Sitosahau nilipopata Gono na UTI kwa mke wa jirani yangu

Sitosahau nilipopata Gono na UTI kwa mke wa jirani yangu

Ilishanitokea kama wewe.Yan nimepiga jana usiku kesho asubh nakojoa usaha kwa maumivu .wewee!!! Niko kazin hapo natoka saa 10 jion na umbali plus folen za mjini hapa home kuingia saa 4 usiku...mbona sikulala nikafika home nikabeba bima yangu nikarud tena mjini nikamwambia doctor pima kila kitu licha yabuoga wangu wa kupima ngoma.Nikaanza doZi usiku huo huo...jikampigia yule manzi nikampa taarifa na kumshauri akatibiwe na baada ya kukata simu nikampiga block moja hatari..

Niliogopa sana. Sanaa sanaa n it was my first experience n i hope ndio the last one..sitakaa nirudie uchafu ule mimi.

Wewe uliwezaje kusubiri mpaka mashine ivimbe mzee hujipendi kiasi hiko?????
Mimi nilipuuzia tyu nilijuwa ni Hali ya mda tu ila kadri mda ulivyozidi ndiyo Hali ikawa mbaya
 
[Q
UOTE="InvisibleTarget, post: 46180473, member: 265284"]
Duh! Usirudie tena...Mytake kwa vijana, msiruhusu wake zenu au wapenzi wenu wakaenda kulewa wakiwa wenyewe, mtawalaumu bure sababu mwisho wake starehe yao ukamilishwa kwa kutoa tunda, hata kimasikhara wanakuwa wapo tiyari.!
[/QUOTE]

1. Hupaswi kuoa mwanamke mnywa pombe.

2. Hata akinywa, ziwe pombe za Staha na Nyumbani.

3. Sioni namna nikiwa na mke anaweza enda akakaa Bara kunywa.

Jamaa ajalala na mke wa mtu, kalala na Malaya mwenye mume.
 
Nikiwa nimehamia kigezi kwenye kamjengo kangu, nilikuwa naishi bado single sijapata jiko ratiba yangu naondoka zangu asubuhi naingia job narudi zangu usiku na napitia Tariano pale nakunywa vibia kazaa na kula msosi narudi home.

Wikend nilikuwa nashinda home kwa shughuli za usafi majirani wakiwa wananipa hi tu pale. Siku moja nimepanda zangu daladala toka Gondolamboto nikashuka zangu Tariano pale, nikaingia bar Ili nipate zangu kinywaji na msosi wakati naendelea kunywa kumbe pembeni yangu alikuwepo jirani yangu mke wa jamaa.

Akanifata akaniomba shemu ukiwa unataka kuondoka naomba tuondoke wote, nikamjibu sawa ila leo pikipiki yangu niliiacha tutachukuwa usafiri, akajibu haina shida.

Muda umefika namwambia twende tukatoka tukaita Bora, kabla hatujafika home akaomba tushuke nikajibu sawa, tukashuka akakojoa tukaanza kutembea kwa miguu. Kumbe alikuwa ashaanza kulewa zake, tukatoka home kila mtu akaenda zake kwake.

Nimeingia home ile najiandaa kulala nasikia kama kuna mtu anagonga mlango nje, ile nafungua tu mtu kazama ndani! Nikamuuliza kuna shida gani, akasema mume wangu hayupo aliondoka jana kwenda Kisarawe.

Nikamuuliza kwahiyo? Akaniambia nakuonaga peke yako hapa nimekuja, basi kufupisha nikamla bila ndom na kesho yake nikamla aisee ndiyo shida ilipoanza. Machine ikaanza kutoa vitu kama usaha hivi, mara nakojoa kwa shida, boxa inaganda vitu kama makamasi hivi na ikavimba, niliteseka sana.

Baada kuona sasa hali inakuwa mbaya nikaenda hospitali, nilipigwa masindano na madawa ya kutosha, nashukuru Mungu sasa hivi nimepona. Tuache ngono zembe, unaweza ukafa kizembe sana na wake za watu tuwaogope sana.
Madafaka!!!

Kumbe ndo ukiyenit*mbea mke wangu
 
Nikiwa nimehamia kigezi kwenye kamjengo kangu, nilikuwa naishi bado single sijapata jiko ratiba yangu naondoka zangu asubuhi naingia job narudi zangu usiku na napitia Tariano pale nakunywa vibia kazaa na kula msosi narudi home.

Wikend nilikuwa nashinda home kwa shughuli za usafi majirani wakiwa wananipa hi tu pale. Siku moja nimepanda zangu daladala toka Gondolamboto nikashuka zangu Tariano pale, nikaingia bar Ili nipate zangu kinywaji na msosi wakati naendelea kunywa kumbe pembeni yangu alikuwepo jirani yangu mke wa jamaa.

