Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #121
Mtoa mada umelenga mapenzi ya mjini na siyo vijijini kwa mjini itapendeza zaidi uowe mwanamke mwenye Taaluma hata ya ualimu au unesi hapo mtaheshimiana.
Utakufa kwa presha
Mkubwa wa kazi sikupingi 👊🏻✊🏻, Waache ma simp waendelee kuburuzwa
SITAWAFUNDISHA TENA; UKITAKA MAPENZI YASIKUSUMBUE TAFUTA MWANAMKE ANAYEMILIKI PESA YAKE MWENYEWE (ANAYEWEZA KUJILISHA NA KUJITUNZA)
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Elewa, mwanamke Anayemiliki pesa zake mwenyewe alafu akakukubalia uwe Mchumba au mpenzi wake huyo kuna uwezekano wa asilimia 90% anakupenda.
Hii ni tofauti na hawa ambao ni tegemezi.
Usiuamini upendo wa mtu tegemezi, na aliyemaskini.
Vijana wengi wanafanya makosa makubwa kujitoa kwa wanawake tegemezi. Ni kosa kubwa kufanya hivyo.
Mwanamke anayeweza kujilisha, kujivalisha, kujitunza huyo akitafuta mwanaume hutafuta mwanaume kwelikweli kwaajili ya kuwa Mke na huyo mwanaume kuwa Mume.
Hakunaga Unafiki hapo.
Lakini hawa tegemezi, njaanjaa, wanaofikiri kuwa mwanamke ni kilema, au Tiketi ya kuwa ombaomba hao usiwaweke kwenye hesabu. Watakuumiza. Wengi wao ni wanafiki.
Wengi wao mahusiano ni ajira Rasmi.
Wengi wao huwachukulia wanaume kama Misukule yako.
Usitegemee pesa za Mwanamke. Lakini hiyo haimaanishi huyo mwanamke asiwe na pesa yaani asiwe anafanya Kazi.
Mhudumie Mkeo au mwanamke lakini naye anapaswa kujihudumia kwa sehemu. Sio umhudumie kwa kila kitu.
Utakuja kupigwa vibaya wewe.
Usitoe vyote kwa pamoja. Yaani moyo na nguvu kwa mwanamke.
Toa kimoja uache kimoja.
Mfano, Kama utatoa pesa Basi usimpe Moyo wako. Hiyo tunaita kumfanya mwanamke Malaya. Yaani unanunua huduma yake.
Kama utatoa Moyo wako Basi usimpe Nguvu zako(Pesa), hiyo tunaita kupima nguvu ya mawimbo ya bahari.
Ni kosa utoe Moyo wako wote kisha utoe na pesa. Hiyo tunasema kugeuzwa mtumwa na msukule WA Mwanamke.
Haya nimemaliza.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Hpa unatupiga na kitu kizito. Mwanamke akishakuwa free financially anamdharau mwanaume. Hivyo kuteswa na mapenzi hakuepukiki.
Mwanaume ukitaka mapenzi yasikutese, tafuta mwanamke anayekupenda.
Umeongea ukweli mtupu mkuuHuko ni kuwa mtumwa wa ngono kwa huyo mwanamke na majibu yake kwako ni lazima mwanaume ujifanye fala haswa!
Wanaume walio kwenye mausiano na wanawake wenye hela watazuga na furaha za njee tu lakini ndani wanavyoishi anakuwa Kama houseboy tu na Hana sauti!
Hii ngoja niifanyie lamination itakuja kunifaa baadaeUsitoe vyote kwa pamoja. Yaani moyo na nguvu kwa mwanamke.
Toa kimoja uache kimoja.
Mfano, Kama utatoa pesa Basi usimpe Moyo wako. Hiyo tunaita kumfanya mwanamke Malaya. Yaani unanunua huduma yake.
Kama utatoa Moyo wako Basi usimpe Nguvu zako(Pesa), hiyo tunaita kupima nguvu ya mawimbo ya bahari.
Nimeondoka na hii
Wanawake wanaojiweza kiuchumi ni pasha kichwa Sana.
Kwanza atakuwa anakupangia ratiba ya kukupa unyumba
Na inaumiza sana aweza hata kukutukana mbele za watoto!Umeongea ukweli mtupu mkuu
Wanawake wanaojiweza kiuchumi hapana kwa kweli👐
Oya dokta una siti yako mbinuniSITAWAFUNDISHA TENA; UKITAKA MAPENZI YASIKUSUMBUE TAFUTA MWANAMKE ANAYEMILIKI PESA YAKE MWENYEWE (ANAYEWEZA KUJILISHA NA KUJITUNZA)
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Elewa, mwanamke Anayemiliki pesa zake mwenyewe alafu akakukubalia uwe Mchumba au mpenzi wake huyo kuna uwezekano wa asilimia 90% anakupenda.
Hii ni tofauti na hawa ambao ni tegemezi.
Usiuamini upendo wa mtu tegemezi, na aliyemaskini.
Vijana wengi wanafanya makosa makubwa kujitoa kwa wanawake tegemezi. Ni kosa kubwa kufanya hivyo.
Mwanamke anayeweza kujilisha, kujivalisha, kujitunza huyo akitafuta mwanaume hutafuta mwanaume kwelikweli kwaajili ya kuwa Mke na huyo mwanaume kuwa Mume.
Hakunaga Unafiki hapo.
Lakini hawa tegemezi, njaanjaa, wanaofikiri kuwa mwanamke ni kilema, au Tiketi ya kuwa ombaomba hao usiwaweke kwenye hesabu. Watakuumiza. Wengi wao ni wanafiki.
Wengi wao mahusiano ni ajira Rasmi.
Wengi wao huwachukulia wanaume kama Misukule yako.
Usitegemee pesa za Mwanamke. Lakini hiyo haimaanishi huyo mwanamke asiwe na pesa yaani asiwe anafanya Kazi.
Mhudumie Mkeo au mwanamke lakini naye anapaswa kujihudumia kwa sehemu. Sio umhudumie kwa kila kitu.
Utakuja kupigwa vibaya wewe.
Usitoe vyote kwa pamoja. Yaani moyo na nguvu kwa mwanamke.
Toa kimoja uache kimoja.
Mfano, Kama utatoa pesa Basi usimpe Moyo wako. Hiyo tunaita kumfanya mwanamke Malaya. Yaani unanunua huduma yake.
Kama utatoa Moyo wako Basi usimpe Nguvu zako(Pesa), hiyo tunaita kupima nguvu ya mawimbo ya bahari.
Ni kosa utoe Moyo wako wote kisha utoe na pesa. Hiyo tunasema kugeuzwa mtumwa na msukule WA Mwanamke.
Haya nimemaliza.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Hilo ni wazo zuri ila usianze kulalamika siku ambazo atakwambia ana kwenda safari zake za binafsi nje ya nchi - usitoe macho kama unatumbuliwa jipu - si anajiweza.
Mwanamke huru (mwemye kipato chake) ana gharama zake sheikh.
Wacha mie nikae na huyu huyu akitaka kwenda kwa dadake nampeleka ama nampa nauli ya bajaji au boda.
Oya dokta una siti yako mbinuni
Wanaume tumeumbwa kuwa wamiliki wa hawa wanawake chief.Sasa yeye akienda kazini hofu yako ni nini Mkuu?
Wanawake wasiojiweza ni wanafiki kwa kiwango cha juu kabisa.
Mwanaume ambaye hana kitu hakuna mwanamke dunia hii atampa mbususu. Kwanza broken niggas mnatukwepa kama ukoma.