Sitawafundisha tena; Ukitaka mapenzi yasikusumbue tafuta mwanamke anayemiliki pesa yake mwenyewe(anayeweza kujilisha na kujitunza)

Mwanaume tambua kwamba mwanamke atahitaji hela kutoka kwako hata kama ni kwa kiasi kidogo,kwahiyo kama huna hela kabisa achana na mapenzi

Pili,ili upate mamlaka kwa mwanamke wako ni lazima kuna kitu ategemee kutoka kwako,kama hana atachopata kutoka kwako basi ujue hautakuwa na mamlaka naye period

Sasa kama wewe unadhani utapata mwanamke asiyependa hela ya mwanaume ni bora uwe single forever
 
Nimekuelewa brother
 

Matajiri wote mtazamo wao unafanana na huo niliouweka hapa.
Lazima mwanamke ambaye unaenda kumchumbia ajiweze au aonyeshe jitihada za kujikwamua.
 
Nimekuelewa brother

Narudia, usije ukajiloga ukatafuta mwanamke tegemezi. Umekwisha!

Ukioa tegemezi mkavurugana sio tuu utakuwa umepoteza mpenzi wako Bali utakuwa umepoteza na nguvu zote ulizotoa kwaajili ya mtu mjinga, mnafiki aliyekuwa amejicha
 
Wewe uwe muaminifu afu yeye anapigwa miti

Si unapiga chini?

Maumivu yake ni tofauti na Yule unayemhudumia kwa kila kitu, yaani umepoteza jasho, pesa na Muda kwaajili ya mwanamke alafu apigwe Miti. Hata ulimuacha bado utaumia Sana

Lakini ambaye anauwezo na ulikuwa hutumika nguvu nyingi hata ukigongewa maumivu yake hayawezi kuwa makali na hata ukiachana hutaumia Sana.
 
Simps will always be there mate.
Be a real man. Never date a broke lady.
 
Matajiri wote mtazamo wao unafanana na huo niliouweka hapa.
Lazima mwanamke ambaye unaenda kumchumbia ajiweze au aonyeshe jitihada za kujikwamua.
Hao sio matajiri,matajir gani ambao hawawezi kumuhudumia mwanamke,tajir anampa mwanamke ama asimamie sehemu ya biashara au anamfungulia yΓ ke

Hapa tunazungumzia sisi kwangu pakavu
 
Sijasoma, il hakuna mwanamke wa kujilisha awe na hela na mme/mpenzi.


Labda single
 
Mtoa mada umelenga mapenzi ya mjini na siyo vijijini kwa mjini itapendeza zaidi uowe mwanamke mwenye Taaluma hata ya ualimu au unesi hapo mtaheshimiana.
 
Sasa sisi ndio balaa mzee πŸ˜…
Mtu ukimpiga bill sio ya chips yai
Ni tofali bati, tyre car service.
Hata hivyo hayanaga formula
 
Hatutaki mambo mengi, tunakuomba pesa ya kulipia mzigo bandarini [emoji81]
Bado iPhone 16 pro
Nywele kwa aristote
Nguo kwa vunjabei

Kikao kiruduwe huyu alitoka kabla kikao hakijaisha.
 
Bro wewe ni mwenyekiti! Na mwenyekiti hawezi sema uongo!!!!! Si unamuona Mbowe?

πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…