IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,010
- 4,179
- Thread starter
- #41
Aiseeh! Kweli kabisa mkuu..Iisasia ukisikia tambua umesalimika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeh! Kweli kabisa mkuu..Iisasia ukisikia tambua umesalimika
Wangeniua mapema sana maana ningejifanya stelingi
Hii story namashaka nayo maana tukio nalojua mimi lilitokea art gallery pale braza mani mmoja anajifanya wa mjini jamaa wakaingia kumtafuta na machineHabari wanajamii,
Salam kwenu na natumai nyote ni buheri wa afya, Naona nielekee kwenye hoja husika.
Ilikua ni siku ya mapumziko(weekend) siku ya jumapili tarehe 22 ya mwezi wa 9 mwaka 2007 maeneo ya mbezi beach eneo linafahamika sana kwa jina alimaarufu (Africana) njia ya kuelekea whiteSands au kwa zena, maeneo hayo kuna bar maarufu sana inafahamika kwa jina la highbury hapo ndipo lilikua eneo langu la kupumzisha akili baada ya mihangaiko ya kutwa nzima.
Siku hiyo ilikua ni mapumziko na ilikua ni jumapili nilitoka jioni na kuelekea kwenye hilo chimbo kumwagilia moyo na kampani ya wadau kadhaa kama ilivyokuwa kawaida yetu kujumika pamoja na kupata viburudisho kadhaa na kujiopolea warembo katika bar hiyo na walikua wazuri kweli kweli, Sasa wakati tukiendelea kumwagilia moyo hapo mdaa uliendelea kusonga hadi ilipofika majira ya saa nne(4) usiku ziliingia gari mbili aina ya land cruiser nyeusi na walishuka mababiloni nane(8) wakiwa wamevalia makoti marefu meusi na kofia aina ya Pama huku wakiwa wamefunika nyuso zao na walishikilia silaha aina ya mtutu(A.K.A 47) ghafla ulisikika mlio mkali wa risasi mbili zilizopigwa hewani na kuamuru watu wote tulale chini na tutoe kila tulichonacho tuweke pembeni, Sasa mimi wakati wa hamaki zikiendelea na purukushani za watu kujihami na vurumai zile nikaona nikimbilie counter kwakuwa nilijua kuna mlango wa nyuma nilifanikiwa ila huu ndio ungelikua mwisho wangu wa maisha kwani kati ya wale majambazi alifyatua risasi iliyonikosakosa usawa wa kichwa na kwenda kupiga nguzo za counter na kuacha tundu(shimo) kubwa sana.
Nashukuru nilifanikiwa kuokoa maisha yangu siku hiyo maana ilikua ni hatari sana hata kupelekea wahudumu wawili kufariki palepale baada ya kupigwa na risasi siku hiyo na baadhi ya wateja waling’olewa meno kwa kupigwa na vitako vya mtutu wakati wa uporwaji wa mali walizokua nazo siku hiyo.
Hili tukio sitakuja kulisahau maishani mwangu kabisa na huwa namshukuru mungu kwa ujasiri alionipa siku hiyo.
Kuna kijamaa kinaitwa Hans mtanashati kitakuja hapa kusema hiiIlikua 2009 nikiwa Congo Eneo la Goma pembeni ya ilipojengwa ihusi hotel palikua na kiwanja kimoja hivi, tumeanza kupiga maji na akina Bisima, mara paaa waasi hao hapa, haikua na jinsi humo kulikua na staff wa UN kibao, wafanyabiashara na waganga njaa kama sisi, ubishi ubishi wakanikata panga mguu wa kushoto hadi mfupa nikausikia hadi leo nina kovu kubwa sana , jamaa aliekua rafiki yake bisima aliitwa Daniel alipigwa risasi ya kifuani alianguka namuona kabisa akafia pale pale, wale wajeshi waliokua nje kuwalinda mabosi wao walitokomea, nilikuja kuzinduka nakujielewa vizuri nipo upande wa rwanda dispensary, sitosahau tukio lile kwani lilibadilisha maisha yangu jumla na kuniacha na maumivu makubwa sana
ulikuwa na vita gani mpaka uhatarishe maisha yako kiasi kile ?Niliamua kukimbia kwakua nilijua ingekua ni shida kwani nisinge kubali kirahisi kuchukuliwa mali zangu
pole sana kakaIlikua 2009 nikiwa Congo Eneo la Goma pembeni ya ilipojengwa ihusi hotel palikua na kiwanja kimoja hivi, tumeanza kupiga maji na akina Bisima, mara paaa waasi hao hapa, haikua na jinsi humo kulikua na staff wa UN kibao, wafanyabiashara na waganga njaa kama sisi, ubishi ubishi wakanikata panga mguu wa kushoto hadi mfupa nikausikia hadi leo nina kovu kubwa sana , jamaa aliekua rafiki yake bisima aliitwa Daniel alipigwa risasi ya kifuani alianguka namuona kabisa akafia pale pale, wale wajeshi waliokua nje kuwalinda mabosi wao walitokomea, nilikuja kuzinduka nakujielewa vizuri nipo upande wa rwanda dispensary, sitosahau tukio lile kwani lilibadilisha maisha yangu jumla na kuniacha na maumivu makubwa sana
Hahahahaa! Haijaenda umepata kuangalia au kusikia yalijiri bungeni leo...😂Bye bye Dar port.
