NEGAN
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 797
- 1,653
Mwamba huyu hapa wa kuitwa MonsterEnergy au jina lingine IamBrianLeeSnr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii imetokea himo au?Kuna mwana hapa kijiji anaitwa Deo Lyimo amukula chuma Ile siku ya May mosi
Walikuwa wametoka msibani wakasema ngoja waingie bar wale safar mbil 2 then ndio watembee mm mkawaimbia naumwa siwez kula pombe
Mkawasha bike yangu huyo nkatembea,nimefika home tu napigiwa simu washikaji zako huk wamekufa
Kumbe bwana ,baada ya kulewa wakawa wamepakizan Kwa bike wakati wapo njiani jamaa na gar yake akawa akawa kama anatak kuwagonga
Jamaa akaapita na gar wakamuwah Kwa mbele na pikipk wakamblock wanatka kumletea vurugu
Jamaa kazama ndan ya gar katoa chuma akataka kupiga juu but sabab ya ulevi ikamshinda nguv akamfikia jamaa yangu Deo Kwa kifua chuma ikamfumua mapafu yote,yule mwingn baada ya kuskia mlio akazimia
Majuz ndio tumemzika
Wachana na mtu wenye silaha ya aina yeyote hasa akiwa na hasira
Nimepoa kabisa sasa...ulivyokimbilia kaunta walijua meneja
najua umeshapoa sasa.
Hahahaaa hao ni rafiki zangu wadamu sana🤣🤣🤣 IamBrianLeeSnr na AlmightyGod nawakubali sana...Mwamba huyu hapa wa kuitwa MonsterEnergy au jina lingine IamBrianLeeSnr
Ngoja wazee wa mjengo wapite mitaa hii utestify kizimbani 🤣Hahahaaa hao ni rafiki zangu wadamu sana🤣🤣🤣 IamBrianLeeSnr na AlmightyGod nawakubali sana...
Hao kunguni wako unaojaribu kunisagia ni expired long time 🤣🤣🤣Ngoja wazee wa mjengo wapite mitaa hii utestify kizimbani 🤣
Mnatunyanyasa sana we unadhani kaka yenu na jirani yenu wa kweli ni nani ? Wote wanaowazunguka wana interest kwenu kasoro sisi Maana hata sisi madini tunayo kuanzia gold ,tanzanite mpka diamonds mpka gesi ya mtwarapole sana kaka
Niwaite?🤣Hao kunguni wako unaojaribu kunisagia ni expired long time 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 🤣🤣🤣🤣🤣Niwaite?🤣
Huu ndio ustelingi wenyewe na kufa hapo ni chapchap..Unamiminiwa nyingi nyingi...🤣🤣🤣Usilete. wenge mbele ya chuma utakufa kizembe toa ulichonacho usilete ubishi pesa hujazaliwa nazo,kama unaamuwa kujitoa muhanga usikimbie pambana umpokonye silaha
Sababu DRCongo ni suala la kawaida kurushiana risasi huko Katanga na Bukavu na kundi la M23 au ?Ujinga
Only a whore will find your jokes funny mkuu🙏.it was a joke. Everybody knows that is a joke
you are taking things way far I don't know why
Unakutana na jamàa km Poker kashakula mibange na midude kibao ya kutoa wenge kichwani alafu unataka umpole silaha anakuona km Panya msumbufu tu anakumiminia vyuma km vyoteHuu ndio ustelingi wenyewe na kufa hapo ni chapchap..Unamiminiwa nyingi nyingi...🤣🤣🤣
Hata sijui nikwambie nini!Only a whore will find your jokes funny mkuu🙏.
Naomba unisaidie kutafsiri alichomaanisha kwenye hii sentensi yake .Hata sijui nikwambie nini!
Naomba umsamehe tu aliteleza kidogo...
Je mtu akimtania mkewe hivyo atafurahi.?I want her to meet the fella in my pants too
Tafsiri yake haina maana nzuri kabisa na utani kama huu sio mzuri, Kiufupi Gily hana ustaarabu kabisa na hapo alivuka mipaka ya utani...Naomba unisaidie kutafsiri alichomaanisha kwenye hii sentensi yake .
Je mtu akimtania mkewe hivyo atafurahi.?