DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Nikajisemea kimoyo moyo hapa piga ua galagaza haiwez kuwa buku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja niruke na mmoja😀Sijapata kwani sitafuti...chukua yeyote tu
Yupi huyo🤣Ngoja niruke na mmoja😀
unafikiri kila mtu ana akiili za ngono kila wakati??bro aliyekupa nauli ulimpa number😀
Unafikiri number ni kwa ajili ya ngono mshikaji wangu labda kumrudishia hela yake😀unafikiri kila mtu ana akiili za ngono kila wakati??
maisha mafupi nenda kafanyiw scrubs na watoto wenye mikono lain lain🤣😄Khahahaha,nilichojifunza mpaka leo.Nikipata mda wa kujiangalia kwenye kioo hua najibinya mwenyewe pembeni mean pua na lips hapa huwa Kuna vijiupele vinakuwa vimeshiba mafuta.
🤣🤣🤣sikuona kilichotoka sababu mawazo yangu yakarudi tenah kufikiria bei tu Yaani kichwa kikawa kinawaka Moto kwa kuwaza bei ya pale Sasa ukijumlisha na Asha alipokua akafungua zile koki Yaani ndio akawa ananitoa kwenye reli kabisa.
Umenikumbusha kisa kimoja nilikuwa kwenye daladala pembeni yangu amekaa mdada anaenda kazini huku mimi ninatoka kazini nilikuwa night shift.Pole sana kuna muda unaweza dhalilika kinomaa...na mm kuna siku nilipanda daladala kumbe nimedondosha kipochi kidogoo kilikua na nauli..nilijua kipo kwny mkoba mkubwa..wee nimekaa siti ya mbele na mkaka bahati nzuri nilimsalimia wkt nimeingia sasa konda anaanza kudai nauli siti ya mbele kuangalia sina tafuta mifuko ya pochi yotee sioni kipochi hakipoo nikatoa machoo...konda na yy badala aende nyuma kakazana dada nauli..nikasema isiwe tabu kudhalilika mara moja na watu wenyewe hawanijui ngoja nimuombe huyu kaka jirani nauli nikamwambia bro sioni nauli..basi hata hajajiuliza akanipa nikampa konda..duuh yani usimcheke mtu kisa amedhalilika ipo siku na ww yanaweza kukukuta..
Niko nacheka hapa mwenyewe
[emoji1787][emoji1787]Khahahahah!
Kuna siku nikawa nimedaka kamkwanja flani hivi kadoogodogo.
Nikajisemea,kabla hakajaisha,ngoja na Mimi nikaoshe nyota.
Nikatungua kadent & katshet kamtoko
Mimi huyo[emoji125] Barbashop haiwezikani napita tu.
Nikazama ndichi,ebhanae kidogo kidogo nirudi nyuma nikajikaza kiume,maana nilikuta Sura kadhaa nzuri kinouma.
Nywele zangu Kama kawaida hazina mlolongo mzuri.
Karibisha yenyewe nikasema,ewaaaaaa hapahapa.
Mademu waliokuwa wawili vinyozi wawili,wateja Kama watatu.so more ndani kukawa c haba.
Store nyingi,na wakawa vinyoz wanawatania wale mademu mpaka nikasema,day Kuna watu wanafanya kazi mazingira mazuri,FURU rsha.
Zamu ikafika YANGU,mashine za kunyolea haziumiz hata kidogo,tofauti na kile pa siku zote unakutana na mashine utafikiri imetolewa JIKONI
,Nikamaliza,sikuwa na wasiwasi,nikaulizwa mekapu ipi nahitaji,nikasema iliyo quarity.
Sasa ebhanaeeeee!demu mkali ndo slikuwa anafanya hayo yote.
Si nilisema quarity,hee acha aanze kufinya uso wangu.
Aibu ya mwaka,uso wangu ulikuw unatoa vitu vyeupe Kama MAFINYO loh3!
Nikashtuka,in maana nimeoza au!.
Mbona sielewi elewi,kucheki watu mle ndani wanafatilia show inayoendelea kwangu.
Naiman vilivyotoka usoni kwangu vingejaa mfuniko wa chupa ya maji Kilimanjaro.
Nikapelekwa room ingine,kule hudma Kama kawa ya viwango,room ile ilikuwa kubwa kinyama.
Baadae ile pisi mautani Kama you're,kumbe bhana MDA wote msemaji was RUVU SHOOTING slikuwa amesimama Dede kwa ajili ya mahojiano.
Kulingana na Dada yule alivyokuwa akinishikashika,akaniambia,Kuna huduma extral Kama ntahitaji lakini.maana nilifanyiwa mpaka massage ya nusu mwili.
Alikuwa akifika karibu na kwa msemaji was Ruvushooting anakuwa Kama amejisahau anagusa kiutaalam.
Nikamwambia fresh,akasema day ni elfu 20000. Huduma ya extral.nikasema fresh.
Maana nilitaka nipewe huduma zote za pale.
Daaaaaaaah,duniani Raha Sana bhana.
Nikapiga bori Kama feisal shot la nje ya 18.
Wow.
Nilivotoka mule ndani,nikajisemea mmepata hell YANGU kubwa,Ila nami nimeinjoi.
Baada ya hapo,nilala njaa Kama siku 3 mpaka 4.
maisha mafupi nenda kafanyiw scrubs na watoto wenye mikono lain lain🤣😄
Siku moja moja unafurahia raha za dunia 😀Hilo nalo neno Gill.
Maana day sio poa
😄😄 Mkuu wewe hiyo yako ndio Kali zaidi nimecheka Sana kusema ukweli.Pole sana Mkuu Atalanta 😂😂😂
Na Mimi nina kisa tofauti kidogo lakini hapo kwenye ishu ya bei ndio ninapo taka kupazungumzia. Kuna siku mwaka fulani nilikuwa nipo Zanzibar kikazi. Siku hiyo asubuhi mida ya saa 5 asubuhi nikawa nimefanya kazi ya haraka na nikaingiza kama 120k ni pale kwenye duka la sourvenir MEMORIES OF ZANZIBAR. Opposite ya hilo duka kuna mgahawa unaitwa Tanzanite nikazama mule ndani chap chap nikaisoma MENU nikaagiza Msosi hata siujui 😂😂😂ilikuwa ni BUTTERNAN something like that. Sasa kwa mawazo yangu nikadhani itakuwa ni kama Cheese / Bread au kitu chochote kinacho fanania kumbe hiyo BUTTERNAN ni Chapati kavu kabisa haina mafuta wala Chumvi yaani kama unakula Sacrament ya Kanisani ile. Hiyo BUTTERNAN ilivyoletwa nikaletewa na Kibirika cha Chai ya Karafuu imechanganywa Mdalasani na kikopo cha asali ili kuiunga hiyo Chai. Sasa ishu imekuja kwenye Bill yaani ilinitoka 30,000 kizembe sana hasa ile Chapati isiyokuwa na Chumvi wala haijachomwa kwa mafuta yaani roho iliniuma sana... 🤣🤣🤣
Lakini siku zote kosa sio kosa lakini kurudia same mistake ndio mistake.