Sitosahau nilivyokoswa na risasi nikiwa baa

Sitosahau nilivyokoswa na risasi nikiwa baa

Kuna mwana hapa kijiji anaitwa Deo Lyimo amukula chuma Ile siku ya May mosi
Walikuwa wametoka msibani wakasema ngoja waingie bar wale safar mbil 2 then ndio watembee mm mkawaimbia naumwa siwez kula pombe

Mkawasha bike yangu huyo nkatembea,nimefika home tu napigiwa simu washikaji zako huk wamekufa

Kumbe bwana ,baada ya kulewa wakawa wamepakizan Kwa bike wakati wapo njiani jamaa na gar yake akawa akawa kama anatak kuwagonga
Jamaa akaapita na gar wakamuwah Kwa mbele na pikipk wakamblock wanatka kumletea vurugu
Jamaa kazama ndan ya gar katoa chuma akataka kupiga juu but sabab ya ulevi ikamshinda nguv akamfikia jamaa yangu Deo Kwa kifua chuma ikamfumua mapafu yote,yule mwingn baada ya kuskia mlio akazimia


Majuz ndio tumemzika
Wachana na mtu wenye silaha ya aina yeyote hasa akiwa na hasira
Hii imetokea himo au?
 
Usilete. wenge mbele ya chuma utakufa kizembe toa ulichonacho usilete ubishi pesa hujazaliwa nazo,kama unaamuwa kujitoa muhanga usikimbie pambana umpokonye silaha
 
Usilete. wenge mbele ya chuma utakufa kizembe toa ulichonacho usilete ubishi pesa hujazaliwa nazo,kama unaamuwa kujitoa muhanga usikimbie pambana umpokonye silaha
Huu ndio ustelingi wenyewe na kufa hapo ni chapchap..Unamiminiwa nyingi nyingi...🤣🤣🤣
 
Unakutana na jamàa km Poker kashakula mibange na midude kibao ya kutoa wenge kichwani alafu unataka umpole silaha anakuona km Panya msumbufu tu anakumiminia vyuma km vyote
Kitendo cha kuwaona tu hao jamaa akili inadata sasa uskie na shaba zimelia 🤣🤣🤣 unaweza ukazimia mapema tu!
 
Naomba unisaidie kutafsiri alichomaanisha kwenye hii sentensi yake .

Je mtu akimtania mkewe hivyo atafurahi.?
Tafsiri yake haina maana nzuri kabisa na utani kama huu sio mzuri, Kiufupi Gily hana ustaarabu kabisa na hapo alivuka mipaka ya utani...

Nakuomba usamehe tu bestie kwani hata mkiendelea kuzozana haita saidia ila mtafedheheshana wote na itakuwa sio busara, Funika Kombe mwanaharamu apite...
 
Back
Top Bottom