Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Sasa sjui mumewe ana hali gani,kama wewe kuchovya mara moja umekutana na hayo yote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁 Kwani unafikiri huwa hata tunawaruhusu wakalewe wenyewe basi?Duh! Usirudie tena...Mytake kwa vijana, msiruhusu wake zenu au wapenzi wenu wakaenda kulewa wakiwa wenyewe, mtawalaumu bure sababu mwisho wake starehe yao ukamilishwa kwa kutoa tunda, hata kimasikhara wanakuwa wapo tiyari.!
Kichwa cha chini kikishataka cha juu hakiwezi jizuiaHivi mnaanzaga kudumbukiza tu pasipo kuikagua? Zenye maambukizi hazina dalili?
Au mpk tuwaelekeze namna ya kuipiga chabo kabla hujaila?
Majority ya wanawake hawana dalili na anaweza kuwa hivyo muda mrefu tu akawa anaambukiza vya kutosha 😁😁😁Hivi mnaanzaga kudumbukiza tu pasipo kuikagua? Zenye maambukizi hazina dalili?
Au mpk tuwaelekeze namna ya kuipiga chabo kabla hujaila?
Hapana- Labda condition nyingine Inaitwa Trichomoniasis ndiyo huleta vagina foul smelling (harufu mbaya ya Keyi)Unpleasant smell inahusiana na gono kwani?
Hii dunia ndio iko hivyo, unaweza kudhani unakula, kumbe wewe ndie unaliwa. Jamaa alijua ni **** ya bure - Mke wa Mtu...Akaambulia maumivu ya Gono - sindano - na pesa za kujitibu. Nina hakika hapo na huyo demu aliondoka na pesa ya supu asubuhi....Hivyo ni maumivu juu ya maumivu.Ila Cha ajabu jamaa, kakwepa gharama za utelezi, kazivagaa gharama za hospital 😅😅
Sawa mkuu. Nadhan na wengine wamejua sasa, sababu ya harufuHapana- Labda condition nyingine Inaitwa Trichomoniasis ndiyo huleta vagina foul smelling (harufu mbaya ya Keyi)
UTI siyo Gonno usichanganye hivyo vitu mkuu 😁😁😁Sirudii Tena Gono na UTI isikie tyu kwa mtu ,sindano zinauma sana zile
Wengine ni naturally wananuka tu , wengine ni uchafu , wengine ni kuharibika kwa balance ya normal Flora kwa pussy , wengine ndiyo maambukizi ya Trichomoniasis nkSawa mkuu. Nadhan na wengine wamejua sasa, sababu ya harufu
Sidhani.Majority ya wanawake hawana dalili na anaweza kuwa hivyo muda mrefu tu akawa anaambukiza vya kutosha 😁😁😁
Mwanaume akiloweka dalili zinaweza kuwa just after 24 hr up to 2 weeks. Na amini nakuambia magonjwa ya zinaa japo miongozo inataka umtibu mgonjwa na wote alioshiriki nao ngono lkn hakuna mgonjwa anayetakaga mlolongo wa kusanua aliyempatia nk (nafikiri wengi wanakuwa na hofu na pili labda Wana wenzi wao wanapambana wasisanukiwe and lastly labda wanakuwa hawataki mambo mengi anajitakia apone tu)- na siku hizi kutibu Gonno ni kazi mno maana mdudu kajenga usugu mno..... Zamani ilikuwa unapiga dozi moja tu kitu tayari-saivi unapiga dawa mchanganyik/cocktails mpaka hata siku 7 😁😁😁Sidhani.
Si mnasema once ukiloweka. Kesho yake lazima ukipate kwa upande wenu? Sasa unapokipata unashindwaje kumsanua huyo mtu?
Hakika mkuuMshauri nae akapate matibabu.
Nakukumbusha mke wa mtu sumu,gono+kufumaniwa=kifo
Hee basi watu huku wanaleta nyuzi, tunasoma kwamba. Akiloweka leo, kesho anaamka anajojoa usaha 😂😂Mwanaume akiloweka dalili zinaweza kuwa just after 24 hr up to 2 weeks. Na amini nakuambia magonjwa ya zinaa japo miongozo inataka umtibu mgonjwa na wote alioshiriki nao ngono lkn hakuna mgonjwa anayetakaga mlolongo wa kusanua aliyempatia nk (nafikiri wengi wanakuwa na hofu na pili labda Wana wenzi wao wanapambana wasisanukiwe and lastly labda wanakuwa hawataki mambo mengi anajitakia apone tu)- na siku hizi kutibu Gonno ni kazi mno maana mdudu kajenga usugu mno..... Zamani ilikuwa unapiga dozi moja tu kitu tayari-saivi unapiga dawa mchanganyik/cocktails mpaka hata siku 7 😁😁😁
Wapo sahihi maana Incubation period kwa Mwanaume ni kuanzia masaa 24 (kesho yake ) mpaka wiki 2.- meaning muda umepata maambukizi mpaka dalili inaangukia time yoyote kati ya siku 1 na siku 14 kwa MwanaumeHee basi watu huku wanaleta nyuzi, tunasoma kwamba. Akiloweka leo, kesho anaamka anajojoa usaha 😂😂
Hivi mkuu sindano za gono huwa zinapigwa kwnye uume pale pale?Mwanaume akiloweka dalili zinaweza kuwa just after 24 hr up to 2 weeks. Na amini nakuambia magonjwa ya zinaa japo miongozo inataka umtibu mgonjwa na wote alioshiriki nao ngono lkn hakuna mgonjwa anayetakaga mlolongo wa kusanua aliyempatia nk (nafikiri wengi wanakuwa na hofu na pili labda Wana wenzi wao wanapambana wasisanukiwe and lastly labda wanakuwa hawataki mambo mengi anajitakia apone tu)- na siku hizi kutibu Gonno ni kazi mno maana mdudu kajenga usugu mno..... Zamani ilikuwa unapiga dozi moja tu kitu tayari-saivi unapiga dawa mchanganyik/cocktails mpaka hata siku 7 😁😁😁