Mausa Jovin
Senior Member
- Feb 24, 2023
- 125
- 148
Kwahiyo mkuu hao mabilioni unauhakika walikua 8uliwahesabu? Vipi kuhusu makoti makubwa na mapama walivaa sare au, hakuna baa inayowasha taa kubwa usiku ilikuwaje uweze kuwatofautisha na o hao mabilioni na wateja wengine wote (umesema baa maarufu) hizo land cruiser 2 nyeusi iliziona kwa macho, inaonekana ulikua umekaa karibu na kauntaee, kwahiyo waliingia tu nakuanza vurugu?Ujinga
Ipo na inaendelea poa sana..Pole Sana Highbury bado ipo?
Shida yako hajawahi kubwa ...na action kama hii..Kwahiyo mkuu hao mabilioni unauhakika walikua 8uliwahesabu? Vipi kuhusu makoti makubwa na mapama walivaa sare au, hakuna baa inayowasha taa kubwa usiku ilikuwaje uweze kuwatofautisha na o hao mabilioni na wateja wengine wote (umesema baa maarufu) hizo land cruiser 2 nyeusi iliziona kwa macho, inaonekana ulikua umekaa karibu na kauntaee, kwahiyo waliingia tu nakuanza vurugu?
Hii kitu huwa naizangatia sana sa sana..ukishakuwa mtu mzima na watoto lazima uishi maisha mazuri na yanayoeleweka sana, ukocheza, unaacha watoto wanateseka.
😂😂😂 kashasema alikua anafaham fike pale counter kuna mlabo wa kutokea njePole
Vipi ulilewa sana?
Unakimbiliaje kaunta[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] noma[emoji23][emoji23][emoji23] kashasema alikua anafaham fike pale counter kuna mlabo wa kutokea nje
ChaiHabari wanajamii,
Salam kwenu na natumai nyote ni buheri wa afya, Naona nielekee kwenye hoja husika.
Ilikua ni siku ya mapumziko(weekend) siku ya jumapili tarehe 22 ya mwezi wa 9 mwaka 2007 maeneo ya mbezi beach eneo linafahamika sana kwa jina alimaarufu (Africana) njia ya kuelekea whiteSands au kwa zena, maeneo hayo kuna bar maarufu sana inafahamika kwa jina la highbury hapo ndipo lilikua eneo langu la kupumzisha akili baada ya mihangaiko ya kutwa nzima.
Siku hiyo ilikua ni mapumziko na ilikua ni jumapili nilitoka jioni na kuelekea kwenye hilo chimbo kumwagilia moyo na kampani ya wadau kadhaa kama ilivyokuwa kawaida yetu kujumika pamoja na kupata viburudisho kadhaa na kujiopolea warembo katika bar hiyo na walikua wazuri kweli kweli, Sasa wakati tukiendelea kumwagilia moyo hapo mdaa uliendelea kusonga hadi ilipofika majira ya saa nne(4) usiku ziliingia gari mbili aina ya land cruiser nyeusi na walishuka mababiloni nane(8) wakiwa wamevalia makoti marefu meusi na kofia aina ya Pama huku wakiwa wamefunika nyuso zao na walishikilia silaha aina ya mtutu(A.K.A 47) ghafla ulisikika mlio mkali wa risasi mbili zilizopigwa hewani na kuamuru watu wote tulale chini na tutoe kila tulichonacho tuweke pembeni, Sasa mimi wakati wa hamaki zikiendelea na purukushani za watu kujihami na vurumai zile nikaona nikimbilie counter kwakuwa nilijua kuna mlango wa nyuma nilifanikiwa ila huu ndio ungelikua mwisho wangu wa maisha kwani kati ya wale majambazi alifyatua risasi iliyonikosakosa usawa wa kichwa na kwenda kupiga nguzo za counter na kuacha tundu(shimo) kubwa sana.
Nashukuru nilifanikiwa kuokoa maisha yangu siku hiyo maana ilikua ni hatari sana hata kupelekea wahudumu wawili kufariki palepale baada ya kupigwa na risasi siku hiyo na baadhi ya wateja waling’olewa meno kwa kupigwa na vitako vya mtutu wakati wa uporwaji wa mali walizokua nazo siku hiyo.
Hili tukio sitakuja kulisahau maishani mwangu kabisa na huwa namshukuru mungu kwa ujasiri alionipa siku hiyo.
Njoo uone choteraChai
Mkuu ulifanya uwehu na upumbavu Sana..why ukiamua kukimbia aisee,Habari wanajamii,
Salam kwenu na natumai nyote ni buheri wa afya, Naona nielekee kwenye hoja husika.