Duh waas waliua tu wakasepa?awakuiba.?Ilikua 2009 nikiwa Congo Eneo la Goma pembeni ya ilipojengwa ihusi hotel palikua na kiwanja kimoja hivi, tumeanza kupiga maji na akina Bisima, mara paaa waasi hao hapa, haikua na jinsi humo kulikua na staff wa UN kibao, wafanyabiashara na waganga njaa kama sisi, ubishi ubishi wakanikata panga mguu wa kushoto hadi mfupa nikausikia hadi leo nina kovu kubwa sana , jamaa aliekua rafiki yake bisima aliitwa Daniel alipigwa risasi ya kifuani alianguka namuona kabisa akafia pale pale, wale wajeshi waliokua nje kuwalinda mabosi wao walitokomea, nilikuja kuzinduka nakujielewa vizuri nipo upande wa rwanda dispensary, sitosahau tukio lile kwani lilibadilisha maisha yangu jumla na kuniacha na maumivu makubwa sana
Duh waas waliua tu wakasepa?awakuiba.?
Tofauti sana na hii naifahamu hio tukio kabla mawella store kufunguliwa wala juliana bar & hotel haijawika kiivyoHii story namashaka nayo maana tukio nalojua mimi lilitokea art gallery pale braza mani mmoja anajifanya wa mjini jamaa wakaingia kumtafuta na machine
Cha msingi fuata amri yao, ukisha amrisha lala chini wewe lala, kitendo cha kikimbia hata uende chooni, wao wanajua unaenda kujipanga, wakikuona lazima wakuwashe.Siku nyingine usikimbilie kaunta hilo ni eneo lengwa wakati wa ujambazi kimbilia chooni kama ukiona kulala chini ni hatari zaidi.
Poleiliyonikosakosa usawa wa kichwa na kwenda kupiga nguzo za counter na kuacha tundu(shimo) kubwa sana.
Nashukuru nilifanikiwa kuokoa maisha yangu siku hiyo maana ilikua ni hatari sana hata kupelekea wahudumu wawili kufariki palepale baada ya kupigwa na risasi siku hiyo na baadhi ya wateja waling’olewa meno kwa kupigwa na vitako vya mtutu wakati wa uporwaji wa mali walizokua nazo siku hiyo.
Hili tukio sitakuja kulisahau maishani mwangu kabisa na huwa namshukuru mungu kwa ujasiri alionipa siku hiyo.
Kuna dada mmoja wa kisukuma aliuawa kwa shaba mjini masasi aliacha kazi benk akawa wakala wa bia wazee wa kazi wakamuotea kuwa ana cash ndani ile wamefika wamemuambia atoe pesa akaleta ubishi akpigwa shaba na mzigo ukachukuliwaIlitokea hapo Kino meridian, hawakua na nia kupora walevi ila wamekimbizana na mtu wao huko kaingia mle mbio karuka kaondoka nyuma kuna chimbo pale.
WaCuba tunajua.
Hatujakaa vizuri jamaa hawa hapa vyuma viko juu zikapigwa mbili juu ta ta aah ukiskia hivyo lala chini tu sio kukimbia ka mwehu.
Acha simu counter nilikua nimekaa hapo na Deborah ananihudumia.
Jamaa wamemtafuta wamkosa aliruka ukuta mi namuona.
Aah wakarudi huku wakasachi kila mtu wakatimka.
Nilikua na Nokia vile vidogo nusu keypard nusu screen wakalamba
enzi hizo ndo smart Phone.
Pole sana mkuu, ulikua unawabishia nini? Walikuomba uwape mali ukakataa? AiseeIlikua 2009 nikiwa Congo Eneo la Goma pembeni ya ilipojengwa ihusi hotel palikua na kiwanja kimoja hivi, tumeanza kupiga maji na akina Bisima, mara paaa waasi hao hapa, haikua na jinsi humo kulikua na staff wa UN kibao, wafanyabiashara na waganga njaa kama sisi, ubishi ubishi wakanikata panga mguu wa kushoto hadi mfupa nikausikia hadi leo nina kovu kubwa sana , jamaa aliekua rafiki yake bisima aliitwa Daniel alipigwa risasi ya kifuani alianguka namuona kabisa akafia pale pale, wale wajeshi waliokua nje kuwalinda mabosi wao walitokomea, nilikuja kuzinduka nakujielewa vizuri nipo upande wa rwanda dispensary, sitosahau tukio lile kwani lilibadilisha maisha yangu jumla na kuniacha na maumivu makubwa sana
Acha kudanganya umma wa watanzaniaNiliamua kukimbia kwakua nilijua ingekua ni shida kwani nisinge kubali kirahisi kuchukuliwa mali zangu