Sitosahau siku niliyopigana makofi na mwanamke

We kaka mgomv unaonesha[emoji41][emoji41]
 
Wanafunzi wa chuo hao!!!
 

[emoji15][emoji15][emoji15][emoji2299]
 
Mimi ilikuwa hivi, nilikuwa napenda sana kwenda kutembea kwa rafiki yangu ambaye alikuwa anaishi mtaa wa mbali kidogo, sasa jirani na huyo rafiki yangu kulikuwa na wanafunzi wa kike wa secondary walokuwa wamepanga getto ila wanasoma shule ya privet.

Kutokana na muonekano wangu ni mrefu ,mwembamba kiasi na sura ya kinyarwanda, basi wakatokea kunipenda wote kwa pamoja, wakawa wanatengeneza mazoea ya kuniita na kuniagiza dukani,mimi nawaendelezea vitu na rudi kwa rafiki yangu tunapiga story basi siku inapita.

Siku moja jioni nikaenda kwa yule rafiki yangu sikumkuta wala nyumbani kwao hapakuwa na mtu basi nikaona bora nirudi zangu home, ina natoka nyumbani kwa huyo rafiki yangu, demu mmoja akaniita kati ya wale wapangaji akaniambia "Mdogo wangu chukua pesa ndani hapa mezani ukaninunulie mafuta ya kupikia nataka nipike wali leo, basi me nikajuwa hakuna tatizo,

Ile naingia ndani tu nikashangaa anafunga mlango na ndani kulikuwemo na mwenzake mmoja aliyekuwa amelala kitandani tena bila hata nguo za ndani bali amejifunika shuka tu wakaanza kunivua nguo wamesha pagawa, nikajaribu tumia nguvu zangu zote ila nikashindwa, mmoja akafanikiwa kunishusha suluari langu, kutokana nilikuwa mshamba mshamba, harafu mpole sana mpaka leo sinaga maneno mengi,
Ilinibidi nipige kelele kwa kulia kwa nguvu kuomba msaada kwa majirani, wale mabinti wakafungua mlango nikachoropoka nikakimbia nje, wakanitukana sana, yaani matusi ya maana.mabinti sometime huwa wananguvu kweli asikwambie mtu.
 
Sio sh*ga kwel wewe
 
Mbona essay babu.tulia dawa ikuingie una fumba macho ya nini usiku uu
Usiforce bifu kwa mtu usiye mfahamu tafuta pesa, haunifahamu sikufahamu, b*ngi uliyovuta inaonekana leo pusha kakuchanganyia na mavi. Unajiona Hittla
 
Usiogope mkuu kama ulipigw si useme tu hatuta kucheka haha[emoji23][emoji23]
 
Sikupigwa ebu soma vzr mbona nimeadithia kila kitu wale viumbe sio wa mchezo mchezo ukitake easy utashangaa kashakuzid nguvu
Kuwa makini sana kuna wenzako wamekufa kwasababu ya issue kama hizi wanapgiwa kelele kuwa mwizi na raia uwa hawaulizi wanapiga
 
Siku nyingine ikitokea scenario kama hii mkuu....usimfate kwake au popote ulipoambiwa yupo

Muite kwako,mpigie huko....watakuitia mwizi,kuna wenzako wamekufa kipimbi kama hivyo
 
Mwanaume hapigani na mwanamke ngumi hata siku moja, mwanaume anapiga

Inshu yako ni kuwa huna control ndo maana mwanamke alipigana na wewe kwa kuwa alijua wewe ni shoga yake Tu

Mwanamke akijua kuwa wewe ni controller hawezi kunyanyua ngumi kamwe haijalishi una umbo gani
 
Mimi nilimuachia demu simu ya laki nne na pesa nilizomkopesha kwenye biashara yake, tulizinguana nikampa vitasa vya kutosha. Akaniitia mwizi watu walivyokuja wananifahamu wakapotezea wakasema tumalizane wenyewe, Sasa hapa nilipiga Kama bruce lee vile maana alikuwa anataka nife. Baada ya hapo alilazwa week hospital. Kwahiyo hata vitu nilivyompa nikaona bora nimwachie maana nilimpa kipigo heavyweight asee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…