Ilikua ni siku ya mapumziko(weekend) siku ya jumapili tarehe 22 ya mwezi wa 9 mwaka 2007 maeneo ya mbezi beach eneo linafahamika sana kwa jina alimaarufu (Africana) njia ya kuelekea whiteSands au kwa zena, maeneo hayo kuna bar maarufu sana inafahamika kwa jina la highbury hapo ndipo lilikua eneo langu la kupumzisha akili baada ya mihangaiko ya kutwa nzima.
Siku hiyo ilikua ni mapumziko na ilikua ni jumapili nilitoka jioni na kuelekea kwenye hilo chimbo kumwagilia moyo na kampani ya wadau kadhaa kama ilivyokuwa kawaida yetu kujumika pamoja na kupata viburudisho kadhaa na kujiopolea warembo katika bar hiyo na walikua wazuri kweli kweli, Sasa wakati tukiendelea kumwagilia moyo hapo mdaa uliendelea kusonga hadi ilipofika majira ya saa nne(4) usiku ziliingia gari mbili aina ya land cruiser nyeusi na walishuka mababiloni nane(8) wakiwa wamevalia makoti marefu meusi na kofia aina ya Pama huku wakiwa wamefunika nyuso zao na walishikilia silaha aina ya mtutu(A.K.A 47) ghafla ulisikika mlio mkali wa risasi mbili zilizopigwa hewani na kuamuru watu wote tulale chini na tutoe kila tulichonacho tuweke pembeni, Sasa mimi wakati wa hamaki zikiendelea na purukushani za watu kujihami na vurumai zile nikaona nikimbilie counter kwakuwa nilijua kuna mlango wa nyuma nilifanikiwa ila huu ndio ungelikua mwisho wangu wa maisha kwani kati ya wale majambazi alifyatua risasi iliyonikosakosa usawa wa kichwa na kwenda kupiga nguzo za counter na kuacha tundu(shimo) kubwa sana.
Nashukuru nilifanikiwa kuokoa maisha yangu siku hiyo maana ilikua ni hatari sana hata kupelekea wahudumu wawili kufariki palepale baada ya kupigwa na risasi siku hiyo na baadhi ya wateja waling’olewa meno kwa kupigwa na vitako vya mtutu wakati wa uporwaji wa mali walizokua nazo siku hiyo.
Hili tukio sitakuja kulisahau maishani mwangu kabisa na huwa namshukuru mungu kwa ujasiri alionipa siku hiyo.
Kwa huu ulege ulege tutaanza kusikia. Alafu mara nyingi ni "wazee wenyewe" wakiona wanasiasa wanafanya yao kwa fujo nao wanakusanya kivingine.Dah huu wizi wakuvamia ma-bar naona umeshaisha siku hizi, maana sijasikia siku nyingi sana uvamizi wa aina hii. Ingawa mm sikuwahi kukumbana nao
Kiwewe, mimi jamaa waliingia bar baada ya kufumua risasi kadhaa hewani nikakimbilia store wanakohifadhi makreti, jamaa mmoja akanifuata akakuta nishafunga komeo kwa ndani anaita nimfungulie wkt huo nishaingia nyuma ya makreti.Pole
Vipi ulilewa sana?
Unakimbiliaje kaunta[emoji23]
Kabisa aisee maana kuna useng* mwingi sana unaendela sasa, naona tumepiga mnada hadi bandari 🤔Kwa huu ulege ulege tutaanza kusikia. Alafu mara nyingi ni "wazee wenyewe" wakiona wanasiasa wanafanya yao kwa fujo nao wanakusanya kivingine.
Hao wakisema toa pesa usiwabishie, zipo wape waondoke.Kuna dada mmoja wa kisukuma aliuawa kwa shaba mjini masasi aliacha kazi benk akawa wakala wa bia wazee wa kazi wakamuotea kuwa ana cash ndani ile wamefika wamemuambia atoe pesa akaleta ubishi akpigwa shaba na mzigo ukachukuliwa
Pole jamaa maisha Yana mambo mengi sanaIlikua 2009 nikiwa Congo Eneo la Goma pembeni ya ilipojengwa ihusi hotel palikua na kiwanja kimoja hivi, tumeanza kupiga maji na akina Bisima, mara paaa waasi hao hapa, haikua na jinsi humo kulikua na staff wa UN kibao, wafanyabiashara na waganga njaa kama sisi, ubishi ubishi wakanikata panga mguu wa kushoto hadi mfupa nikausikia hadi leo nina kovu kubwa sana , jamaa aliekua rafiki yake bisima aliitwa Daniel alipigwa risasi ya kifuani alianguka namuona kabisa akafia pale pale, wale wajeshi waliokua nje kuwalinda mabosi wao walitokomea, nilikuja kuzinduka nakujielewa vizuri nipo upande wa rwanda dispensary, sitosahau tukio lile kwani lilibadilisha maisha yangu jumla na kuniacha na maumivu makubwa sana