Sitawafundisha tena; Ukitaka mapenzi yasikusumbue tafuta mwanamke anayemiliki pesa yake mwenyewe(anayeweza kujilisha na kujitunza)

Hpa unatupiga na kitu kizito. Mwanamke akishakuwa free financially anamdharau mwanaume. Hivyo kuteswa na mapenzi hakuepukiki.

Mwanaume ukitaka mapenzi yasikutese, tafuta mwanamke anayekupenda.
 
Umeongea ukweli mtupu mkuu
Wanawake wanaojiweza kiuchumi hapana kwa kweli👐
 
Hii ngoja niifanyie lamination itakuja kunifaa baadae
 
Hilo ni wazo zuri ila usianze kulalamika siku ambazo atakwambia ana kwenda safari zake za binafsi nje ya nchi - usitoe macho kama unatumbuliwa jipu - si anajiweza.
Mwanamke huru (mwemye kipato chake) ana gharama zake sheikh.

Wacha mie nikae na huyu wa kwangu akitaka kwenda kwa dadake nampeleka ama nampa nauli ya bajaji au boda, akitaka kwenda saloon ananiomba hela na kama nina muda namsindikiza hana makuu - mzigo napewa muda wowote nikijiskia.
 
Umeongea ukweli mtupu mkuu
Wanawake wanaojiweza kiuchumi hapana kwa kweli👐
Na inaumiza sana aweza hata kukutukana mbele za watoto!
Na watoto wanajua kabisa mama ndiye mwenye hela,
Ebu fikiria watoto wamekuwa na hawakueshimu inavyouma!
Lakini pia watoto wa kike wanaokulia mazingira hayo huwa na Dharau sana kwa wanaume!
 
Oya dokta una siti yako mbinuni
 

Sasa yeye akienda kazini hofu yako ni nini Mkuu?

Wanawake wasiojiweza ni wanafiki kwa kiwango cha juu kabisa.
 
Unatongozaje job seeker, yani hata hela vocha anakosa, no way
Bora niendelee kuonekana nina ubaguzi
 
Mwanaume halisi atakiwa yeye awe ndio provider
kutegemea kipato cha mwanamke ndio inapunguza

uanaume tunakuwa na wanaume nyororo kwenye jamii
anayetukanwa na kupigwa na mke wake kisa eti anataka
kusaidiwa majukumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…