Sitosahau mara yangu ya kwanza kuingia Barbershop

Naweka kambi
 
Tumeipenda Wallah
 
Pole sana kuna muda unaweza dhalilika kinomaa...na mm kuna siku nilipanda daladala kumbe nimedondosha kipochi kidogoo kilikua na nauli..nilijua kipo kwny mkoba mkubwa..wee nimekaa siti ya mbele na mkaka bahati nzuri nilimsalimia wkt nimeingia sasa konda anaanza kudai nauli siti ya mbele kuangalia sina tafuta mifuko ya pochi yotee sioni kipochi hakipoo nikatoa machoo...konda na yy badala aende nyuma kakazana dada nauli..nikasema isiwe tabu kudhalilika mara moja na watu wenyewe hawanijui ngoja nimuombe huyu kaka jirani nauli nikamwambia bro sioni nauli..basi hata hajajiuliza akanipa nikampa konda..duuh yani usimcheke mtu kisa amedhalilika ipo siku na ww yanaweza kukukuta..
 
Khahahahah!
Kuna siku nikawa nimedaka kamkwanja flani hivi kadoogodogo.

Nikajisemea,kabla hakajaisha,ngoja na Mimi nikaoshe nyota.

Nikatungua kadent & katshet kamtoko
Mimi huyo🏃 Barbashop haiwezikani napita tu.

Nikazama ndichi,ebhanae kidogo kidogo nirudi nyuma nikajikaza kiume,maana nilikuta Sura kadhaa nzuri kinouma.
Nywele zangu Kama kawaida hazina mlolongo mzuri.

Karibisha yenyewe nikasema,ewaaaaaa hapahapa.

Mademu waliokuwa wawili vinyozi wawili,wateja Kama watatu.so more ndani kukawa c haba.

Store nyingi,na wakawa vinyoz wanawatania wale mademu mpaka nikasema,day Kuna watu wanafanya kazi mazingira mazuri,FURU rsha.

Zamu ikafika YANGU,mashine za kunyolea haziumiz hata kidogo,tofauti na kile pa siku zote unakutana na mashine utafikiri imetolewa JIKONI
,Nikamaliza,sikuwa na wasiwasi,nikaulizwa mekapu ipi nahitaji,nikasema iliyo quarity.
Sasa ebhanaeeeee!demu mkali ndo slikuwa anafanya hayo yote.
Si nilisema quarity,hee acha aanze kufinya uso wangu.

Aibu ya mwaka,uso wangu ulikuw unatoa vitu vyeupe Kama MAFINYO loh3!
Nikashtuka,in maana nimeoza au!.
Mbona sielewi elewi,kucheki watu mle ndani wanafatilia show inayoendelea kwangu.
Naiman vilivyotoka usoni kwangu vingejaa mfuniko wa chupa ya maji Kilimanjaro.

Nikapelekwa room ingine,kule hudma Kama kawa ya viwango,room ile ilikuwa kubwa kinyama.
Baadae ile pisi mautani Kama you're,kumbe bhana MDA wote msemaji was RUVU SHOOTING slikuwa amesimama Dede kwa ajili ya mahojiano.
Kulingana na Dada yule alivyokuwa akinishikashika,akaniambia,Kuna huduma extral Kama ntahitaji lakini.maana nilifanyiwa mpaka massage ya nusu mwili.

Alikuwa akifika karibu na kwa msemaji was Ruvushooting anakuwa Kama amejisahau anagusa kiutaalam.

Nikamwambia fresh,akasema day ni elfu 20000. Huduma ya extral.nikasema fresh.

Maana nilitaka nipewe huduma zote za pale.

Daaaaaaaah,duniani Raha Sana bhana.
Nikapiga bori Kama feisal shot la nje ya 18.
Wow.
Nilivotoka mule ndani,nikajisemea mmepata hell YANGU kubwa,Ila nami nimeinjoi.
Baada ya hapo,nilala njaa Kama siku 3 mpaka 4.
 
hahaha sura yako ikawa I natoka MAFINYO mjinga kweli wewe

Jamaa shu ni mshaka Glenn Mamaya
 
bro aliyekupa nauli ulimpa number😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…