Sitathubutu kuoa mwanamke mwenye elimu duni

Kwaiyo unatushauri nn sisi wa la Saba B?[emoji16]
 
Nimekuelewa mkuu
 
Shehe papuchi hazina cha form 4 au PhD . papuchi ziko sawa tu.tena papuchi za wa form 4 ni tamu hatari
 
Papuchi yake vipi,ilikua imenona?
 
Nafurahi kusikia kijana mwenzangu unapitia mafunzo (training) ya mahusiano kabla ya kufanya maamuzi makubwa kufunga pingu (hatari) za maisha. Hongera.

Endelea kujifunza.
 
Kaka yangu mwenyewe na mimi baba mmoja na mama mmoja alimwacha mkewe wa ndoa aliyemaliza la 7 tu miaka hiyo. Yule shemeji sijuwi alipatwa na nini, kuna kipindi Kaka aliupiga mwingi na akabahatika kupata fedha kibao miaka ya 2005. Alimpa shemeji milioni 80 azitunze ili akirudi mkoani wakae wajadili biashara ya kufanya. Cha kushangaza, kaka alirudi baada ya wiki mbili toka kuona wazee kijijini, alipomuuliza shemeji kuhusu hela shem akawa na wasiwasi na kusita kumpa kaka. Baada ya kugombezwa na kaka, shem akaleta zile hela lakini zilikuwa zimepungukiwa na milioni 60. Kuulizwa zingine ziko wapi, akasema alimpa mchungaji aziombee na hajarudisha mpaka leo hii. Kwenda kanisani mchungaji akasema shem alizitoa mwenyewe kama sadaka na zimetumika kupanua kanisa. Kurudi nyumbani shem kapigwa talaka huu mwaka wa 17 sasa shem bado anajuta tu na dini kaachana nayo kwa haibu na ujinga wake.
 
Mkuu kati ya shem na kaka ako nani mjinga zaidi?
 
Kenge plus
I can't jump to a river and join a Pro plus Kenge like you.
Am here concurring with this thread from what I have seen in my really life.
You don't have any audacity to comment like that it shows how stupid you are🤗
Argue with arguments🔨
 
Kijana naona wewe unataka kuoa shule na si mke, kwanza lazima ujue Kuna mwanamke na mtu mwenye sehemu za kike, naona ndiye uliyenaye watu wenye maumbile ya kike ni wasumbufu sana, ila wanake tena aliyefunzwa na wazazi ni wazuri mno, nakwambia utaenjoy sana na michongo yako itakuwa inanyooka vizuri sana, na utakuwa rijali hodari maana unakuwa stress free
 
[emoji23][emoji23][emoji23] eti Kenge plus.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…