Sitosahau siku niliyopigana makofi na mwanamke

Sitosahau siku niliyopigana makofi na mwanamke

Sikia ata uwe na roho mbaya kiasi gan huwezi kumtwanga mwanamke ngumi full package au kichwa full package utapiga lkn lazima utumie balance kuhakikisha ngumi inampata na kumtia adabu na sio kumuumiza lengo langu lilikuwa ni kumtia adabu na si kumuumiza ivo nilitumia balance sana sikurusha ngumi kwa nguvu zangu zote ningeua
Mmmmmmmmh
 
Wanawake ni wadhaifu na hawana nguvu kivile kama unavyosema , nishapigana na wanawake wawili wote niliwagalagaza. Ila mmoja wapo alining'ata na kunipa kovu.

Ila mmoja nilimpa ngumi moja akazimia . Hapa nilijuta na sitarudia kupigana na ivi viumbe dhaifu.
hahahaha nimecheka alikung'ata kwa kisa kilikuwa nn
 
Afu baadhi ya wadada humu ndan wanaona kula pesa ya mwanaume ni kitu cha kawaida sana

Dear Sisters acheni hiz tabia za kimalaya mtakuja fanyiwa kitu mbaya naongea hv sababu mm nishashuhudia hayo kuna wenzenu wanabakwa na kuingilia kinyume na maumbile kilazima kisa kula pesa za watu tu siku ukiingia anga zao wanakugeuza nyama yao

kuna wengine wanamwagiwa tindikali kisa upuuzi huuhuu

kuna mwingine alikuwa mwanafunzi alikula pesa za boda boda siku alipoingia anga zao walimbaka lkn km haitosh wakamvunjia na chupa sehemu za siri akafa

kuna wanachuo fulani mtwara nao walikula sana pes a za wanaume baa lkn wakitaka kupigwa mkwaju wanagoma walikuja fanyiwa kitu mbaya na chuo kizima kilijua kuwa wamebakwa

hii ni mifano tu Dear sisters achani ujinga
 
Ukiona nyani kazeeka kakwepa mishale mingi, [emoji23][emoji23][emoji23] tulia tafuta wa saizi yako

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
Afu baadhi ya wadada humu ndan wanaona kula pesa ya mwanaume ni kitu cha kawaida sana

Dear Sisters acheni hiz tabia za kimalaya mtakuja fanyiwa kitu mbaya naongea hv sababu mm nishashuhudia hayo kuna wenzenu wanabakwa na kuingilia kinyume na maumbile kilazima kisa kula pesa za watu tu siku ukiingia anga zao wanakugeuza nyama yao

kuna wengine wanamwagiwa tindikali kisa upuuzi huuhuu

kuna mwingine alikuwa mwanafunzi alikula pesa za boda boda siku alipoingia anga zao walimbaka lkn km haitosh wakamvunjia na chupa sehemu za siri akafa

kuna wanachuo fulani mtwara nao walikula sana pes a za wanaume baa lkn wakitaka kupigwa mkwaju wanagoma walikuja fanyiwa kitu mbaya na chuo kizima kilijua kuwa wamebakwa

hii ni mifano tu Dear sisters achani ujinga
 
Afu baadhi ya wadada humu ndan wanaona kula pesa ya mwanaume ni kitu cha kawaida sana

Dear Sisters acheni hiz tabia za kimalaya mtakuja fanyiwa kitu mbaya naongea hv sababu mm nishashuhudia hayo kuna wenzenu wanabakwa na kuingilia kinyume na maumbile kilazima kisa kula pesa za watu tu siku ukiingia anga zao wanakugeuza nyama yao

kuna wengine wanamwagiwa tindikali kisa upuuzi huuhuu

kuna mwingine alikuwa mwanafunzi alikula pesa za boda boda siku alipoingia anga zao walimbaka lkn km haitosh wakamvunjia na chupa sehemu za siri akafa

kuna wanachuo fulani mtwara nao walikula sana pes a za wanaume baa lkn wakitaka kupigwa mkwaju wanagoma walikuja fanyiwa kitu mbaya na chuo kizima kilijua kuwa wamebakwa

hii ni mifano tu Dear sisters achani ujinga
Wewe huyo si alikuwa mpenzi wako? Na unasema ulishalala hapo mara nyingi tu, sasa kitu gani mpaka unyang'anye mpaka simu?

