Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Wait kidogo, hapo bolded ni swali langu au la mtoa mada?. π π π . Linahusiana na huu Uzi? π πDaah so sad π€£π€£
Anyway pole sana kwa mtoa mada, wandeleaje sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wait kidogo, hapo bolded ni swali langu au la mtoa mada?. π π π . Linahusiana na huu Uzi? π πDaah so sad π€£π€£
Anyway pole sana kwa mtoa mada, wandeleaje sasa?
Nirurudia mara mbili siwezi rudia Tenaπ Alafu mechi irudiwe
Toa darasa π πHivi mnaanzaga kudumbukiza tu pasipo kuikagua? Zenye maambukizi hazina dalili?
Au mpk tuwaelekeze namna ya kuipiga chabo kabla hujaila?
Aliletewa k kimasiharaBasi apunguze vya masihara
Asante mkuu ,nishapona saizi na nashukuru Sina Ngoma kabisaPole mkuu.Mimi katika vitu najali ni afya yangu aisee maana ndio mtaji wangu.
Walikua wamepiga tungi, labda pua zilikua hazifanyi kazi kwa wakati huosi wanasemaga humu daily wanakutana na unpleasant smell. Sasa mpk hapo utajua hamna usalama wa π―
Ulimwambia ulichokipata kwake?Nirurudia mara mbili siwezi rudia Tena
Utakaguwa saa ngapi ??Huo mda wa kuanza kukagua unautolea wapi kitu imejileta yenyewe machinjioni?
si ajabu alizama na chumvini.
Mda huo kichwa cha juu hakifanyi kazi.
Kwani umeambukizwa chochote pia? π€£π€£Wait kidogo, hapo bolded ni swali langu au la mtoa mada?. π π π . Linahusiana na huu Uzi? π π
Sikumwambia mpaka Leo na sijawahi muambia lolote Chapo yeye aliniona nimeblock kabisa sitaki mawasiliano nayUlimwambia ulichokipata kwake?
Hata ukikagua usijiridhishe kwa macho, mkuu fanya mpango uweke pakti kadhaa za ndom ndan sio uhuni ni kujali afya yako. Mimi sikosagi hizo kamwe zipo nyingine mpaka zinaexpire sijazitumia ila bora ziwepo kuliko niuze mechi kizembeUtakaguwa saa ngapi ??
Ze ansa iz no π π πKwani umeambukizwa chochote pia? π€£π€£
If ze ansa iz yes, zen swali lakuhusu piaπ
Mke au demu anayekunywa pombe akiwa peke yake kuliwa ni rahisi sanaDuh! Usirudie tena...Mytake kwa vijana, msiruhusu wake zenu au wapenzi wenu wakaenda kulewa wakiwa wenyewe, mtawalaumu bure sababu mwisho wake starehe yao ukamilishwa kwa kutoa tunda, hata kimasikhara wanakuwa wapo tiyari.!
Umefanya vema kumblock, kata mazoea nae kabisa.Sikumwambia mpaka Leo na sijawahi muambia lolote Chapo yeye aliniona nimeblock kabisa sitaki mawasiliano nay
Nashukuru kwa ushauriHata ukikagua usijiridhishe kwa macho, mkuu fanya mpango uweke pakti kadhaa za ndom ndan sio uhuni ni kujali afya yako. Mimi sikosagi hizo kamwe zipo nyingine mpaka zinaexpire sijazitumia ila bora ziwepo kuliko niuze mechi kizembe
Ilishanitokea kama wewe.Yan nimepiga jana usiku kesho asubh nakojoa usaha kwa maumivu .wewee!!! Niko kazin hapo natoka saa 10 jion na umbali plus folen za mjini hapa home kuingia saa 4 usiku...mbona sikulala nikafika home nikabeba bima yangu nikarud tena mjini nikamwambia doctor pima kila kitu licha yabuoga wangu wa kupima ngoma.Nikaanza doZi usiku huo huo...jikampigia yule manzi nikampa taarifa na kumshauri akatibiwe na baada ya kukata simu nikampiga block moja hatari..Asante mkuu ,nishapona saizi na nashukuru Sina Ngoma kabisa
Unpleasant smell inahusiana na gono kwani?si wanasemaga humu daily wanakutana na unpleasant smell. Sasa mpk hapo utajua hamna usalama wa π―
Angekuwa sio mke wa mtu ningeshauri umwambie ila achana naeSikumwambia mpaka Leo na sijawahi muambia lolote Chapo yeye aliniona nimeblock kabisa sitaki mawasiliano naye
Good πZe ansa iz no π π π