Sitosahau siku niliyopigana makofi na mwanamke

Mmmmmmmmh
 
hahahaha nimecheka alikung'ata kwa kisa kilikuwa nn
 
Afu baadhi ya wadada humu ndan wanaona kula pesa ya mwanaume ni kitu cha kawaida sana

Dear Sisters acheni hiz tabia za kimalaya mtakuja fanyiwa kitu mbaya naongea hv sababu mm nishashuhudia hayo kuna wenzenu wanabakwa na kuingilia kinyume na maumbile kilazima kisa kula pesa za watu tu siku ukiingia anga zao wanakugeuza nyama yao

kuna wengine wanamwagiwa tindikali kisa upuuzi huuhuu

kuna mwingine alikuwa mwanafunzi alikula pesa za boda boda siku alipoingia anga zao walimbaka lkn km haitosh wakamvunjia na chupa sehemu za siri akafa

kuna wanachuo fulani mtwara nao walikula sana pes a za wanaume baa lkn wakitaka kupigwa mkwaju wanagoma walikuja fanyiwa kitu mbaya na chuo kizima kilijua kuwa wamebakwa

hii ni mifano tu Dear sisters achani ujinga
 
Ukiona nyani kazeeka kakwepa mishale mingi, [emoji23][emoji23][emoji23] tulia tafuta wa saizi yako

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
Afu baadhi ya wadada humu ndan wanaona kula pesa ya mwanaume ni kitu cha kawaida sana

Dear Sisters acheni hiz tabia za kimalaya mtakuja fanyiwa kitu mbaya naongea hv sababu mm nishashuhudia hayo kuna wenzenu wanabakwa na kuingilia kinyume na maumbile kilazima kisa kula pesa za watu tu siku ukiingia anga zao wanakugeuza nyama yao

kuna wengine wanamwagiwa tindikali kisa upuuzi huuhuu

kuna mwingine alikuwa mwanafunzi alikula pesa za boda boda siku alipoingia anga zao walimbaka lkn km haitosh wakamvunjia na chupa sehemu za siri akafa

kuna wanachuo fulani mtwara nao walikula sana pes a za wanaume baa lkn wakitaka kupigwa mkwaju wanagoma walikuja fanyiwa kitu mbaya na chuo kizima kilijua kuwa wamebakwa

hii ni mifano tu Dear sisters achani ujinga
 
Wewe huyo si alikuwa mpenzi wako? Na unasema ulishalala hapo mara nyingi tu, sasa kitu gani mpaka unyang'anye mpaka simu?

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Reactions: amu
Siku nyingine usijaribu maana angeweza kupiga kelele za mwizi watu kadhaa wamekufa kwa style hiyo.
 
hebu sema vizuri ni elfu 10 au laki 1?

elf 10 kweli ndo ya kwenda kupigana[emoji23][emoji23][emoji28][emoji28]
Shida ninkwamba alidanganya akamcgukulia mwamba boya. Na hiyo ndio inatia hasira zaidi hata kama alikua na lengo la kumdharau siyo kwa style hiyo alotumia huyo mwanamke.
 
Shida ninkwamba alidanganya akamcgukulia mwamba boya. Na hiyo ndio inatia hasira zaidi hata kama alikua na lengo la kumdharau siyo kwa style hiyo alotumia huyo mwanamke.
Yeye mwenyewe kasema alishawahi kutwa humo mtu kagonga hakufunguliwa nayeye katulia tu au alikimbilia uvungu wa kitanda!

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Wewe huyo si alikuwa mpenzi wako? Na unasema ulishalala hapo mara nyingi tu, sasa kitu gani mpaka unyang'anye mpaka simu?

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
kwaio unataka kusema kisa ni mpenzi
wangu akifanya makosa vitu nilivyompa nimwachie ata simu kwanza sikumpa nilimwambia nakuazima tu hii simu utumie utanirudishia
 
Yeye mwenyewe kasema alishawahi kutwa humo mtu kagonga hakufunguliwa nayeye katulia tu au alikimbilia uvungu wa kitanda!

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
sasa ww ulitaka nifanyeje km mm ndio nipo ndan afu nje kuna mtu kagonga demu kagoma kufungua mm nifanyaje siku zote ukitenda roho haiumii ata km ni mwanaume mwenzako ndio anafanyiwa roho haiumi sn kimbembe ukitendwa weee unaweza kuvunja mlango
 
sasa ww ulitaka nifanyeje km mm ndio nipo ndan afu nje kuna mtu kagonga demu kagoma kufungua mm nifanyaje siku zote ukitenda roho haiumii ata km ni mwanaume mwenzako ndio anafanyiwa roho haiumi sn kimbembe ukitendwa weee unaweza kuvunja mlango
Ulitakiwa nawewe uwe mpole kama ulivyofanyiwa wewe kuliko hivyo, je ungeitiwa mwizi ingekuwaje!

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Punguza hasira bibie
Hamna kitu huyo njaa tu inamsumbua apo alipo sidhani ata km kula kala nahisi anatafuta fala la kulipiga mzinga ivo akiona nyuzi km hz povu lazima limtoke maana utakuta ilo jamaa lake limeingia humu kisha akasoma huu uzi unafikir atamtumia kitu leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…