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: amu
Kwa kawaida kwenye jamii wanawake ni viumbe tunaowachukulia lege lege sana hii ni kutokana na tabia zao kupenda kujiremba,kutembea kwa malingo,kula mi chipsi nk sasa basi iaiombe itokee ukorofishane na hawa viumbe mfikie hatua muamue kupigana aisee usijidanganye kazi inaweza kuwa rahis hawa viumbe wana nguvu na wakikasirika wanakuwa km mashetan yaan unaweza kumkunja mkono ili umtulize mwenzako akageuka fasta bila kuhofia km mkono utavunjika

Ngoja nikupe stori baba iko hv mwaka fulan nilikuwa na mahusiano na dada fulan ambae aliniambia anasoma kampala internationa l university sasa bas baada ya kukaa nae kwa kipindj km miez mitano hv ya mahusiano kuna siku nilimwambia nataka niende kwake nikalale akaniambia nimtumie ela ya kupika chakula ili nikija tukitumie iko chakula lkn baada ya kutuma alibadilika na kuanza kuniambia yupo period ivo niaiende maana sito enjoy niende siku nyingine atakayomaliza period nikamwambia mm nakuja ivo ivo lkn hatutosex akakataa akasema hapana nisiende kwan asijikii vzr ivo anatoka hostel anaenda nyumban iliniuma sn kwan nilihis kudhulumiwa baada ya kuwaadithia masela wakaniambia uyo mwanamke ni muongo na iyo pesa uliomtumia chakula atakuwa kampikia mwanaume mwingine na ndio upo nae uko kwake nilipata hasira sana nikainuka nikachukua pikipiki nikaenda mpaka hostel ilikuwa saa 1 usiku ile kufika tu nikakutana nae mlangoni kavaa kanga nilipotaka kufungua mlango niingie ndan alinisukuma na app ndio ngumi zikaanza mata ya kwanza niliamin ningeweza kumdhibiti kirahis lkn timbili halikuwa dogo demu alikuwa na nguvu balaa ikabid nianze kufanya km napigana na mwanaume na sikutake tena easy nilimpa ngumi kadhaa za tumbo aiaee mademu wana matumbo malaini nikamtia lock ya mkono nikampa bapa la mgongo kisha nikamtia ngumi ya kichwa kwa bahati mbaya ikagonga au nzur ikagonga rasta kisha nikamgeuza nikamvuta km nataka kucheza nae bluez nikampiga kichwa cha utosi akanikunja shati yangu akaichana nikataka niichane kanga yke ila akili ikanijia Asije akanisingizia nataka kumbaka na uku uswahilin wanawake wanadhaminiwa kuliko ata kitimoto ikibad nimsukume nikamwambia nipe vi1tu nilivokupa niondoke alileta ngumu lkn alipoona nimemkazia ikabid atoe alitoe alitoa simu yngu niliompa akanipa na ile 10000 niliomtumia pamoja na nguo zangu zilizokuwa zipo kwake nikasepa

Ebu nawe tuadiaie aiku uliotwangana makonde na demu ilikuwaje
Siku nyingine usijaribu maana angeweza kupiga kelele za mwizi watu kadhaa wamekufa kwa style hiyo.
 
hebu sema vizuri ni elfu 10 au laki 1?

elf 10 kweli ndo ya kwenda kupigana[emoji23][emoji23][emoji28][emoji28]
Shida ninkwamba alidanganya akamcgukulia mwamba boya. Na hiyo ndio inatia hasira zaidi hata kama alikua na lengo la kumdharau siyo kwa style hiyo alotumia huyo mwanamke.
 
Shida ninkwamba alidanganya akamcgukulia mwamba boya. Na hiyo ndio inatia hasira zaidi hata kama alikua na lengo la kumdharau siyo kwa style hiyo alotumia huyo mwanamke.
Yeye mwenyewe kasema alishawahi kutwa humo mtu kagonga hakufunguliwa nayeye katulia tu au alikimbilia uvungu wa kitanda!

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Wewe huyo si alikuwa mpenzi wako? Na unasema ulishalala hapo mara nyingi tu, sasa kitu gani mpaka unyang'anye mpaka simu?

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
kwaio unataka kusema kisa ni mpenzi
wangu akifanya makosa vitu nilivyompa nimwachie ata simu kwanza sikumpa nilimwambia nakuazima tu hii simu utumie utanirudishia
 
Yeye mwenyewe kasema alishawahi kutwa humo mtu kagonga hakufunguliwa nayeye katulia tu au alikimbilia uvungu wa kitanda!

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
sasa ww ulitaka nifanyeje km mm ndio nipo ndan afu nje kuna mtu kagonga demu kagoma kufungua mm nifanyaje siku zote ukitenda roho haiumii ata km ni mwanaume mwenzako ndio anafanyiwa roho haiumi sn kimbembe ukitendwa weee unaweza kuvunja mlango
 
sasa ww ulitaka nifanyeje km mm ndio nipo ndan afu nje kuna mtu kagonga demu kagoma kufungua mm nifanyaje siku zote ukitenda roho haiumii ata km ni mwanaume mwenzako ndio anafanyiwa roho haiumi sn kimbembe ukitendwa weee unaweza kuvunja mlango
Ulitakiwa nawewe uwe mpole kama ulivyofanyiwa wewe kuliko hivyo, je ungeitiwa mwizi ingekuwaje!

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Punguza hasira bibie
Hamna kitu huyo njaa tu inamsumbua apo alipo sidhani ata km kula kala nahisi anatafuta fala la kulipiga mzinga ivo akiona nyuzi km hz povu lazima limtoke maana utakuta ilo jamaa lake limeingia humu kisha akasoma huu uzi unafikir atamtumia kitu leo
 
Back
Top Bottom