Sitosahau siku niliyopigana makofi na mwanamke

Kama hautaki kupewa kichapo pesa za watu unachukua za nini?! Unajua kabisa huyo sio baba yako, akikupa hela jua kuna kitu atahitaji why unambania, kama ni rahisi hivyo kupata pesa kwann usitafute za kwako ili usije pigwa?!
Kama hautaki kupewa kichapo pesa za watu unachukua za nini?! Unajua kabisa huyo sio baba yako, akikupa hela jua kuna kitu atahitaji why unambania, kama ni rahisi hivyo kupata pesa kwann usitafute za kwako ili usije pigwa?!
Huu Uzi muda siyo mrefu utakuwa wa kutukanana baina ya ke na me. Ngoja nikae pembeni na note book yangu kama George carling.
Kama hautaki kupewa kichapo pesa za watu unachukua za nini?!

Unajua kabisa huyo sio baba yako, akikupa hela jua kuna kitu atahitaji why unambania, kama ni rahisi hivyo kupata pesa kwann usitafute za kwako ili usije pigwa?!
Hii hoja yako nimeipenda utasikia bidada linasema 10000 tu !! Km ni ndogo kwann asitafute ya kwake
 
Next time demu kama huyo muonyeshe uanaume.... Tia mimba.....
Ni lijijanja kachoropoa mimba kibao na kuna mda anawapiga mizinga wanaume wengine kuwa wamtumie pesa akatoe mimba wakat ata hana mimba
 
Huu Uzi muda siyo mrefu utakuwa wa kutukanana baina ya ke na me. Ngoja nikae pembeni na note book yangu kama George carling.
Umechelewa huko mwanzon walishakinukisha wakatukanana naona saiz wameshiba wameamua kupumzika ila watarud tena kuwa standby maana wanaodanga wapo weng humu
 
Kama hautaki kupewa kichapo pesa za watu unachukua za nini?!

Unajua kabisa huyo sio baba yako, akikupa hela jua kuna kitu atahitaji why unambania, kama ni rahisi hivyo kupata pesa kwann usitafute za kwako ili usije pigwa?!
Hela za wanaume tamu Sana kuliko za kupewa na mzazi
 
Hv unafikir kuiangusha nilishindwa vitu vengine muwe mna2mia akili hata km ni demu wako mkigombana umvue nguo eeeh sijui ata nn kitatokea
Yaani nikianzisha varangati na demu alovaa kanga, zile purukushani za mwanzo tu lazima kanga itadondoka.

Sasa wewe hadi anakuchania shati ila kanga yake iliyoegeshwa wala haishtuki! Unaanza vagi hadi linaisha, masumbwi unatupa tena ya tumbo na vichwa unarusha lakini kanga iliyoegeshwa bado ipo salama!! Kama mwanaume wa Dar sawa.
 
Kupika Hata 5000 inatosha
Inategemea mtu na mtu , 10000 inatosha kabisa, Sema ulikuwa mahali pasipo sahihi.
Apo tupo pamoja nilijua unataka kuongea ujinga sijui nitume 50000 ya kupika mmh
 
Ndio nyinyi mnakufa kizembe
 
Gender Based Violence#G.B.V
 
Sawa! Wewe umenusurika kifo kwa malaya tena akiwa kangamoko, je ukipambana na dume itakuwaje kama hatuletewi TANZIA humu?
Mwanaume athubutu kurusha ata kidole aone ntachomfanya
Afu ww ndio ile kind ya mijanaume ambayo ikipigana na mtu mnyoge basi ndo inataka kujionesha ni mimwamba usione dogo pigana na kambale
 
Mwanaume athubutu kurusha ata kidole aone ntachomfanya
Afu ww ndio ile kind ya mijanaume ambayo ikipigana na mtu mnyoge basi ndo inataka kujionesha ni mimwamba usione dogo pigana na kambale
Hahahahahaha!!!! Na kweli mimi ni 'lijanaume'. Mchana mwema mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…