Akanifata akaniomba shemu ukiwa unataka kuondoka naomba tuondoke wote, nikamjibu sawa ila leo pikipiki yangu niliiacha tutachukuwa usafiri, akajibu haina shida.

Muda umefika namwambia twende tukatoka tukaita Bora, kabla hatujafika home akaomba tushuke nikajibu sawa, tukashuka akakojoa tukaanza kutembea kwa miguu. Kumbe alikuwa ashaanza kulewa zake, tukatoka home kila mtu akaenda zake kwake.

Nimeingia home ile najiandaa kulala nasikia kama kuna mtu anagonga mlango nje, ile nafungua tu mtu kazama ndani! Nikamuuliza kuna shida gani, akasema mume wangu hayupo aliondoka jana kwenda Kisarawe.

Nikamuuliza kwahiyo? Akaniambia nakuonaga peke yako hapa nimekuja, basi kufupisha nikamla bila ndom na kesho yake nikamla aisee ndiyo shida ilipoanza. Machine ikaanza kutoa vitu kama usaha hivi, mara nakojoa kwa shida, boxa inaganda vitu kama makamasi hivi na ikavimba, niliteseka sana.

Baada kuona sasa hali inakuwa mbaya nikaenda hospitali, nilipigwa masindano na madawa ya kutosha, nashukuru Mungu sasa hivi nimepona. Tuache ngono zembe, unaweza ukafa kizembe sana na wake za watu tuwaogope sana.

1: Jehanamu inakungoja kwa hamu
2: Chunguza sana na rudia rudia kupima, gono ya hivyo kupona ni shida sana, na hata ukipona mbegu zako kama ziko hai una bahati sana
 
1: Jehanamu inakungoja kwa hamu
2: Chunguza sana na rudia rudia kupima, gono ya hivyo kupona ni shida sana, na hata ukipona mbegu zako kama ziko hai una bahati sana
Mbona vitisho Tena wakuu
 
Kichwa kikiwa kina safari 6 kubwa unafikiri utakumbuka kuikagua mbususu ni kupachika tu msumeno na kuranda mbunye.
 
Tariano=Talian
ila mkuu sogea kituo cha mbele hapo nyeburu kuna pub moja imefunguliwa ni full shangwe kwa kupiga vyombo
 
Hii biashara ya mke kwenda Bar peke yake kwakweli kuna watu huwa nawahurumia sana,do it but at your own risk...
 
Nikiwa nimehamia kigezi kwenye kamjengo kangu, nilikuwa naishi bado single sijapata jiko ratiba yangu naondoka zangu asubuhi naingia job narudi zangu usiku na napitia Tariano pale nakunywa vibia kazaa na kula msosi narudi home.

Wikend nilikuwa nashinda home kwa shughuli za usafi majirani wakiwa wananipa hi tu pale. Siku moja nimepanda zangu daladala toka Gondolamboto nikashuka zangu Tariano pale, nikaingia bar Ili nipate zangu kinywaji na msosi wakati naendelea kunywa kumbe pembeni yangu alikuwepo jirani yangu mke wa jamaa.

Akanifata akaniomba shemu ukiwa unataka kuondoka naomba tuondoke wote, nikamjibu sawa ila leo pikipiki yangu niliiacha tutachukuwa usafiri, akajibu haina shida.

Muda umefika namwambia twende tukatoka tukaita Bora, kabla hatujafika home akaomba tushuke nikajibu sawa, tukashuka akakojoa tukaanza kutembea kwa miguu. Kumbe alikuwa ashaanza kulewa zake, tukatoka home kila mtu akaenda zake kwake.

Nimeingia home ile najiandaa kulala nasikia kama kuna mtu anagonga mlango nje, ile nafungua tu mtu kazama ndani! Nikamuuliza kuna shida gani, akasema mume wangu hayupo aliondoka jana kwenda Kisarawe.

Nikamuuliza kwahiyo? Akaniambia nakuonaga peke yako hapa nimekuja, basi kufupisha nikamla bila ndom na kesho yake nikamla aisee ndiyo shida ilipoanza. Machine ikaanza kutoa vitu kama usaha hivi, mara nakojoa kwa shida, boxa inaganda vitu kama makamasi hivi na ikavimba, niliteseka sana.

Baada kuona sasa hali inakuwa mbaya nikaenda hospitali, nilipigwa masindano na madawa ya kutosha, nashukuru Mungu sasa hivi nimepona. Tuache ngono zembe, unaweza ukafa kizembe sana na wake za watu tuwaogope sana.
sasa kwanini hukumwambia mkatibiwe wote?
 
Mimi nilipuuzia tyu nilijuwa ni Hali ya mda tu ila kadri mda ulivyozidi ndiyo Hali ikawa mbaya
Aisee.badilika mkuu.Binafsi sipuuziagi any change katika afya.
NIkiumwa mimi kila kitu kinaugua mpaka familia kwasisi wahangaikaji
 
Back
Top Bottom