaani kwa sasa siwazi tena manzi yoyote nikitongoza akikubali na nikiona anafaa, hapa nilipo naondoka, naacha huyu mwanamke dunia imtie ilimu.
Na sitachukua mwanamke walau mwenye diploma, ila pia awe tayari kujiendeleza, sio aone ndio kashafika, asogee sogee kielimu tufanane kama ni gap lisiwe kubwa kihivyo.
Nikitongoza mwanamke akisema ni Form Four huwa mzuka unapotea, maana huwa najua mbali na kutongoza unaweza kusema hapa nafanya ya kufanya naondoka halafu unakuta umenasa, sasa ili kuweka mambo vizuri naanza awali kabisa.
Na hii sio kama nawashusha thamani walioshia form four, ni hali ya kawaida tu, sawa na mwanamke kusema anataka mwanaume mwenye hela, au mrefu. Preferences
tunashukuru kwa kutokutupotezea muda sisi wa 'fomfo',
Bwana atatupa wa kufanana na sisi..
Ahsante..!
Umefanikiwa kutujulisha kuwa na wewe una madarasa,Nimesikia watu kadhaa wakisema wanawake wasiosoma ndio wazuri, lakini naona kwa karne ya sasa hali inaweza kuwa tofauti.
Nimewahi kuwa na wasichana kadhaa, wengi wao ni wale ambao nafanana nao elimu, ila nikajitela kuja kuishi na mwanamke ambaye nimemuacha parefu.
Aisee sio kwa balaa hili, kwa kweli, nimewakumbuka sana wasichana niliokuwa nao enzi hizo, yaani naona nimeacha dhahabu nikaokota jiwe.
Yaani kwa sasa siwazi tena manzi yoyote nikitongoza akikubali na nikiona anafaa, hapa nilipo naondoka, naacha huyu mwanamke dunia imtie ilimu.
Na sitachukua mwanamke walau mwenye diploma, ila pia awe tayari kujiendeleza, sio aone ndio kashafika, asogee sogee kielimu tufanane kama ni gap lisiwe kubwa kihivyo.
Nikitongoza mwanamke akisema ni Form Four huwa mzuka unapotea, maana huwa najua mbali na kutongoza unaweza kusema hapa nafanya ya kufanya naondoka halafu unakuta umenasa, sasa ili kuweka mambo vizuri naanza awali kabisa.
Na hii sio kama nawashusha thamani walioshia form four, ni hali ya kawaida tu, sawa na mwanamke kusema anataka mwanaume mwenye hela, au mrefu. Preferences
Sasa sisi wa fomfo atatuoa nani au ndo tumelala yoyoyo
Oa mwanamke mwenye akili za maisha na anayejua nini maana ya maisha na rudia tena AKILI YA MAISHA.